Nampataje huyu mtoto anaitwa Lamomy?

Nampataje huyu mtoto anaitwa Lamomy?

Status
Not open for further replies.
Eti akili matakoni khaπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€­πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’

Cc Smart911
Uduguuuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila unanimiss nimeona, sema nini mama miongozo huna baya…!!
Tupia hips basi tusafishe macho eee uduguu wangu 😘😘😘
Namna hii unakuja live sio unajificha ficha bana
 
Uduguuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila unanimiss nimeona, sema nini mama miongozo huna baya…!!
Tupia hips basi tusafishe macho eee uduguu wangu [emoji8][emoji8][emoji8]
Namna unakuja live sio unajificha ficha bana
[emoji23][emoji23]
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wewe mimi nipo Mbozi huku kijiji kimoja kinaitwa senjele unakijua???
Sasa Hyatt regency ndio vitu gani tena jirani??
Jirani leo, nimekaa meza moja na wewe jirani, ulikua najamaa mmoja mwenye mwanya nakitambi kidogo, ulikua na Smart phone mbili, umevaa kigauni chekundu kinachobana bana. Ingawa uliingia Kwa kuchelewa.
 
Jirani leo, nimekaa meza moja na wewe jirani, ulikua najamaa mmoja mwenye mwanya nakitambi kidogo, ulikua na Smart phone mbili, umevaa kigauni chekundu kinachobana bana. Ingawa uliingia Kwa kuchelewa.
Wee bana acha kufananisha wadada wa watu huko πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mimi niko bush huku nimetulia nachoma hindi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom