Nampataje huyu dada wa JF nipate kumuoa?

Humu kuna walioolewa na wana familia zao, ila hawajawahi kusema humu ooh mume wangu kasema hivi au vingine
Tunaishi humu kwa machale na kila mtu ana maisha yake halisi

Bora kujibu na kuandika comments tu kuliko kufikiria picha
 
Isije tu kuwa faiza [emoji1663] mkuu utApoteaa kbsaa yule Ni bib ako full stop
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…