Namna ya kupunguza upweke nyumbani

Namna ya kupunguza upweke nyumbani

Watoto nao wakianza kujitegemea acha tu...Mi nikistaafu naenda uswahili huko kweny vigege vya kahawa kukaa.
Unaenda eneo ambalo mji haujakua sana unatengeneza sehemu nzuri unauza kahawa watu wanakunywa huku mnaaangalia bunge😁hapo hutakaa uwe mpweke
 
Haya ndio ma8sha ambayo nayataka niyaishi kuanzia miaka michache huko mbeleni.

Letsay natafuta eneo langu kando ya mji na naamua nitafia huko kwamba yawe makazi yangu rasmi ya kudumu.

Huko nitapanda kila aina ya tunda na zao.

Mihongo,nazi,maembe,matembele,kufuga kuku,bata,ng'ombe japo wawili watatu na mbuzi japo wawili watatu.

Then kajumba katakuwa ni kavyumba vichache tu kama vitatu hivi.

HApo tena eneo linalobaki ni kulipamba kwa mazoa mengine kama mipapai,mahindi,mbaazi na kunde.

Then natengene,a bustani nzuri kabisa ya kupumzikia na kusomea vitabu na kupiga stori na wageni.

Upweke kwangu ni kukosa cha kufanya na sio kuwa peke yako muda mwingi.

Unapokosa cha kufanya unakuwa huoni raha ya maisha na usipoona raha ya maisha unaanza kuona maisha yanaboa,ukianza kuona maisha yanaboa maana yake unakaribisha upweke.
Safiii anza kumanifest hii sasa hivi.
Mimi nilianza kupanda miti siku ya kwanza nimenunua eneo.
By the time naanza kujenga(two years later) ile miti ilishakuwa mirefu kabisa.
eneo la garden nililikata kabla kuchimba msingi.
Watu hawakunielewa, so nimeanza kujenga nikaanza na bustani ya maua mbele ya nyumba, mpk sasa ni kama tumeishi hapo miaka 5 , wakati March mwaka huu ndo tunakamilisha mwaka.
tunakula ndizi,mikomamanga miti imeshaweka vivuli vikubwa kabisa

So anza the very day umelipia eneo lako.
set mahala pa mazao mafupi, miti mirefu, bustani, mabanda ya mifugo na eneo la nyumba!
 
Safiii anza kumanifest hii sasa hivi.
Mimi nilianza kupanda miti siku ya kwanza nimenunua eneo.
By the time naanza kujenga(two years later) ile miti ilishakuwa mirefu kabisa.
eneo la garden nililikata kabla kuchimba msingi.
Watu hawakunielewa, so nimeanza kujenga nikaanza na bustani ya maua mbele ya nyumba, mpk sasa ni kama tumeishi hapo miaka 5 , wakati March mwaka huu ndo tunakamilisha mwaka.
tunakula ndizi,mikomamanga miti imeshaweka vivuli vikubwa kabisa

So anza the very day umelipia eneo lako.
set mahala pa mazao mafupi, miti mirefu, bustani, mabanda ya mifugo na eneo la nyumba!
Kwa bahati mbaya sana mkuu bado sijapata eneo la kumiliki ambalo litanitisha kwa hayo yote.

I Hope miaka ya mbele nitapata eneo kama hilo.

Nimekosa basi iwe japo robo tatu hekari ama hekari moja.

Nataka niwe mtu wa shamba yaani kila bidhaa ipo hapo nyumbani.
 
Unaenda eneo ambalo mji haujakua sana unatengeneza sehemu nzuri unauza kahawa watu wanakunywa huku mnaaangalia bunge😁hapo hutakaa uwe mpweke
Nimegundua upweke ni tatizo kubwa hapa duniani sio ulaya tu pekee.

KUna haja ya kuishi kama ambavyo tuliishi utotoni yaani marafiki na kuwa na bize nyingi za hapa na pale.
 
Me ukitaka uone kweli nipo mpweke ni pale flow ya hela inaposuasua ila kuhusu watu huwa natamani hata niwahamishe dunia nyingine hii nikae mwenyewe.
 
Kwa mwanaume kukabiliana na upweke, ukitoka job pitia kijiweni usiende gheto direct pata kahawa kidogo, cheza draft na wagosi , shika stick sukuma sukuma pooltable, ukiona bado unajihisi mpweke nenda kanunue PS , nunua external jaza movie kali ambazo hazijatafsiriwa alafu ndani weka chupa mbili tatu za mvinyo uone kama utakua mpweke.

Ukishindwa kabisa tafuta mwanamke wa kukupigia makelele ila awe anakupa utelezi kukuponya nafsi


Mwanamke kukabiliana na upweke ni kuolewa na kuzaa watoto pamoja na kumtii mumewe

Binafsi yangu nikikaa vijiweni au sehemu yoyote ambayo watu wanaongelea sana maisha ya watu negatively lazma nipate loniliness kubwa kuliko nikiwa peke yangu.

Loniliness ingine ni nikiwa sina hela 😁😁 hapo inazidi mara dufu
 
Me ukitaka uone kweli nipo mpweke ni pale flow ya hela inaposuasua ila kuhusu watu huwa natamani hata niwahamishe dunia nyingine hii nikae mwenyewe.
Hata mili niliangalia kuna pattern za maisha nikaja kugundua. Nikiwa sina pesa nakuwa miserable

Ila kama miamala inasoma na nipo busy kwa kufanya kitu nachokipenda. Loniliness ni ngumu sana kunipata
 
Hata mili niliangalia kuna pattern za maisha nikaja kugundua. Nikiwa sina pesa nakuwa miserable

Ila kama miamala inasoma na nipo busy kwa kufanya kitu nachokipenda. Loniliness ni ngumu sana kunipata
Yah mkuu hata mimi nimeona.

Ndio maana husemwa kwamba pesa na maendeleo ni moja ya sababu ya upweke hapa duniani
 
Kwenye kila familia kuna watoto huwa wanakuwa kama walezi wa wazazi ,wao wanakusanya maokoto kutoka kwa mabrothers na masisters wake...wanakaa tu home kwao.
 
Kwa bahati mbaya sana mkuu bado sijapata eneo la kumiliki ambalo litanitisha kwa hayo yote.

I Hope miaka ya mbele nitapata eneo kama hilo.

Nimekosa basi iwe japo robo tatu hekari ama hekari moja.

Nataka niwe mtu wa shamba yaani kila bidhaa ipo hapo nyumbani.
Manifest.
Tamka unalo na kisha utaona kila unachofanya unakielekeza kwenye dream yako.
wala usipunguze ukubwa.
Sema nina heka 1 yenye mifugo na makazi na mimea.
Utaishi ukiimeza hii na kila senti utajikuta unaielekeza kwenye mrija utakakaokupatia unachotamani!

Hebu soma 365 Manifestation Power + Workbook
 
Back
Top Bottom