Namna ya kuwaona wachawi kwa kutumia Kisamvu

Namna ya kuwaona wachawi kwa kutumia Kisamvu

Hii chumvi nime ikubali 100%,tuli zozana na Mkewangu akajua nita mpiga aka ondoka,akatuma sms nyiingi kua sirudi tena nime choshwa nakuni tishia kunipiga (ila hii tabia nilisha iacha kbs ya kupigana sa'bu kuna siku kipigo kilinifanya nijute kwann nime mpiga so nika apa sita rudia)basi majuzi tulipishana lugha nikamwambia leo nakuchapa,wee akatoka mbio, sasa nikajua hz sms huyu yupo serious...basi nika ona mmh sjajiandaa kumpiga chini nita kwama tuu, Basi nika choma chumvi ktk moto huku nanuia arudi [emoji2][emoji2][emoji2] baasi asubuhi sms za mikwara zika endelea mm sikua najibu,nika mwambia nakutakia kila la kheri [emoji120],Basi jioni karudi tena na story nzuuri mpaka nika shangaa [emoji848] basi nika amini hii CHUMVI ni NOMAAA sana aisee
Basi nika choma chumvi ktk moto huku nanuia arudi [emoji2][emoji2][emoji2] baasi asubuhi sms za mikwara zika endelea mm sikua najibu,nika mwambia nakutakia kila la kheri [emoji120],Basi jioni karudi tena na story nzuuri mpaka nika shangaa [emoji848] basi nika amini hii CHUMVI ni NOMAAA sana aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jengije kuhusu nguvu ya mti wa muhogo ni kuwa endopo unamashaka na kifo cha marehemu wako ya kwamba huenda ameuliwa kimazingara mshikishe marehemu fimbo ya mti wa muhogo halafu mzike,vumbi lake ni balaa kama kuna muhusika katika mauaji yanayohusishwa na nguvu za kiza,"atakuwa anakula bakora kila uchwao.
Mkuu upo serious??
 
Duuh hadi malaika na mapepo [emoji23][emoji23]

Wewe kweli msanii
Na kwa akili zako kubwa kabisa umedhania nilikutana nao kijiwe kimoja tukapiga story.


Mimi wa kawaida mno. Sina la kujitapa kwenye hili na pia nasema ukweli
 
Hamna kitu hapo ni stori tu
Duniani kuna miti mingi sana yenye nguvu za asili za miujiza

Katika miti hiyo mmoja wapo ni mti wa kisamvu

Kisamvu ni mboga, mizizi yake ni chakula na hata shina lake huweza kutumika kama kuni

Lakini siri kubwa iliyopo katika mti huu ni kuwa, majani yake yana uwezo mkubwa wa kukufanya uwaone wachawi live wakiwa kwenye kazi zao.

Kama na wewe ni mtu anayetamani sana kuwaona viumbe hawa basi fuata taratibu zifuatazo.

Sharti
1. Usiwe muoga
2. Utakapowaona usikimbie wala kuonesha mshtuko bali tulia mpaka watakapotoweka

Tahadhari

Ni vyema uwe na kinga dhidi ya nguvu zao hasi, ili pindi utakapovunja sharti lolote hapo juu usiweze kupata madhara yoyote

MAANDALIZI
~Ponda kisamvu mpaka kiive vizuri

~Kamua ili upate maji yake

~Chukua maji hayo nawa usoni huku unanuia

Ukimaliza hapo nenda sehemu ya soko ama panapokuwa na mkusanyiko mkubwa wa watu ama kasimame njia panda, pia hata ukiwa ndani umelala kama watakuja utawaona

Zingatia masharti.

Leteni mrejesho mtakao waona [emoji2][emoji2][emoji2][emoji28]
Mkuu kusema mzizi wa kisamvu ni chakula na shina ni kuni, utakuwa 'umebonyeza sana' bhana!

Aseme kwa kushuhudia aliyekwisha kula mzizi wa kisamvu na akapikia matawi yake hadi kuivishia chakula mf: ugali!
 
Mkuu kusema mzizi wa kisamvu ni chakula na shina ni kuni, utakuwa 'umebonyeza sana' bhana!

Aseme kwa kushuhudia aliyekwisha kula mzizi wa kisamvu na akapikia matawi yake hadi kuivishia chakula mf: ugali!
Akili huna wewe
 
Nilicheka sana..kuna jamaa alisema walipoingia wapemba kariakoo ndio majini yalikuja..ila kabla ya hapo kulikuwa na vibwengo na wachawi tu...
 
Duniani kuna miti mingi sana yenye nguvu za asili za miujiza

Katika miti hiyo mmoja wapo ni mti wa kisamvu

Kisamvu ni mboga, mizizi yake ni chakula na hata shina lake huweza kutumika kama kuni

Lakini siri kubwa iliyopo katika mti huu ni kuwa, majani yake yana uwezo mkubwa wa kukufanya uwaone wachawi live wakiwa kwenye kazi zao.

Kama na wewe ni mtu anayetamani sana kuwaona viumbe hawa basi fuata taratibu zifuatazo.

Sharti
1. Usiwe muoga
2. Utakapowaona usikimbie wala kuonesha mshtuko bali tulia mpaka watakapotoweka

Tahadhari

Ni vyema uwe na kinga dhidi ya nguvu zao hasi, ili pindi utakapovunja sharti lolote hapo juu usiweze kupata madhara yoyote

MAANDALIZI
~Ponda kisamvu mpaka kiive vizuri

~Kamua ili upate maji yake

~Chukua maji hayo nawa usoni huku unanuia

Ukimaliza hapo nenda sehemu ya soko ama panapokuwa na mkusanyiko mkubwa wa watu ama kasimame njia panda, pia hata ukiwa ndani umelala kama watakuja utawaona

Zingatia masharti.

Leteni mrejesho mtakao waona [emoji2][emoji2][emoji2][emoji28]
Vipi nikipaka kamera ya simu?
 
Ni makosa makubwa kumuona mchawi na ukawa hauna nguvu zaidi yake, ukimuona mchawi na akagundua ni lazma akuuwe akufanye msukule kwahiyo tuache viherehere kila mtu aachwe afanye kaz yake bila kufatiliwa laa sivyo unaweza kujikuta kwenye matatzo tu
 
Ni makosa makubwa kumuona mchawi na ukawa hauna nguvu zaidi yake, ukimuona mchawi na akagundua ni lazma akuuwe akufanye msukule kwahiyo tuache viherehere kila mtu aachwe afanye kaz yake bila kufatiliwa laa sivyo unaweza kujikuta kwenye matatzo tu
Nikimuona bila kuhamaki nikatulia tuli anapata popup notification au?
 
Unamshikisha mkono gan?
Urefu wa kijiti uwe kiasi gan?
Kijiti kipi kinatumika kati ya kibichi au kikavu?
Unanuia?
mshikishe mkono wa kulia anyooke nacho kama alivyolala haina manuizi yoyote ni baada tu ya kukikata shambani.
 
Back
Top Bottom