Yaani wamebaki wachache sana wanajielewaUnashangaa kesho unakuta thread ya kidada chenyewe kifupi kinene cheusi na anaomba pesa sana a.k.a kausha damu.
Wanaume wachache sana wanaojielewa humu
Yebo uthando😜Sthandwa sami😋
We nawe nmekwambia mimi pm sifungagiDah..aisee kumbe hata nikija kusalimia nitakuta kufuli la Mult Lock mlangoni
Ngoja nitumie cha ndani ndani huko/mtaani nione kama utapata msaada🤣Yebo uthando😜
We mchokozi shem bae🤣Tunaijua hiyo Shem Bae[emoji2]
Kabisa, kuna mwengine niliona anamsema mdada wa humu eti kavaa miwani mikubwa amekaa kwenye gari yake halafu ni shapeless😂😂😂.Yaani wamebaki wachache sana wanajielewa
Unakuta thread kakuchambua kiima na kiarifu kwa kutumia I'd nyingine
Hahahahahaha,nilikua hata sijaangaliaWe nawe nmekwambia mimi pm sifungagi
Namuogopa nani sasa
Kwamba mnaogopa kulianzisha humu kisa hizo story za watoto wafogo kweli?Mhhh at her own risk
Nitaelewa tu😂😂😂Ngoja nitumie cha ndani ndani huko/mtaani nione kama utapata msaada🤣
Mnatumia kwa siri hivi?damnBora tukutane mtaani kuliko humu
Kwanza hawezi kujua kama natumia jf
Mtag, ukute tuna namba yake.Kwema wakuu,
Huyu dada ni member wa jamiiforums, namkubali sana nimekuwa nikimtumia ujumbe pm lakini hajibu. Kusema kweli namuelewa sana nataka awe mama watoto ila hataki kujibu pm.
Nishamwambia kama ni suala la pesa asiwaze kabisa.
Nipeni mbinu nifanyaleje wakuu. Nataja jina lake baadae.
A wapiUtajwe wewe sasa tuone inakuaje..
Kummke zao waacheMnaji-commit wenyewe kwamba hela sio shida kwenu alafu mkipata vijambazi mnarudi tena mkiwa mmescreenshot message za vizinga huku mkilalamika, Sasahivi tunawapiga vidole.
Hongera mamaNitaelewa tu😂😂😂
Yaani hakuna anayejuaMnatumia kwa siri hivi?damn
Najifikiria vile niko serious na msiri mbele za watu basi na member wote wanatabia kama yangu🤣
Tatizo wenye akili wachache humuKwamba mnaogopa kulianzisha humu kisa hizo story za watoto wafogo kweli?
Kwani kuwa shapeless ni dhambi...🤣🤣🤣 ila watu wana akili za kitoto sana humuKabisa, kuna mwengine niliona anamsema mdada wa humu eti kavaa miwani mikubwa amekaa kwenye gari yake halafu ni shapeless😂😂😂.
Ila yule kaka hajielewi trust me. Ko alitaka tujue ana gari🥴
Umewafanya nini hadi wafike hatua hiyo?Yaani hakuna anayejua
Maana wataanza kunisaka I'd yangu mradi tu wanijue
Kwani hujui binadamu wengine hawana hata sababu mradi tu wakudhalilisheUmewafanya nini hadi wafike hatua hiyo?