Namna ya kuwasiliana na mizimu (ancestors) kwa ajili ya kupata mafanikio au kuweka mambo yako sawa

Namna ya kuwasiliana na mizimu (ancestors) kwa ajili ya kupata mafanikio au kuweka mambo yako sawa

Wauzaji wa containers

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
615
Reaction score
1,443
Hapa natoa madokezo (hints) kuhusu kujiunganisha na mizimu ya kwenu ili kuweka mambo yako sawa.

Tunaanza.

1. Tafuta eneo safi na tulivu
Hakikisha Una eneo safi na tulivu ambalo utalitumia Kama madhabu yako kuongea na mizimu ya kwenu ili kupata msaada eneo linaweza kuwa hata chumbani kwako ilimrdi usiwe unafanyia mambo machafu kama uzinzi ,kujichua ,n.k. pia waweza kuasha ubani au udi.

2. Weka nia na lengo
Kuwa na jambo lako maalumu unaloenda kuomba mizimu ,kama pesa ,biashara ,au Kazi .

3. Andaa sadaka au zawadi kwa mizimu
Hakikisha una zawadi au chakula.angalia aina gani ya zawadi unaweza kuwapa mizimu yako Kama Chakula, Picha ,maua au mnyama .

4. Andaa mshumaa
Andaa mshumaa na ukimaliza washa huo mshumaa kwa ajili ya kuita hizo roho za mizimu .

5. Anza kuomba au fanya tafakari
Kuomba waweza kuomba jambo unalohitaji litokee na pia unaweza kujiingiza katika kutafakari jambo unalotaka litokee , ukimaliza hakikisha unaushukuru mzimu wako.

6. Andika mambo yote uliomba na unayohitaji yatokee kwa kuamini tiyari umeshapata.

Mwisho, zoezi hili unaweza kulifanya kila wiki ,mwezi au mwaka .kutegemea na mahitaji yako.

Utaanza kupokea majibu kwa njia hizi
  • Ndoto
  • Kutoka kwa watu wako
  • Sauti yako ya ndani
Na utakuwa unaona ishara mbali mbali katika maisha yako ya kila siku.

Mizimu - ni ancestors -watu ambao wameishi kabla yetu. Jamii zote zilizoendelea huwa zinafanya maombi na matambiko kupitia their ancestors sema people they don't want to exposé their mystery how they made it.

Mimi hii ndo mbinu niliofundishwa na bibi (R I P) Ila it work 100%

Watu wa dini naomba mkae pembeni tafadhari.
 
Hapa natoa madokezo (hints) kuhusu kujiunganisha na mizimu ya kwenu ili kuweka mambo yako sawa.

Tunaanza.

1.Tafuta eneo safi na tulivu.
Hakikisha Una eneo safi na tulivu ambalo utalitumia Kama madhabu yako kuongea na mizimu ya kwenu ili kupata msaada eneo linaweza kuwa hata chumbani kwako ilimrdi usiwe unafanyia mambo machafu kama uzinzi ,kujichua ,n.k.


2. Weka nia na lengo
Kuwa na jambo lako maalumu unaloenda kuomba mizimu ,kama pesa ,biashara ,au Kazi .

3. Andaa sadaka au zawadi kwa mizimu.

Hakikisha una zawadi au chakula.angalia aina gani ya zawadi unaweza kuwapa mizimu yako Kama Chakula, Picha ,maua au mnyama .

4. Andaa mshumaa
Andaa mshumaa na ukimaliza washa huo mshumaa kwa ajili ya kuita hizo roho za mizimu .

5. Anza kuomba au fanya meditation.

Kuomba waweza kuomba jambo unalohitaji litokee na pia unaweza kujiingiza katika kutafakari jambo unalotaka litokee , ukimaliza hakikisha unaushukuru mzimu wako.

6. Andika mambo yote uliomba na unayohitaji yatokee kwa kuamini tiyari umeshapata.

Mwisho .
Zoezi hili unaweza kulifanya kila wiki ,mwezi au mwaka .kutegemea na mahitaji yako.

Utaanza kupokea majibu kwa njia hizi
Ndoto
Kutoka kwa watu wako
Sauti yako ya ndani
Na utakuwa unaona ishara mbali mbali katika maisha yako ya kila siku.


mizimu - ni ancestors -watu ambao wameishi kabla yetu. Jamii zote zilizoendelea huwa zinafanya maombi na matambiko kupitia their ancestors sema people they don't want to exposé their mystery how they made it.

Mimi hii ndo mbinu niliofundishwa na bibi (R I P) Ila it work 100%

Watu wa dini naomba mkae pembeni tafadhari.

Mkuu asante kwa somo lako zuri.

Umetoa dondoo, nakuomba unielekeze hatua kwa hatua namna ya kufanya
 
Kama
Kwani ukiwapa zawadi, may be maua au chakula...naamini hakipotei wala maua hawachukui, baada ya tukio unapeleka wapi?


Kama ni chakula unbidi kukuiacha hapo hapo for a while kitaingia katika mzunguko wa kuliwa na viumbe wengine the same mnyama n.k

Ila pia waweza kula icho chakula ikiwa umefanyia hiyo ibada chumbani kwako .

So ikiwa ni nje waweza acha hapo hapo ikiwa ndani use it .

So utaangalia njia iliyo bora hapo .
 
Hapa natoa madokezo (hints) kuhusu kujiunganisha na mizimu ya kwenu ili kuweka mambo yako sawa.

Tunaanza.

1.Tafuta eneo safi na tulivu.
Hakikisha Una eneo safi na tulivu ambalo utalitumia Kama madhabu yako kuongea na mizimu ya kwenu ili kupata msaada eneo linaweza kuwa hata chumbani kwako ilimrdi usiwe unafanyia mambo machafu kama uzinzi ,kujichua ,n.k. pia waweza kuasha ubani au udi.


2. Weka nia na lengo
Kuwa na jambo lako maalumu unaloenda kuomba mizimu ,kama pesa ,biashara ,au Kazi .

3. Andaa sadaka au zawadi kwa mizimu.

Hakikisha una zawadi au chakula.angalia aina gani ya zawadi unaweza kuwapa mizimu yako Kama Chakula, Picha ,maua au mnyama .

4. Andaa mshumaa
Andaa mshumaa na ukimaliza washa huo mshumaa kwa ajili ya kuita hizo roho za mizimu .

5. Anza kuomba au fanya meditation.

Kuomba waweza kuomba jambo unalohitaji litokee na pia unaweza kujiingiza katika kutafakari jambo unalotaka litokee , ukimaliza hakikisha unaushukuru mzimu wako.

6. Andika mambo yote uliomba na unayohitaji yatokee kwa kuamini tiyari umeshapata.

Mwisho .
Zoezi hili unaweza kulifanya kila wiki ,mwezi au mwaka .kutegemea na mahitaji yako.

Utaanza kupokea majibu kwa njia hizi
Ndoto
Kutoka kwa watu wako
Sauti yako ya ndani
Na utakuwa unaona ishara mbali mbali katika maisha yako ya kila siku.


mizimu - ni ancestors -watu ambao wameishi kabla yetu. Jamii zote zilizoendelea huwa zinafanya maombi na matambiko kupitia their ancestors sema people they don't want to exposé their mystery how they made it.

Mimi hii ndo mbinu niliofundishwa na bibi (R I P) Ila it work 100%

Watu wa dini naomba mkae pembeni tafadhari.
Yesu ni mwamba...
 
Kijana wa kisasa ukiwa na mambo mambo ya shirki unatia kinyaa kabisa...........mambo ya kuachiwa mikoba na bibi yako unayareta kwa critical thinking..........gelali hiyaaaaaaaaaaa
Ahahahah.. Umetawaliwa kifikra sana na dini za watu, kabla ya kutuletea dini zao hizo matambiko ndio zilikua dini zetu sisi wakatudanganya dini zetu n ushirikina wakatupa dini zao ili iwe simple kututawala. Fanya tafiti ndogo kwann Japan walikataa dini ya Ukristo na Muslim na kushika dini zao wao kama wao then utaleta majibu
 
Hapa natoa madokezo (hints) kuhusu kujiunganisha na mizimu ya kwenu ili kuweka mambo yako sawa.

Tunaanza.

1.Tafuta eneo safi na tulivu.
Hakikisha Una eneo safi na tulivu ambalo utalitumia Kama madhabu yako kuongea na mizimu ya kwenu ili kupata msaada eneo linaweza kuwa hata chumbani kwako ilimrdi usiwe unafanyia mambo machafu kama uzinzi ,kujichua ,n.k. pia waweza kuasha ubani au udi.


2. Weka nia na lengo
Kuwa na jambo lako maalumu unaloenda kuomba mizimu ,kama pesa ,biashara ,au Kazi .

3. Andaa sadaka au zawadi kwa mizimu.

Hakikisha una zawadi au chakula.angalia aina gani ya zawadi unaweza kuwapa mizimu yako Kama Chakula, Picha ,maua au mnyama .

4. Andaa mshumaa
Andaa mshumaa na ukimaliza washa huo mshumaa kwa ajili ya kuita hizo roho za mizimu .

5. Anza kuomba au fanya meditation.

Kuomba waweza kuomba jambo unalohitaji litokee na pia unaweza kujiingiza katika kutafakari jambo unalotaka litokee , ukimaliza hakikisha unaushukuru mzimu wako.

6. Andika mambo yote uliomba na unayohitaji yatokee kwa kuamini tiyari umeshapata.

Mwisho .
Zoezi hili unaweza kulifanya kila wiki ,mwezi au mwaka .kutegemea na mahitaji yako.

Utaanza kupokea majibu kwa njia hizi
Ndoto
Kutoka kwa watu wako
Sauti yako ya ndani
Na utakuwa unaona ishara mbali mbali katika maisha yako ya kila siku.


mizimu - ni ancestors -watu ambao wameishi kabla yetu. Jamii zote zilizoendelea huwa zinafanya maombi na matambiko kupitia their ancestors sema people they don't want to exposé their mystery how they made it.

Mimi hii ndo mbinu niliofundishwa na bibi (R I P) Ila it work 100%

Watu wa dini naomba mkae pembeni tafadhari.
Acheni imani za ajabu jamani ivi mtu ameshakufa hawezi ata kuongea hlf ety ww ukamuombe ndo atakusaidia

Jamani hizi ni akili au matope?

Muombe msaada Muumba wako atakusaidia achana na imani za kishirikina kama hizi
 
Back
Top Bottom