Akhi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 3,380
- 5,906
Acha kutisha watu ww kazi uongo tuuuPia waweza kutumia ancestors power -kufanya mashitaka ikiwa umedhurumiwa haki yako.
NB don't try this maana hii huwa ni hatari Sana na balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kutisha watu ww kazi uongo tuuuPia waweza kutumia ancestors power -kufanya mashitaka ikiwa umedhurumiwa haki yako.
NB don't try this maana hii huwa ni hatari Sana na balaa
Ndo apo sasa ninaposhangaa'Ancestors' wanatoa wapi nguvu?
Acheni imani za ajabu jamani ivi mtu ameshakufa hawezi ata kuongea hlf ety ww ukamuombe ndo atakusaidia
Jamani hizi ni akili au matope?
Muombe msaada Muumba wako atakusaidia achana na imani za kishirikina kama hizi
Acha kutisha watu ww kazi uongo tuuu
You need to be illuminated as to understand perfectly the spiritual realm .Mediatiom ni utapeli mwingine mpya unaokuja baada ya watu wakishayastukia haya makanisa ya kitapeli.
We jamaa umechanganyikiwaSawa natamani uje unidhurumu ili uone feedback yake
Mimi aaah, nimekaa pembeniHapa natoa madokezo (hints) kuhusu kujiunganisha na mizimu ya kwenu ili kuweka mambo yako sawa.
Tunaanza.
1.Tafuta eneo safi na tulivu.
Hakikisha Una eneo safi na tulivu ambalo utalitumia Kama madhabu yako kuongea na mizimu ya kwenu ili kupata msaada eneo linaweza kuwa hata chumbani kwako ilimrdi usiwe unafanyia mambo machafu kama uzinzi ,kujichua ,n.k. pia waweza kuasha ubani au udi.
2. Weka nia na lengo
Kuwa na jambo lako maalumu unaloenda kuomba mizimu ,kama pesa ,biashara ,au Kazi .
3. Andaa sadaka au zawadi kwa mizimu.
Hakikisha una zawadi au chakula.angalia aina gani ya zawadi unaweza kuwapa mizimu yako Kama Chakula, Picha ,maua au mnyama .
4. Andaa mshumaa
Andaa mshumaa na ukimaliza washa huo mshumaa kwa ajili ya kuita hizo roho za mizimu .
5. Anza kuomba au fanya tafakari.
Kuomba waweza kuomba jambo unalohitaji litokee na pia unaweza kujiingiza katika kutafakari jambo unalotaka litokee , ukimaliza hakikisha unaushukuru mzimu wako.
6. Andika mambo yote uliomba na unayohitaji yatokee kwa kuamini tiyari umeshapata.
Mwisho .
Zoezi hili unaweza kulifanya kila wiki ,mwezi au mwaka .kutegemea na mahitaji yako.
Utaanza kupokea majibu kwa njia hizi
Ndoto
Kutoka kwa watu wako
Sauti yako ya ndani
Na utakuwa unaona ishara mbali mbali katika maisha yako ya kila siku.
mizimu - ni ancestors -watu ambao wameishi kabla yetu. Jamii zote zilizoendelea huwa zinafanya maombi na matambiko kupitia their ancestors sema people they don't want to exposé their mystery how they made it.
Mimi hii ndo mbinu niliofundishwa na bibi (R I P) Ila it work 100%
Watu wa dini naomba mkae pembeni tafadhari.
Sikupingi mkuu, mara 100 bora upotezee ila ukupeleka mashtaka huko hata aje Kibatala hafui dafu.Pia waweza kutumia ancestors power -kufanya mashitaka ikiwa umedhurumiwa haki yako.
NB don't try this maana hii huwa ni hatari Sana na balaa
Sikupingi mkuu, mara 100 bora upotezee ila ukupeleka mashtaka huko hata aje Kibatala hafui dafu.
Mtiti wake sio wa kitoto
Huu ni ushirikina
😂😂😂 kama si ujinga ni nini ? Babu yako alikufa kwenye nyumba ya tope na nyasi huyo huyo ndo akupe mafanikio?Hapa natoa madokezo (hints) kuhusu kujiunganisha na mizimu ya kwenu ili kuweka mambo yako sawa.
Tunaanza.
1.Tafuta eneo safi na tulivu.
Hakikisha Una eneo safi na tulivu ambalo utalitumia Kama madhabu yako kuongea na mizimu ya kwenu ili kupata msaada eneo linaweza kuwa hata chumbani kwako ilimrdi usiwe unafanyia mambo machafu kama uzinzi ,kujichua ,n.k. pia waweza kuasha ubani au udi.
2. Weka nia na lengo
Kuwa na jambo lako maalumu unaloenda kuomba mizimu ,kama pesa ,biashara ,au Kazi .
3. Andaa sadaka au zawadi kwa mizimu.
Hakikisha una zawadi au chakula.angalia aina gani ya zawadi unaweza kuwapa mizimu yako Kama Chakula, Picha ,maua au mnyama .
4. Andaa mshumaa
Andaa mshumaa na ukimaliza washa huo mshumaa kwa ajili ya kuita hizo roho za mizimu .
5. Anza kuomba au fanya tafakari.
Kuomba waweza kuomba jambo unalohitaji litokee na pia unaweza kujiingiza katika kutafakari jambo unalotaka litokee , ukimaliza hakikisha unaushukuru mzimu wako.
6. Andika mambo yote uliomba na unayohitaji yatokee kwa kuamini tiyari umeshapata.
Mwisho .
Zoezi hili unaweza kulifanya kila wiki ,mwezi au mwaka .kutegemea na mahitaji yako.
Utaanza kupokea majibu kwa njia hizi
Ndoto
Kutoka kwa watu wako
Sauti yako ya ndani
Na utakuwa unaona ishara mbali mbali katika maisha yako ya kila siku.
mizimu - ni ancestors -watu ambao wameishi kabla yetu. Jamii zote zilizoendelea huwa zinafanya maombi na matambiko kupitia their ancestors sema people they don't want to exposé their mystery how they made it.
Mimi hii ndo mbinu niliofundishwa na bibi (R I P) Ila it work 100%
Watu wa dini naomba mkae pembeni tafadhari.
Muslim population is booming in japan as we speakAhahahah.. Umetawaliwa kifikra sana na dini za watu, kabla ya kutuletea dini zao hizo matambiko ndio zilikua dini zetu sisi wakatudanganya dini zetu n ushirikina wakatupa dini zao ili iwe simple kututawala. Fanya tafiti ndogo kwann Japan walikataa dini ya Ukristo na Muslim na kushika dini zao wao kama wao then utaleta majibu