Nampataje huyu mtoto anaitwa Lamomy?

Nampataje huyu mtoto anaitwa Lamomy?

Status
Not open for further replies.
Awalete fasta, km mi niliwahi kumtumia msg pm ya kuomba vocha nampandia dau
Km nilimuomba 10k mi nampa laki ss hivi
Jf ndio sehemu yenye watu wana stress kuliko sehemu zingine.

Akileta hiyo msg ya Pm nampa mara 20 ya 10k

Siku moja fanya surprise ya maisha unayoishi, hii kujidogosha ndio inaleta yote haya
 
Jf ndio sehemu yenye watu wana stress kuliko sehemu zingine.

Akileta hiyo msg ya Pm nampa mara 20 ya 10k

Siku moja fanya surprise ya maisha unayoishi, hii kujidogosha ndio inaleta yote haya
😂😂😂😂 Umeanza mimi najidogosha nini??
Mi nna njaa kweli wala sio uongo ila siwezi kumuomba vocha Okwi
Kwanza beibbyy ile miamala yote unayonitumia nikose kujinunulia muda wa maongezi kweli???
 
😂😂😂😂 Umeanza mimi najidogosha nini??
Mi nna njaa kweli wala sio uongo ila siwezi kumuomba vocha Okwi
Kwanza beibbyy ile miamala yote unayonitumia nikose kujinunulia muda wa maongezi kweli???
Okw alinikimbia kwenye Uzi wa Yanga SC vs belouizdad nilimwambia aweke euro €50 msimamo wangu niliweka kwa Yanga SC yeye akakimbia 🤣😂🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umeanza mimi najidogosha nini??
Mi nna njaa kweli wala sio uongo ila siwezi kumuomba vocha Okwi
Kwanza beibbyy ile miamala yote unayonitumia nikose kujinunulia muda wa maongezi kweli???
Nakuambia ukweli hili la ww kujidogosha lifanyie kazi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom