chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,079
- 2,273
- Thread starter
-
- #241
Duh sio poaInstinct,automatic behaviors that animals, including humans, are born with, helping them respond to their environment.
Kivp mkuu mbona kama dada kakuepuka kama ukoma😅
Pole mkuuDuh sio poa
Hakuna namnaAtavalishwa dera hivyo hivyo nani amemwambia ajirengeshe kama demu?
wizo hujui mwenzio nishaolewa 😂😂😂😂Hebu sema kweli wizoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna mie taarifa cna?
🤣🤣🤣Nitakunywa maji...Legeza moyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] wee huogopiii?hivi wee mrembo nakupataje?hebu nipe abc niangalie nafanyaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo nimechekaa, nimekua afande rama?Wee mfano akifuate wewe anajua Manzi mkali. Si tunaokujua ni dume tena mbavu. Chumba kitapakaa kisamvu[emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Yes ni kweli kaelewa.Nimetumia namna nzuri huko PM kutomjibu...haijafanya kazi
Naamini kwa namna mbaya kaelewa
😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo nimechekaa, nimekua afande rama?
Mbavu cna, ngoja niende GYM nkatengeneze six pack
Kwanza joanah mwenyewe ni mwanamme au nasema uongo?Am too old for this
Kama PM haijibiwi kaushaa mzee
We nilikua kazi kwa yule dogo wa pale pharmacy umeshindwa, utaweza hapa. Nilikumaind sana aisee.Mtaje tukusaidie kusoundisha hapahapa
Tatizo lako ulikua hueleweki, mara unamtaka mara unampondaWe nilikua kazi kwa yule dogo wa pale pharmacy umeshindwa, utaweza hapa. Nilikumaind sana aisee.
Bado sijaelewaYes ni kweli kaelewa.
Avatar kaliiii watu ndio wanajua ndio wewe pambe tu😅😅Ivi humu zinazopendwa ni hizi picha za wanamitindo kwenye profile au ni mwandiko? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Unakuta ni mmatumbu tu, tumepauka na wafupi kama mitungi ya gesi kama mzee wa kausha damu anavyokiri😁Avatar kaliiii watu ndio wanajua ndio wewe pambe tu😅😅
Mambo Rafiki..pole na Mvua huko kwenuBasi ngoja nibaki na vyombo vyangu 🤣
Vyote viwili avatar na miandiko nadhaniIvi humu zinazopendwa ni hizi picha za wanamitindo kwenye profile au ni mwandiko? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Kaka umependa avatar yake au mm sielewi namna mambo yanaenda,maana hapa ndani hakuna jina halisi wala picha halisi.Kwema wakuu,
Huyu dada ni member wa jamiiforums, namkubali sana nimekuwa nikimtumia ujumbe pm lakini hajibu. Kusema kweli namuelewa sana nataka awe mama watoto ila hataki kujibu pm.
Nishamwambia kama ni suala la pesa asiwaze kabisa.
Nipeni mbinu nifanyaleje wakuu. Nataja jina lake baadae.