Mkuu ebu kueni serious! Jf ni sehemu ya kututoa ujinga sisi washambaMuongo jf hakuna edit, anafahamiana vizuri tu na noeli, Ila hataki kunipa namba
Jf hakuna edit, mm nilikua na shida na noeli na nikaambiwa huyu yupo karibu nae ndio namuomba nambaMkuu ebu kueni serious! Jf ni sehemu ya kututoa ujinga sisi washamba
Kama editing inawezekana ya hivyo semeni ili tujue watu wanasingiziwa cz kuchafuana sio sawa
Huyu sio ridhki!?Jf hakuna edit, mm nilikua na shida na noeli na nikaambiwa huyu yupo karibu nae ndio namuomba namba
Alikua anampost sana huku. Nisaidieni namba na mm🙏
Mkuu ebu kueni serious! Jf ni sehemu ya kututoa ujinga sisi washamba
Kama editing inawezekana ya hivyo semeni ili tujue watu wanasingiziwa cz kuchafuana sio sawa
Mkuu sijui, Ila najua yupo karibu sana na mdau mwenzetu Jack palladino. Labda tumuulizeHuyu sio ridhki!?
jina zuri mwandiko mzuri, vyote vinasadifu yaliyomo
Kabisa mkuu, tabia kwa mwanamke ni kitu cha kwanza mengine ndio hufataUsibabaishwe na sura..
Penda tabia
Hata najua basi, miye mambo ya IT mtupu dear.Kumbe hizi habari za kuedit ni kweli? 😂
Bantu Lady pitia mitaa ya huku
Tuendelee leo mkuu[emoji28]
Namastee 🙏jina zuri mwandiko mzuri, vyote vinasadifu yaliyomo
Hata mimi ni mtupu!Hata najua basi, miye mambo ya IT mtupu dear.
Mimi hiki ndio kigezo changu cha kwanzaKabisa mkuu, tabia kwa mwanamke ni kitu cha kwanza mengine ndio hufata
Ndio mkuu bila hivyo unakufa na stressMimi hiki ndio kigezo changu cha kwanza
Watu mnayaweza🙌 Bantu LadyView attachment 3028337
Hivi ndio mnavyoedit, stupid kabisa
Wanaedit wanajua wengi wenu humu hamjui kitu kuhusu editing. Tatizo hawajui wengine sisi ni watu gani, mimi hapa nipo kuhave fun tu wao wanaleta ujinga waoWatu mnayaweza🙌 Bantu Lady
😂😁😁Kwanza hata kuedit kwenyeww hawajui Hawa wanajifunza ni wahuni Hawa😂😁😁Wanaedit wanajua wengi wenu humu hamjui kitu kuhusu editing. Tatizo hawajui wengine sisi ni watu gani, mimi hapa nipo kuhave fun tu wao wanaleta ujinga wao