Namna ya kuwasiliana na mizimu (ancestors) kwa ajili ya kupata mafanikio au kuweka mambo yako sawa

Acheni imani za ajabu jamani ivi mtu ameshakufa hawezi ata kuongea hlf ety ww ukamuombe ndo atakusaidia

Jamani hizi ni akili au matope?

Muombe msaada Muumba wako atakusaidia achana na imani za kishirikina kama hizi


Sawa what you see is limitations of ur view
 
Mimi aaah, nimekaa pembeni
 
huyo ancestor nitamuona live au nitajuaje amefika mgeni wangu niliyemuita
 
😂😂😂 kama si ujinga ni nini ? Babu yako alikufa kwenye nyumba ya tope na nyasi huyo huyo ndo akupe mafanikio?

Oyaa rudi kwa muumba wako muda bado
 
Muslim population is booming in japan as we speak
 
Mimi njia yangu ni tofauti, njia yangu Mimi ni " Kujiamini na kuamini kuwa naweza", Kila nikitaka kufanya jambo nikiwa na notion hiyo kichwani, nguvu na akili ya kufanya huwa maradufu, then guess what?, ni kutoboa tundu tu.
 
Amka Toka usingizini nenda kafanye kazi mafanikio hayaji Kwa maombi Wala kafara na sadaka, ko unataka uwe unapata pesa bila kufanya kazi😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…