Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Km ya boss wakolamamy ana UTI sugu jichanganye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Km ya boss wakolamamy ana UTI sugu jichanganye
😂😂😂 bff JF katika ubora wake, watu wakishiba hizi ndio nyuzi wanazoletaBff naona umefikiwa 🤣🤣🤣
usikasirike basi tibu UTI hiyo vijana wasiteseke kuchoma masindano kilamara walalapo naweweKm ya boss wako
Ng'ombe ni wengi mno. Nidanganyei ili iweje sasa.😂😂😂 Huyo hata kuku hana jirani tutajichosha
Am sorry mkuu, najua wewe ni mtu poa sana pia ni my friend so naomba sana sana usifanye hivi kwa lamomy. Huyu Lamomy ni mwanamke pekee yuko peace sana hapa jf. Najua umenielewa rafiki yangu hutoniangushausikasirike basi tibu UTI hiyo vijana wasiteseke kuchoma masindano kilamara walalapo nawewe
Kweli kabisa shemeji. Ila rafiki yako nampenda sana. Nifanyie mpango, Kuna ka zawadi kako kama utafanikisha hili.Lazima tukulinde
Hapana siwez mim naogopa vitaKweli kabisa shemeji. Ila rafiki yako nampenda sana. Nifanyie mpango, Kuna ka zawadi kako kama utafanikisha hili.
Vita ipi?Hapana siwez mim naogopa vita
Na bwana ake CountrywideVita ipi?
Wamefunga ndoa kwani?Na bwana ake Countrywide
Wanaelekea kufunga ndoa.Wamefunga ndoa kwani?
We umejuaje mkuu?Wanaelekea kufunga ndoa.
Haya sawa ngoja tuoneUsiusemee moyo mkuu huwezi jua bwana Country ana mawazo gani.
mkuu najua umedhamiria kwa ninavyo ifhamu jf kazana utampata😂😂😂😂Kwa huyu nitatoa ng'ombe 100. Na nipo tayari kwenda kujitambulisha kwao. Nipeni mbinu wakuu
Sawa ila mi nachoona jamaa anamdanganya cousin wako. Ila sawa siku akiwa free ( wakiachana), utanifanyia mpangoHaya sawa ngoja tuone
We si unapenda majina, haya chama huyo apo sasa hutaki 😂😂😂😂 kabisa jirani
Jirani huu mwaka kweli wa kufosi, ni lazima utaitwa bosiii. Huo mzigo kama ni vijora vishamkosa wifi yako maana yupo kama mshumaa wa pasaka kijora hawezi vaa.Hata sikujua km kuna uzi unanihusu huku 😂😂😂
Niilkuwa kuna mizigo nanunua, ss hivi nashika simu naingia WhatsApp naambiwa kuna uzi wako uko JF 😂😂😂😂