Namna ya kutambua simu unayonunua kama ni Brand new au Refurbished

Namna ya kutambua simu unayonunua kama ni Brand new au Refurbished

🤣🤣🤣🤣🤣
Inajizimikiaga tu ikijisikia, mara igome kuwaka, mara masaa matatu ichaji asilimi 4, ilimradi tu tafrani🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Haitakangi Amani..
 
Kuna Post Mdau kauliza Duka gani lina reputation nzuri ya kuuza SIMU ZA SAMSUNG ORIGINAL NA SIO REFURBISHED?

Nimeona nijibu kama Post Mpya kwa Faida ya wengi, kwa miaka mingi niliyouza Simu,nimeona maduka makubwa wakiuza vitu FAKE,used kwa bei ya kitu KIPYA, wateja wengi hawajui na hawana muda,
Ni ngumu sana kujua simu mpya na refurbished kwa macho.

Huwezi kuamini hadi iPhone 16 zinauzwa kama mpya ila zishazingua..kuna duka ni authorized seller wa samsung wanauza simu nyingine zishatumika,nikiwa kama ex winga nitaandika mbinu chache za kujua simu mpya,

Kwa Samsung, angalia Imei number zilizopo kwenye mfuniko wa nyuma na za ndani ya simu zinaendana? Na kama zinaendana, waambie wakupe box, je imei number za kwenye box la simu zinaendana na za kwenye simu?

Software:ukiingia kwenye settings za Samsung, angalia status ya software,wakiandika OFFICIAL means simu haija chezewa,ila wakiandika CUSTOM kimbia

Mbinu nyingine kwa Samsung andika codes hizi kwenye uwanja wa kupiga simu ##786#

Hii inaitwa RTN SCREEN juu kwenye option click VIEW..status ikionesha YES means simu ni REFURBISHED, ikionesha NO means simu ni brand New..

Kwenye iPhone simple,ukiingia kwenye settings za iPhone nenda kwenye settings, nenda kwenye general,then about phone..kuna maneno haya hapa na maana zake

M -simu mpyaaaaa(brand new)

N -Simu ilikua mpya ila imezingua ikarekebishwa na kurudishwa dukani,ila sio USED

F – Simu ni refurbished

Be aware wahindi matapeli.

Shukrani Sana mkuu
 
iphone 16 wame ilaunch September 20, manake haijamaliza hata mwezi tangu itoke. je hzo refurb zimetumima wapi na lini?
mtu anaweza akanunua Simu siku hiyohiyo akapasua glass,au inaweza kutoka kiwandani mbovu na asirudishe japo ina warrant,
Wengine mihemko tu,
 
mtu anaweza akanunua Simu siku hiyohiyo akapasua glass,au inaweza kutoka kiwandani mbovu na asirudishe japo ina warrant,
Wengine mihemko tu,
Haujajibu swali Twinnie, possibility ya hizo simu kuwepo kwa uwingi huo ikoje?

ni mwezi tu tangu zimetoka.
 
Haujajibu swali Twinnie, possibility ya hizo simu kuwepo kwa uwingi huo ikoje?

ni mwezi tu tangu zimetoka.
Twinnie,iPhone zinapokua launched marekani, stores za marekani simu huwa zinaisha siku ile ile ya kwanza,mfano iPhone 16 ilikua sell out masaa mawili tu baada ya kuanza kuuzwa...zinakuaje nyingi kwa kiasi hicho??

Kumbuka hapa tunaongelea REFURBISHED IPHONES sio used(second hand) hizi Simu huwa zinauzwa na Apple stores wenyewe,Maduka ya retailer(reputable) au mitandao ya simu,

zinavyo patikana ni kwamba unaweza kununua simu mpya BRAND NEW,ukafika nyumbani inasumbua speaker, unarudisha dukani,wanakupa simu nyingine..ile mbovu wana repair,wanarudisha dukani wanauza kwa bei ndogo, wanai rebel as F..

Wauza simu wanazigawa katika madaraja matatu,

LIKE NEW
PERFECT
NEARLY PERFECT
 
Twinnie,iPhone zinapokua launched marekani, stores za marekani simu huwa zinaisha siku ile ile ya kwanza,mfano iPhone 16 ilikua sell out masaa mawili tu baada ya kuanza kuuzwa...zinakuaje nyingi kwa kiasi hicho??

Kumbuka hapa tunaongelea REFURBISHED IPHONES sio used(second hand) hizi Simu huwa zinauzwa na Apple stores wenyewe,Maduka ya retailer(reputable) au mitandao ya simu,

zinavyo patikana ni kwamba unaweza kununua simu mpya BRAND NEW,ukafika nyumbani inasumbua speaker, unarudisha dukani,wanakupa simu nyingine..ile mbovu wana repair,wanarudisha dukani wanauza kwa bei ndogo, wanai rebel as F..

Wauza simu wanazigawa katika madaraja matatu,

LIKE NEW
PERFECT
NEARLY PERFECT
Now nimeelewa, Thank you.
 
Back
Top Bottom