The wave
JF-Expert Member
- Feb 27, 2021
- 283
- 318
Jaribu usipoonekana tutapeleka hbr centralNgoja nijaribu nitaleta mrejesho wakuu, mkiona kimya ujue wameniteka
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaribu usipoonekana tutapeleka hbr centralNgoja nijaribu nitaleta mrejesho wakuu, mkiona kimya ujue wameniteka
Haya. kwa upande wangu bado kuna ukakasi kuamini i wish nijionee.Hahaha
I am an artist by professional. A painter
Believe it or not. Aliyeona ni mimi na nina uthibitisho
Kama upo pemba utaendelea kupatiwa huduma na popobawa maana huko ndio makazi yake yalipo kikubwa nikuendelea kumpatia ushirikiano tu asipate tabuJe hii dawa inaweza kutumika kwa popo bawa pia?Niko Pemba
Nitafanya ili nione ulimwengu ulivyo na mambo aise na kama wanatembea uchi ndio ntaenjoy zaidi ili nione walivyoumbikaDuniani kuna miti mingi sana yenye nguvu za asili za miujiza
Katika miti hiyo mmoja wapo ni mti wa kisamvu
Kisamvu ni mboga, mizizi yake ni chakula na hata shina lake huweza kutumika kama kuni
Lakini siri kubwa iliyopo katika mti huu ni kuwa, majani yake yana uwezo mkubwa wa kukufanya uwaone wachawi live wakiwa kwenye kazi zao.
Kama na wewe ni mtu anayetamani sana kuwaona viumbe hawa basi fuata taratibu zifuatazo.
Sharti
1. Usiwe muoga
2. Utakapowaona usikimbie wala kuonesha mshtuko bali tulia mpaka watakapotoweka
Tahadhari
Ni vyema uwe na kinga dhidi ya nguvu zao hasi, ili pindi utakapovunja sharti lolote hapo juu usiweze kupata madhara yoyote
MAANDALIZI
~Ponda kisamvu mpaka kiive vizuri
~Kamua ili upate maji yake
~Chukua maji hayo nawa usoni huku unanuia
Ukimaliza hapo nenda sehemu ya soko ama panapokuwa na mkusanyiko mkubwa wa watu ama kasimame njia panda, pia hata ukiwa ndani umelala kama watakuja utawaona
Zingatia masharti.
Leteni mrejesho mtakao waona [emoji2][emoji2][emoji2][emoji28]
Mkuu nimependa hii verse ya mwisho “Ukitaka kuona ya gizani just tumia light”Unapokutana na kiumbe chochote kisicho cha kawaida hata shetani, wewe uliza WHO ARE YOU?
Kumbuka viumbe visivyo na mwili vinabeba umbo lolote kwa malengo wanayoyatarajia.
Mzee, nimekutana nao, nimeongea nao na pia nimechepushwa njia za kifo mara tatu zaidi.
Mtu anapokupa mbinu za kigiza giza ili uyaone yaliyogizani huyo anatafuta new members. Ukitaka kuyaona ya gizani just tumia light
Sasa unakuta mchawai ni katoto kabichi,ziwa limesimama ndo mchawi.Hii mbinu yawafaa wazee wa chabo,nasikia wachawi ni nudes.yaani waenda uchi
Unaachaje sasa,Sasa unakuta mchawai ni katoto kabichi,ziwa limesimama ndo mchawi.
Hapo si utaomba game tu
Kisamvu kina utomvu mbaya sana, ukikuingia kwenye macho, utarudi kwa mleta mada kutafuta tiba ya upofu~Chukua maji hayo nawa usoni huku unanuia
Wewe utaweza kujipaka kinsamvu ukaenda kwenye Kadamnasi ?Kunuia ndo kufanyaje? Hata hivyo ni risk kubwa sana hii
Hadi kamati kuu...Ujinga wa vita ya kichawi..wakikushindwa kikao cha mtaa ,,wanaenda kukujadili adi kikao cha mkoa..
nahitaji hii.kitu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Utarukwa na akili kwakuwa hutawaona wachawi tuu.. Utaona mpaka viumberoho wengine wenye kuogofya mno..!!!
Nknk
Vichaa huona nini?
Hahaha ni kichaa maarufu wa siku nyingi sana mitaa ile umeshindwa hata kunipatia mwanga kweli mkuu...Dah hakuwa kichaa kabisa huyowww.jamiiforums.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiki kikao cha mkoa kinakuwa kama kikao cha kamati ya ulinzi na usalama cha mkoa, RCC kinachoendeshwa na mkuu wa mkoa?Ujinga wa vita ya kichawi..wakikushindwa kikao cha mtaa ,,wanaenda kukujadili adi kikao cha mkoa..
Yani unajadiliwa kimapana..na kikosi kazi cha kukushughulikia kinaundwa...na mrejesho inabidi wapeleke kwa mkuu wao kuhusu kazi waliyopewaHiki kikao cha mkoa kinakuwa kama kikao cha kamati ya ulinzi na usalama cha mkoa, RCC kinachoendeshwa na mkuu wa mkoa?
Unaweza kuta jamaa anatuingiza chaka, ila kwa kuwa amesema mwenyewe acha tu tumwamini.....Mkuu umewaona mpaka malaika ?!!!
Ulijuaje kuwa ni malaika ?!!
Uliongea nao?
Duuh hadi malaika na mapepo [emoji23][emoji23]Yaani kutumia mbinu ya kuzimu kuwaona watumishi wake? Nehi
Mimi nimeona mpaka majini, mapepo na Malaika lakini sijawahi kunuizia kuwaona.
Hapa ninaishi kwa neema kwani nimeshapitia deathrow zaidi ya mara tatu na sifi.
Mungu ndiye mpango mzima
Nafikiri kwa sisi tunaomwamini Mungu wakikuwekea RCC yao, basi na malaika kule mbinguni wanakaa kwenye RCC.......sasa hapo ndo itajulikana kama viwavi jeshi nao wanavaa kombati au laa!Yani unajadiliwa kimapana..na kikosi kazi cha kukushughulikia kinaundwa...na mrejesho inabidi wapeleke kwa mkuu wao kuhusu kazi waliyopewa
Mi nataka kuona wapi watu wanaficha hela ktk maeneo ninayoweza kuyafikia na kuzichukua bila Masharti.
Mtakuja kufa kizembe sana [emoji23][emoji23][emoji23]We donlucchese kweli we si mtu, umenilazimisha kumuomba Mshana Jr msamaha baada ya kugundua kuwa nimemuona yeye na wenzake sokoni Tandale jana usiku wakiwa njiani kuelekea Mwanga (Kilimanjaro). Alikuja Mshana na wenzake wakanipiga vibao na kuniambia niache upuuzi wa kuwafuatilia. Sina hamu na kisamvu kwa kweli.