Girland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2016
- 2,489
- 4,253
Viongozi wanapoongea na wananchi wanatakiwa kukumbuka kuwa kwenye taifa lenye utawala bora na utawala wa kidemokrasia MWANANCHI ndiye mwenye mamlaka na ameyakasimisha kwa SERIKALI ili imhudumie. Rejea tafasiri ya demokrasia.
Nikiona kiongozi anawafokea wananchi huwa najiuliza je, yeye ni bora Sana kuliko wananchi wanaotoa kero zao? Nimesikia akitumia maneno makali mpaka nikaogopa.
Viongozi wa dini msiposimama kwenye zamu yenu, mtatukosea Sana waumini. Kwa nini msiige mfano mzuri wa kiongozi Kama Mzee Mipango au Biteko. Mh Rais aliwahi kumwambia Chalambila "akue " naona bado hajaweza kubadilika.
Ifikie wakati wakuu wa mikoa nao wapigiwe kura, tuone Kama kweli watachaguliwa.
Wakumbushwe kuwa hawatakaa milele kwenye viti Hivyo REJEA SABAYA!
Kuhusu DART kujenga karakana Simu 2000,sijui Kama zoezi hilo limekusanya maoni ya wananchi? Na kama waliridhia je kwanini walalamike?
PIA SOMA
- RC Chalamila: Wafanyabiashara Wadogo wa Simu2000 wafahamu kuwa eneo walilopo ni la Serikali, lazima liendelezwe
Nikiona kiongozi anawafokea wananchi huwa najiuliza je, yeye ni bora Sana kuliko wananchi wanaotoa kero zao? Nimesikia akitumia maneno makali mpaka nikaogopa.
Viongozi wa dini msiposimama kwenye zamu yenu, mtatukosea Sana waumini. Kwa nini msiige mfano mzuri wa kiongozi Kama Mzee Mipango au Biteko. Mh Rais aliwahi kumwambia Chalambila "akue " naona bado hajaweza kubadilika.
Ifikie wakati wakuu wa mikoa nao wapigiwe kura, tuone Kama kweli watachaguliwa.
Wakumbushwe kuwa hawatakaa milele kwenye viti Hivyo REJEA SABAYA!
Kuhusu DART kujenga karakana Simu 2000,sijui Kama zoezi hilo limekusanya maoni ya wananchi? Na kama waliridhia je kwanini walalamike?
PIA SOMA
- RC Chalamila: Wafanyabiashara Wadogo wa Simu2000 wafahamu kuwa eneo walilopo ni la Serikali, lazima liendelezwe