Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππ Huchelewi kuniita wakianza kukusuta dadaπ€£π€£π€£Wa Udugu mwehu
ππππ Pesa kwako kitu kidogoMi ni old money mkuu
ππππ We nawe hebu tulia kwanza, acha kuichukulia JF serious hivoMnayakuza mambo sana,vijana wadogo.
Uduguuuu ππππEti akili matakoni khaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€ππππππππππ
Cc Smart911
Kuna mzigo wa maana nilikua nachukuliwa[emoji23]Shemeji umejibu Kwa niaba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]umetisha sana
Wala siwezi chukulia seriously hasa hili jukwaaπππππ We nawe hebu tulia kwanza, acha kuichukulia JF serious hivo
[emoji23][emoji23]muasi wa m23Naweza amini mipango nae,ila yeye ana mipango na mwingine Sasa,,,Sasa kama umeamuamua kufanya mapinduzi ngoja nikukabidhi Kwa serikali kuu,,,Countrywide shemeji Kuna muasi hapa
[emoji23][emoji23]Uduguuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila unanimiss nimeona, sema nini mama miongozo huna bayaβ¦!!
Tupia hips basi tusafishe macho eee uduguu wangu [emoji8][emoji8][emoji8]
Namna unakuja live sio unajificha ficha bana
Ni kitu kidogo sana ni ukwasiππππ Pesa kwako kitu kidogo
Yaani anataka kuleta fujo tuπ[emoji23][emoji23]muasi wa m23
Nimekomaa siku hizi wajaribu waone bomu la Nagasakiπππππππ Huchelewi kuniita wakianza kukusuta dada
Jirani leo, nimekaa meza moja na wewe jirani, ulikua najamaa mmoja mwenye mwanya nakitambi kidogo, ulikua na Smart phone mbili, umevaa kigauni chekundu kinachobana bana. Ingawa uliingia Kwa kuchelewa.πππ Wewe mimi nipo Mbozi huku kijiji kimoja kinaitwa senjele unakijua???
Sasa Hyatt regency ndio vitu gani tena jirani??
πππ Hupo gado nikuingize ulingoni??Nimekomaa siku hizi wajaribu waone bomu la Nagasakiπππ
Mkitoka hapo nyie wenyewe wachawi suguπππ Atupe za kuogea na kufukiza bila kusahau kombe la kunywa
Wee bana acha kufananisha wadada wa watu huko πππJirani leo, nimekaa meza moja na wewe jirani, ulikua najamaa mmoja mwenye mwanya nakitambi kidogo, ulikua na Smart phone mbili, umevaa kigauni chekundu kinachobana bana. Ingawa uliingia Kwa kuchelewa.
Tunapaa wenyewe na ungo ππππMkitoka hapo nyie wenyewe wachawi sugu