Namna ya kutambua simu unayonunua kama ni Brand new au Refurbished

Namna ya kutambua simu unayonunua kama ni Brand new au Refurbished

Forest Hill

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2018
Posts
2,873
Reaction score
6,821
Kuna Post Mdau kauliza Duka gani lina reputation nzuri ya kuuza SIMU ZA SAMSUNG ORIGINAL NA SIO REFURBISHED?

Nimeona nijibu kama Post Mpya kwa Faida ya wengi, kwa miaka mingi niliyouza Simu,nimeona maduka makubwa wakiuza vitu FAKE,used kwa bei ya kitu KIPYA, wateja wengi hawajui na hawana muda,
Ni ngumu sana kujua simu mpya na refurbished kwa macho.

Huwezi kuamini hadi iPhone 16 zinauzwa kama mpya ila zishazingua..kuna duka ni authorized seller wa samsung wanauza simu nyingine zishatumika,nikiwa kama ex winga nitaandika mbinu chache za kujua simu mpya,

Kwa Samsung, angalia Imei number zilizopo kwenye mfuniko wa nyuma na za ndani ya simu zinaendana? Na kama zinaendana, waambie wakupe box, je imei number za kwenye box la simu zinaendana na za kwenye simu?

Software:ukiingia kwenye settings za Samsung, angalia status ya software,wakiandika OFFICIAL means simu haija chezewa,ila wakiandika CUSTOM kimbia

Mbinu nyingine kwa Samsung andika codes hizi kwenye uwanja wa kupiga simu ##786#

Hii inaitwa RTN SCREEN juu kwenye option click VIEW..status ikionesha YES means simu ni REFURBISHED, ikionesha NO means simu ni brand New..

Kwenye iPhone simple,ukiingia kwenye settings za iPhone nenda kwenye settings, nenda kwenye general,then about phone..kuna maneno haya hapa na maana zake

M -simu mpyaaaaa(brand new)

N -Simu ilikua mpya ila imezingua ikarekebishwa na kurudishwa dukani,ila sio USED

F – Simu ni refurbished

Be aware wahindi matapeli.

20241003_090934.jpg
Screenshot_20241003-085415_Settings.jpg
 
Kuna Post Mdau kauliza Duka gani lina reputation nzuri ya kuuza SIMU ZA SAMSUNG ORIGINAL NA SIO REFURBISHED?

Nimeona nijibu kama Post Mpya kwa Faida ya wengi, kwa miaka mingi niliyouza Simu,nimeona maduka makubwa wakiuza vitu FAKE,used kwa bei ya kitu KIPYA, wateja wengi hawajui na hawana muda,
Ni ngumu sana kujua simu mpya na refurbished kwa macho.

Huwezi kuamini hadi iPhone 16 zinauzwa kama mpya ila zishazingua..kuna duka ni authorized seller wa samsung wanauza simu nyingine zishatumika,nikiwa kama ex winga nitaandika mbinu chache za kujua simu mpya,

Kwa Samsung, angalia Imei number zilizopo kwenye mfuniko wa nyuma na za ndani ya simu zinaendana? Na kama zinaendana, waambie wakupe box, je imei number za kwenye box la simu zinaendana na za kwenye simu?

Software:ukiingia kwenye settings za Samsung, angalia status ya software,wakiandika OFFICIAL means simu haija chezewa,ila wakiandika CUSTOM kimbia

Mbinu nyingine kwa Samsung andika codes hizi kwenye uwanja wa kupiga simu ##786#

Hii inaitwa RTN SCREEN juu kwenye option click VIEW..status ikionesha YES means simu ni REFURBISHED, ikionesha NO means simu ni brand New..

Kwenye iPhone simple,ukiingia kwenye settings za iPhone nenda kwenye settings, nenda kwenye general,then about phone..kuna maneno haya hapa na maana zake

M -simu mpyaaaaa(brand new)

N -Simu ilikua mpya ila imezingua ikarekebishwa na kurudishwa dukani,ila sio USED

F – Simu ni refurbished

Be aware wahindi matapeli.


Eti wakupe box ulinganishe imei ya simu na ya Box unaleta vichekesho 😃😃😃.

Nenda Guangzhou kuna maduka watakuwekea simu iPhone ama Samsung kwenye box lenye imei sahihi na simu na kuweka seal ukiona utasema mpya nadhani wanaziita New Second Hand Phones
 
Eti wakupe box ulinganishe imei ya simu na ya Box unaleta vichekesho 😃😃😃.

Nenda Guangzhou kuna maduka watakuwekea simu iPhone ama Samsung kwenye box lenye imei sahihi na simu na kuweka seal ukiona utasema mpya nadhani wanaziita New Second Hand Phones
Umesoma uzi wote mkuu??nimetoa njia zaidi ya Moja..mimi hata box tu najua hili sio,hili lenyewe..nimeuza simu miaka zaidi ya 15..
 
Njia nyengine rahisi lakini itabidi uzime simu na kuingia download mode ni kuangalia kama Knox ipo tripped,

Samsung zote mpya ukiigusa kuifanyia jambo tu una trip Knox na ku void warranty.

Ukiingia download mode ikiandika 0x1 imeguswa ikiwa 0x0 ipo fresh.

Pia Samsung za Africa unaweza kuregister Warranty online na ku claim benefit kwa Wasiojua simu za Samsung ukinunua official kutengeneza Vioo ni bei rahisi sana.


Unajisajili hapa

Ukiona unaingiza Imei halafu haiji Tanzania kuchagua ina maana simu imetoka Nje kijanja janja na ni refurb.
 
T
Kuna Post Mdau kauliza Duka gani lina reputation nzuri ya kuuza SIMU ZA SAMSUNG ORIGINAL NA SIO REFURBISHED?

Nimeona nijibu kama Post Mpya kwa Faida ya wengi, kwa miaka mingi niliyouza Simu,nimeona maduka makubwa wakiuza vitu FAKE,used kwa bei ya kitu KIPYA, wateja wengi hawajui na hawana muda,
Ni ngumu sana kujua simu mpya na refurbished kwa macho.

Huwezi kuamini hadi iPhone 16 zinauzwa kama mpya ila zishazingua..kuna duka ni authorized seller wa samsung wanauza simu nyingine zishatumika,nikiwa kama ex winga nitaandika mbinu chache za kujua simu mpya,

Kwa Samsung, angalia Imei number zilizopo kwenye mfuniko wa nyuma na za ndani ya simu zinaendana? Na kama zinaendana, waambie wakupe box, je imei number za kwenye box la simu zinaendana na za kwenye simu?

Software:ukiingia kwenye settings za Samsung, angalia status ya software,wakiandika OFFICIAL means simu haija chezewa,ila wakiandika CUSTOM kimbia

Mbinu nyingine kwa Samsung andika codes hizi kwenye uwanja wa kupiga simu ##786#

Hii inaitwa RTN SCREEN juu kwenye option click VIEW..status ikionesha YES means simu ni REFURBISHED, ikionesha NO means simu ni brand New..

Kwenye iPhone simple,ukiingia kwenye settings za iPhone nenda kwenye settings, nenda kwenye general,then about phone..kuna maneno haya hapa na maana zake

M -simu mpyaaaaa(brand new)

N -Simu ilikua mpya ila imezingua ikarekebishwa na kurudishwa dukani,ila sio USED

F – Simu ni refurbished

Be aware wahindi matapeli.

 
Njia nyengine rahisi lakini itabidi uzime simu na kuingia download mode ni kuangalia kama Knox ipo tripped,

Samsung zote mpya ukiigusa kuifanyia jambo tu una trip Knox na ku void warranty.

Ukiingia download mode ikiandika 0x1 imeguswa ikiwa 0x0 ipo fresh.

Pia Samsung za Africa unaweza kuregister Warranty online na ku claim benefit kwa Wasiojua simu za Samsung ukinunua official kutengeneza Vioo ni bei rahisi sana.


Unajisajili hapa

Ukiona unaingiza Imei halafu haiji Tanzania kuchagua ina maana simu imetoka Nje kijanja janja na ni refurb.
Mkuu hiyo njia rahisi ila kwa ma developer au watu kidogo wanaojua software za simu..
 
Mkuu hiyo njia rahisi ila kwa ma developer au watu kidogo wanaojua software za simu..
Sio kazi unazima simu kisha una hold volumes button halafu Unachomeka usb cable ambayo ipo connected zinaingia download mode.

Inategemea na simu na simu simu za zamani inaweza kuwa na combination nyengine, unagoogle model husika online.
 
Sio kazi unazima simu kisha una hold volumes button halafu Unachomeka usb cable ambayo ipo connected zinaingia download mode.

Inategemea na simu na simu simu za zamani inaweza kuwa na combination nyengine, unagoogle model husika online.
Nafahamu nazungumza kwa watu ambao hawana ABC,..
 
Hakuna Sony mpya Tanzania Na wala hawapo official Tanzania. Simu zote za Sony hapa ni refurb.
Miaka ya nyuma walikuwa na wakala wao pale Mlimani City nina miaka mingi yawezekana wamefunga.
 
Back
Top Bottom