Namna ya kuwaona wachawi kwa kutumia Kisamvu

Namna ya kuwaona wachawi kwa kutumia Kisamvu

Duniani kuna miti mingi sana yenye nguvu za asili za miujiza

Katika miti hiyo mmoja wapo ni mti wa kisamvu

Kisamvu ni mboga,mizizi yake ni chakula na hata shina lake huweza kutumika kama kuni

Lakini siri kubwa iliyopo katika mti huu ni kuwa,majani yake yana uwezo mkubwa wa kukufanya uwaone wachawi live wakiwa kwenye kazi zao.

Kama na wewe ni mtu anayetamani sana kuwaona viumbe hawa basi fuata taratibu zifuatazo

Sharti
1.usiwe muoga
2.utakapowaona usikimbie wala kuonyesha mshtuko bali tulia mpaka watakapotoweka

Tahadhari
~ni vyema uwe na kinga dhidi ya nguvu zao hasi,hili pindi utakapovunja sharti lolote hapo juu usiweze kupata madhara yoyote

MAANDALIZI
~Ponda kisamvu mpaka kiive vizuri

~Kamua hili upate maji yake

~Chukua maji hayo nawa usoni huku unanuia

Ukimaliza hapo nenda sehemu ya soko ama panapokuwa na mkusanyiko mkubwa wa watu ama kasimame njia panda,pia hata ukiwa ndan umelala kama watakuja utawaona

Zingatia masharti.

Leteni mrejesho mtakao waona [emoji2][emoji2][emoji2][emoji28]
Yaani kutumia mbinu ya kuzimu kuwaona watumishi wake? Nehi

Mimi nimeona mpaka majini, mapepo na Malaika lakini sijawahi kunuizia kuwaona.

Hapa ninaishi kwa neema kwani nimeshapitia deathrow zaidi ya mara tatu na sifi.

Mungu ndiye mpango mzima
 
Duniani kuna miti mingi sana yenye nguvu za asili za miujiza

Katika miti hiyo mmoja wapo ni mti wa kisamvu

Kisamvu ni mboga, mizizi yake ni chakula na hata shina lake huweza kutumika kama kuni

Lakini siri kubwa iliyopo katika mti huu ni kuwa, majani yake yana uwezo mkubwa wa kukufanya uwaone wachawi live wakiwa kwenye kazi zao.

Kama na wewe ni mtu anayetamani sana kuwaona viumbe hawa basi fuata taratibu zifuatazo

Sharti
1. Usiwe muoga
2. Utakapowaona usikimbie wala kuonesha mshtuko bali tulia mpaka watakapotoweka

Tahadhari
Ni vyema uwe na kinga dhidi ya nguvu zao hasi, ili pindi utakapovunja sharti lolote hapo juu usiweze kupata madhara yoyote

MAANDALIZI
~Ponda kisamvu mpaka kiive vizuri

~Kamua ili upate maji yake

~Chukua maji hayo nawa usoni huku unanuia

Ukimaliza hapo nenda sehemu ya soko ama panapokuwa na mkusanyiko mkubwa wa watu ama kasimame njia panda, pia hata ukiwa ndani umelala kama watakuja utawaona

Zingatia masharti.

Leteni mrejesho mtakao waona [emoji2][emoji2][emoji2][emoji28]
Nasubiria ruhusa ya Mshana Jr ndo nifanye haya majaribio
 
Yaani kutumia mbinu ya kuzimu kuwaona watumishi wake? Nehi

Mimi nimeona mpaka majini, mapepo na Malaika lakini sijawahi kunuizia kuwaona.

Hapa ninaishi kwa neema kwani nimeshapitia deathrow zaidi ya mara tatu na sifi.

Mungu ndiye mpango mzima
Jina lako ni Msanii kama Una-tusanii je ?.
 
Back
Top Bottom