Namna ya kuwaona wachawi kwa kutumia Kisamvu

Mimi mbona sivion Ni kwamba wewe Ni MCHAWI au mlokole MWENYE hofu ya Mungu cariha
Mkuu husali tu kawaida tangu utotoni nilikuwa naona hivo vitu aisee Hadi maza jirani mwanga alikuwaga ananivhukua kwake kila akitaka kunikata ulimi wangu ulimi unateleza anashindwa mpaka nimekuwa Kuna ntu aliniombea nisiwe naona ila baada ya mda business as usual. SEMA kuona hivo huleta shida sana bana.
 
Asante sana mkuu. Ngoja maelekezo haya nimwachie ndugu yangu ili kama nitauliwa kichawi nikamnyooshe alieniua!!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Endelea kumuamini Mungu, watakaa vikao vyote hawataweza
 
[emoji23] ni kutafuta matatizo tu unapolazimisha kitu kufanya kazi zaidi ya uwezo wake

Sasa kama macho yameshindwa kuona katika hali yake ya kawaida kwann uyalazimishe kufunguka zaidi ya hapo[emoji23]
Ukiwa na roho ya kishirikina utatamani uone hata vile ulivyowekewa mipaka.

Ni kutosheka tu, ukitosheka hautateseka
 
[emoji23] ni kutafuta matatizo tu unapolazimisha kitu kufanya kazi zaidi ya uwezo wake

Sasa kama macho yameshindwa kuona katika hali yake ya kawaida kwann uyalazimishe kufunguka zaidi ya hapo[emoji23]
Ukiwa na roho ya kishirikina utatamani uone hata vile ulivyowekewa mipaka.

Ni kutosheka tu, ukitosheka hautateseka
 
Duu! Hayo masharti kazi kwelikweli! Yaani hujawahi muona mchawi alafu siku ya kwanza kumuona usishtuke!
Aisee hapo i lazima utatoka mbio ndefu!
 
Ni kumcha Mungu tu.
 
Mkuu kusema mzizi wa kisamvu ni chakula na shina ni kuni, utakuwa 'umebonyeza sana' bhana!

Aseme kwa kushuhudia aliyekwisha kula mzizi wa kisamvu na akapikia matawi yake hadi kuivishia chakula mf: ugali!
Akili huna wewe
Akili anazo.
Kwanza kuna tofauti ya mti wa kisamvu na muhogo.
Angesema majani ya muhogo, mti wa muhogo na mzizi wa muhogo.
Lakini mzizi wa kisamvu ni sumu, hauliwi.
 
Nilijua umeshafanya na ukawaona hao wachawi, kumbe unasubiri mrejesho wakati wewe ndiyo umetoa mbinu ya kuwaona wachawi!!! Bila shaka kuna Shehe au mtu amekusimulia au kuna mahali umecopy.
Kacopy Fb group inaitwa tiba asili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…