Namna ya kutambua simu unayonunua kama ni Brand new au Refurbished

Sio kazi unazima simu kisha una hold volumes button halafu Unachomeka usb cable ambayo ipo connected zinaingia download mode.
usb cable ambayo ipo connected na computer au kifaa gani ?
 
Mnao nunua samsung za kitonga mnapewa zenye kioo namba mbili, kilia kitu ni org ila kioo chenga hizi zimejaa kariako, kioo namba mbili kinakuwa rangi yake kama imepauka flani hivi, pia Wanao taka camera, ukiona timu spes za camera hazima haina telephto na optical zoom usiguse
 
Hii ni balaa tupu huko sokoni
 
Mkuu ukiachana na hizi brand 2 ulizozitolea ufafanuzi...... vipi kuhsu hizi nyengine au ndo waliosoma Cuba ndio tayari washaelewa.........??
 
Sio kazi unazima simu kisha una hold volumes button halafu Unachomeka usb cable ambayo ipo connected zinaingia download mode.

Inategemea na simu na simu simu za zamani inaweza kuwa na combination nyengine, unagoogle model husika online.
kuna muuzaji atayekuruhusu ufanye haya yote kabla hujalipia hyo smu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…