Namna ya kuwaona wachawi kwa kutumia Kisamvu

Namna ya kuwaona wachawi kwa kutumia Kisamvu

Kuna kipindi nilikuwa naona wachawi eeh bana siku hyo kariakoo si nikawa naona vitu vya ajabu nikishtuka vinapotea, aisee kumbe kariakoo ule wingi wa watu Kuna viumbe vya ajabu sana kule.
Sana pale mkuu, saaana
 
We donlucchese kweli we si mtu, umenilazimisha kumuomba Mshana Jr msamaha baada ya kugundua kuwa nimemuona yeye na wenzake sokoni Tandale jana usiku wakiwa njiani kuelekea Mwanga (Kilimanjaro). Alikuja Mshana na wenzake wakanipiga vibao na kuniambia niache upuuzi wa kuwafuatilia. Sina hamu na kisamvu kwa kweli.
Hahahaha [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji28][emoji28][emoji23]
 
Jengije kuhusu nguvu ya mti wa muhogo ni kuwa endopo unamashaka na kifo cha marehemu wako ya kwamba huenda ameuliwa kimazingara mshikishe marehemu fimbo ya mti wa muhogo halafu mzike,vumbi lake ni balaa kama kuna muhusika katika mauaji yanayohusishwa na nguvu za kiza,"atakuwa anakula bakora kila uchwao.
 
Ujinga wa vita ya kichawi..wakikushindwa kikao cha mtaa ,,wanaenda kukujadili adi kikao cha mkoa..
Wakishindwa cha mkoa ukustakia kwa shetani mwenyewe.
Ukiwa na tabia za kuwapora watu pesa zao kwenye akaunti sababu unaye babu unayemuamini wao ukustakiwa kwa shetani moja kwa moja uchomoki.Shetani anamuagiza waziri wake mkuu wa serikali yake anaitwa lucifuge lofokale.
 
Back
Top Bottom