Namna ya kuwaona wachawi kwa kutumia Kisamvu

Yaani kutumia mbinu ya kuzimu kuwaona watumishi wake? Nehi

Mimi nimeona mpaka majini, mapepo na Malaika lakini sijawahi kunuizia kuwaona.

Hapa ninaishi kwa neema kwani nimeshapitia deathrow zaidi ya mara tatu na sifi.

Mungu ndiye mpango mzima
 
Nasubiria ruhusa ya Mshana Jr ndo nifanye haya majaribio
 
Yaani kutumia mbinu ya kuzimu kuwaona watumishi wake? Nehi

Mimi nimeona mpaka majini, mapepo na Malaika lakini sijawahi kunuizia kuwaona.

Hapa ninaishi kwa neema kwani nimeshapitia deathrow zaidi ya mara tatu na sifi.

Mungu ndiye mpango mzima
Jina lako ni Msanii kama Una-tusanii je ?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…