Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Utanifundisha na mimi + kingereza .😂😂😂
Siku hizi naangalia sana movie zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utanifundisha na mimi + kingereza .😂😂😂
Siku hizi naangalia sana movie zao
Sana.Kwani kuwa shapeless ni dhambi...🤣🤣🤣 ila watu wana akili za kitoto sana humu
Mimi nafuata nyayo zako😌Utanifundisha na mimi + kingereza .
Halafu unakuta mke wake sasa ndyo shapeless still anakuja kuwasema mabinti za watuSana.
Bahati mbaya tunaumbwa😂😂😂.
Isije tu kuwa faiza [emoji1663] mkuu utApoteaa kbsaa yule Ni bib ako full stopKwema wakuu,
Huyu dada ni member wa jamiiforums, namkubali sana nimekuwa nikimtumia ujumbe pm lakini hajibu. Kusema kweli namuelewa sana nataka awe mama watoto ila hataki kujibu pm.
Nishamwambia kama ni suala la pesa asiwaze kabisa.
Nipeni mbinu nifanyaleje wakuu. Nataja jina lake baadae.
Binafsi najua vijana wanachangamsha jukwaa tu wala hakuna uhalisia wa story zao. Jiachieni, mtaani ndio jf.Tatizo wenye akili wachache humu
Na huwezi kumtambua
😂😂😂Halafu unakuta mke wake sasa ndyo shapeless still anakuja kuwasema mabinti za watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mnaji-commit wenyewe kwamba hela sio shida kwenu alafu mkipata vijambazi mnarudi tena mkiwa mmescreenshot message za vizinga huku mkilalamika, Sasahivi tunawapiga vidole.
Mhh sidhani kama wanachangamsha genge kwa kweli.Binafsi najua vijana wanachangamsha jukwaa tu wala hakuna uhalisia wa story zao. Jiachieni, mtaani ndio jf.
Natamani.Mimi nafuata nyayo zako😌
Mh sidhaniBinafsi najua vijana wanachangamsha jukwaa tu wala hakuna uhalisia wa story zao. Jiachieni, mtaani ndio jf.
Hana pesa...wenye pesa hawasemagi😂😂😂
Nilimshangaa sana yule kaka, halafu huwa anajisifu ana pesa.
Usijaribu,nitafika kwa mama J na bakora.Siwezi 🤣🤣🤣🤣🤣
Mnataka kunisandwichðŸ¤Hahaha,mimi na yeye tunaomba tukuone kwa pamoja,hatuna ubaya na mtu.