Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
We kimbia tu ukajifiche ila tambua Mze Mpili hana masikhara.....atakupata tu popote pale ulipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kimbia tu ukajifiche ila tambua Mze Mpili hana masikhara.....atakupata tu popote pale ulipo.
Yaani kwa kweli you are right....@donlucchese ni muuwaji. Hivi hatuwezi kumshitaki serikalini au humu JF?Mtakuja kufa kizembe sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Watakuanzishia noma hilo hatare.. Waganga wenyewe wanaogopa kuwaonaDaah hapana[emoji23], niwaone wa kazi gani? Kwanini nitafute ugomvi nao na hawajanichokoza[emoji23]
Wenyewe wanajificha mm naenda kuwafunua kweli?
Yani wakiamua kukuanzishia noma lazima uage dunia au uame mkoa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]noma lao ni wakishindwa level ya mkoa wa enda level ya kanda mpaka ya taifa.. Wakishindwa wanaenda kimataifa kabisaUjinga wa vita ya kichawi..wakikushindwa kikao cha mtaa ,,wanaenda kukujadili adi kikao cha mkoa..
[emoji23] ni kutafuta matatizo tu unapolazimisha kitu kufanya kazi zaidi ya uwezo wakeWatakuanzishia noma hilo hatare.. Waganga wenyewe wanaogopa kuwaona
Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
Kitakachompata Kigoma hatakisahau mpaka aingie kaburiniWe kimbia tu ukajifiche ila tambua Mze Mpili hana masikhara.....atakupata tu popote pale ulipo.
Nilikuwa nazungumzia asipate uchungu wa mimba kujifungua, nahisi wangu wenye wivu hapa mtaani washafanya yao, nifanyaje
😩Umeua bila kukusudia mshana Jr🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji30]Umeua bila kukusudia mshana Jr[emoji1787][emoji1787]
Tumia tiba yetu ile ya chumvi ya mabongeNilikuwa nazungumzia asipate uchungu wa mimba kujifungua, nahisi wangu wenye wivu hapa mtaani washafanya yao, nifanyaje
mi nataka nimkamate mmoja nimpige paipu za kutosha mwongozo mkuu?Duniani kuna miti mingi sana yenye nguvu za asili za miujiza
Katika miti hiyo mmoja wapo ni mti wa kisamvu
Kisamvu ni mboga, mizizi yake ni chakula na hata shina lake huweza kutumika kama kuni
Lakini siri kubwa iliyopo katika mti huu ni kuwa, majani yake yana uwezo mkubwa wa kukufanya uwaone wachawi live wakiwa kwenye kazi zao.
Kama na wewe ni mtu anayetamani sana kuwaona viumbe hawa basi fuata taratibu zifuatazo.
Sharti
1. Usiwe muoga
2. Utakapowaona usikimbie wala kuonesha mshtuko bali tulia mpaka watakapotoweka
Tahadhari
Ni vyema uwe na kinga dhidi ya nguvu zao hasi, ili pindi utakapovunja sharti lolote hapo juu usiweze kupata madhara yoyote
MAANDALIZI
~Ponda kisamvu mpaka kiive vizuri
~Kamua ili upate maji yake
~Chukua maji hayo nawa usoni huku unanuia
Ukimaliza hapo nenda sehemu ya soko ama panapokuwa na mkusanyiko mkubwa wa watu ama kasimame njia panda, pia hata ukiwa ndani umelala kama watakuja utawaona
Zingatia masharti.
Leteni mrejesho mtakao waona [emoji2][emoji2][emoji2][emoji28]
Imeisha hiyoMREJESHOO....
Baada ya kusoma uzi nikaenda kwa jirabi Mama mwaju nikachuma kisamvu nikafata masharti ya Uzi pale kwenye kupata usoni sana nikaisi kama nimeweka uso kwenye ziwa la pilipili macho yaliwasha SANAAAA nkavumilia baada ya apo Uso ukawa umekakamaa vby sana nikasubr ukauke ukakauka ila bado ulkua umekakamaa 7bu kisamvu kina utomvu mzito sana.....Basi nikatoka ndani nishuhudie ao viumbe patupu nikaenda sokoni patupu nikaenda barabarani patupu nikarudi zangu kunawa uso mfyuu
Atanyandua fisi akidhani ni mrembo[emoji3][emoji3][emoji3]shauri yakeHahaha, kwa hilo muone Mshana Jr
ok fresh , 🙏🙏
Hii ilishamtokea shemeji yangu alikuwa anatisha kwa uganga eneo flan.akawatibu watu waliologwa.wale wachawi wakachukia wakaanza kumkalia kuanzia kikao cha kata mpaka cha kitaifa ndio wakumuweza.sikuamini kwa jinsi nilivyokuwa naujua ujuzi wake.wakawa wamempofusha kichawi.alikaa miezi 2 bila kuona.mizimu yake ikaanza kumponyesha kupitia wateja anavyowapa tiba ndio huo mchanga wa kichawi machoni ukawa unadondoka.hatimae akaona.wale wachawi wa kijiji hicho waliomkalia kamati walivyopata taharifa wakakimbia akabaki 1.alianza kufa mmoja mmoja mpaka Leo nauogopa uchawi.uchawi ni kitu kimoja hatari sana.haijalishi upo umbali gani anakufanyizia tuu.wengine hata uwe na kinga wanakupiga tuu,huwa ni hesabu tuu.hvyo usitake kuwafukunyua hawa watu,hawanaga dogo.watayaharibu maisha yako yote yawe ya laanaUjinga wa vita ya kichawi..wakikushindwa kikao cha mtaa ,,wanaenda kukujadili adi kikao cha mkoa..
Hii chumvi nime ikubali 100%,tuli zozana na Mkewangu akajua nita mpiga aka ondoka,akatuma sms nyiingi kua sirudi tena nime choshwa nakuni tishia kunipiga (ila hii tabia nilisha iacha kbs ya kupigana sa'bu kuna siku kipigo kilinifanya nijute kwann nime mpiga so nika apa sita rudia)basi majuzi tulipishana lugha nikamwambia leo nakuchapa,wee akatoka mbio, sasa nikajua hz sms huyu yupo serious...basi nika ona mmh sjajiandaa kumpiga chini nita kwama tuu, Basi nika choma chumvi ktk moto huku nanuia arudi [emoji2][emoji2][emoji2] baasi asubuhi sms za mikwara zika endelea mm sikua najibu,nika mwambia nakutakia kila la kheri [emoji120],Basi jioni karudi tena na story nzuuri mpaka nika shangaa [emoji848] basi nika amini hii CHUMVI ni NOMAAA sana aisee
We utakuwa mchawi sio bure mbona umepata mhaho wa ghaflaHamna kitu happo ni stori tu