Nampataje huyu dada wa JF nipate kumuoa?

Wee mfano akifuate wewe anajua Manzi mkali. Si tunaokujua ni dume tena mbavu. Chumba kitapakaa kisamvu[emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo nimechekaa, nimekua afande rama?
Mbavu cna, ngoja niende GYM nkatengeneze six pack
 
Sasa wapo mademu humu wana wazimia hadi me za huku.
 
Utakuwa kama yule mzungu anafosi kupendwa mzee tafuta chaka lako atakutesa na atakufilisi haya mambo hayaendi hivyo [emoji16]
 
Kaka umependa avatar yake au mm sielewi namna mambo yanaenda,maana hapa ndani hakuna jina halisi wala picha halisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…