Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Elimu nzuri sana hii..asante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mijitu ni wabishi tokea wazaliwe!Umesoma uzi wote mkuu??nimetoa njia zaidi ya Moja..mimi hata box tu najua hili sio,hili lenyewe..nimeuza simu miaka zaidi ya 15..
usb cable ambayo ipo connected na computer au kifaa gani ?Sio kazi unazima simu kisha una hold volumes button halafu Unachomeka usb cable ambayo ipo connected zinaingia download mode.
Vp kwa upande wa Xiaomi au redmi ipo official bongo au ndo tunanunua mafambaHakuna Sony mpya Tanzania Na wala hawapo official Tanzania. Simu zote za Sony hapa ni refurb.
Asante kumbe nina vitu orgUmesoma uzi wote mkuu??nimetoa njia zaidi ya Moja..mimi hata box tu najua hili sio,hili lenyewe..nimeuza simu miaka zaidi ya 15..
Hii ni balaa tupu huko sokoniKuna Post Mdau kauliza Duka gani lina reputation nzuri ya kuuza SIMU ZA SAMSUNG ORIGINAL NA SIO REFURBISHED?
Nimeona nijibu kama Post Mpya kwa Faida ya wengi, kwa miaka mingi niliyouza Simu,nimeona maduka makubwa wakiuza vitu FAKE,used kwa bei ya kitu KIPYA, wateja wengi hawajui na hawana muda,
Ni ngumu sana kujua simu mpya na refurbished kwa macho.
Huwezi kuamini hadi iPhone 16 zinauzwa kama mpya ila zishazingua..kuna duka ni authorized seller wa samsung wanauza simu nyingine zishatumika,nikiwa kama ex winga nitaandika mbinu chache za kujua simu mpya,
Kwa Samsung, angalia Imei number zilizopo kwenye mfuniko wa nyuma na za ndani ya simu zinaendana? Na kama zinaendana, waambie wakupe box, je imei number za kwenye box la simu zinaendana na za kwenye simu?
Software:ukiingia kwenye settings za Samsung, angalia status ya software,wakiandika OFFICIAL means simu haija chezewa,ila wakiandika CUSTOM kimbia
Mbinu nyingine kwa Samsung andika codes hizi kwenye uwanja wa kupiga simu ##786#
Hii inaitwa RTN SCREEN juu kwenye option click VIEW..status ikionesha YES means simu ni REFURBISHED, ikionesha NO means simu ni brand New..
Kwenye iPhone simple,ukiingia kwenye settings za iPhone nenda kwenye settings, nenda kwenye general,then about phone..kuna maneno haya hapa na maana zake
M -simu mpyaaaaa(brand new)
N -Simu ilikua mpya ila imezingua ikarekebishwa na kurudishwa dukani,ila sio USED
F – Simu ni refurbished
Be aware wahindi matapeli.
Wapo official Tigoshop na zipo famba pia. Sijajua warranty yao inafanyaje kazi nje ya Tigoshop.Vp kwa upande wa Xiaomi au redmi ipo official bongo au ndo tunanunua mafamba
kuna muuzaji atayekuruhusu ufanye haya yote kabla hujalipia hyo smu?Sio kazi unazima simu kisha una hold volumes button halafu Unachomeka usb cable ambayo ipo connected zinaingia download mode.
Inategemea na simu na simu simu za zamani inaweza kuwa na combination nyengine, unagoogle model husika online.
Hizo brandy ndio maarufu na soko la simu used 90% ni Samsung na iPhoneMkuu ukiachana na hizi brand 2 ulizozitolea ufafanuzi...... vipi kuhsu hizi nyengine au ndo waliosoma Cuba ndio tayari washaelewa.........??
Inatakiwa iwe computer ila unaweza kuitrick na kuchomeka popoteusb cable ambayo ipo connected na computer au kifaa gani ?
Ikianza kujipiga yenyewe....usianze kusumbua watu😅
Kutengeneza tecno fake ni kama kutengeneza pesa ya sarafu fake hah..
🤣🤣🤣🤣🤣Ikianza kujipiga yenyewe....usianze kusumbua watu😅