Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #41
Miaka inavyosonga mbele ndio uhitaji wa watu unaongezeka, hasa kuanzia miaka 50+naweza Kushinda ndan hasa chumban wiki nzima bila kuona jua na nisione huo upweke Yaaan nalala na Amka labda chakula kiishe ndo ntawaza kwenda nje
Mie nimejenga chumba kimoja tu nalala na wajukuu humohumo upweke sinaVipi huko upweke haukusumbui?
Hiyo ndio nzuriMie nimejenga chumba kimoja tu nalala na wajukuu humohumo upweke sina
KabisaHiyo ndio nzuri
Kizazi kitachokaNi kuzaa tu Kwa fujo.
Baba itabidi akapandikize hata huko nje alete watoto...Kizazi kitachoka
Tatizo kutunza kifaranga mpaka kijitegemee ni adhabu nyingine hiyoBaba itabidi akapandikize hata huko nje alete watoto...
Wewe kama mimiKuna watu hatupendi fujo, Tunaonekana wapweke ila ndo Furaha yetu.
Sio kwako lknUpweke mbaya sana
Haya ndio ma8sha ambayo nayataka niyaishi kuanzia miaka michache huko mbeleni.Mimi nyumbani kwangu eneo kubwa zaidi nimelitenga la viumbe hai (Nyumba imechukua robo ya eneo na the rest ni mimea na wanyama na ndege)
Kuna nyasi, migomba, miti ya matunda, miti ya vivuli, bustani za mboga na maua nimeanza kujenga mabanda mazuri kabisa ya kuku, bata, bata mzinga, sungura (hawa tayari wapo), mbwa tayari wapo pia, kuna kitenga vya kasuku pia na maboxi ya njiwa.
Mji wa aina hii bado ukiwa mpweke we tena basi!
Mana kuanzia asbh naamka ninatoka banda hili, naingia lile, naenda mgomba huu mara mpera ule.
Sijawahi hisi upweke nikiwa nyumbani!
Miaka inavyosonga mbele ndio uhitaji wa watu unaongezeka, hasa kuanzia miaka 50+
Long distance relationship inaleta upweke sana mkuuSio kwako lkn
Bila shaka wewe ni introvertKuna watu hatupendi fujo, Tunaonekana wapweke ila ndo Furaha yetu.
Mimi nina vyote hivyo haswa Tv box ila mwezi wa tatu sijakaa kuangalia Tv nyumbani...😅😅Naipita tu hapo nikitoka na kuingia.Unakuaje mpweke wewe!
Lipia Azam Tv
Netflix
Kua na bando
Movie kwenye Pc za kutosha
Kuna jf
Ko hua unakabilianaje na upweke?Mimi nina vyote hivyo haswa Tv box ila mwezi wa tatu sijakaa kuangalia Tv nyumbani...😅😅Naipita tu hapo nikitoka na kuingia.