chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,079
- 2,273
- Thread starter
- #181
Ngoja nipambanie kombe mkuu๐๐๐๐ unaruka fence ya umeme unaenda kupigwa shoti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nipambanie kombe mkuu๐๐๐๐ unaruka fence ya umeme unaenda kupigwa shoti.
Duh sawa bhana.Tuamini wote tu
Haya sawaNgoja nipambanie kombe mkuu
Naona mnampambania ndugu yenu.KAOLEWA na Countrywide ,kihalali....tafuta mwingine
Unataka kumuharibia ndoa yake mkuu๐คฆNaona mnampambania ndugu yenu.
Naweza amini mipango nae,ila yeye ana mipango na mwingine Sasa,,,Sasa kama umeamuamua kufanya mapinduzi ngoja nikukabidhi Kwa serikali kuu,,,Countrywide shemeji Kuna muasi hapaKivipi?, hauniamini mkuu?
Sawa ngoja nimuache mke wa bwana CountrywideNaweza amini mipango nae,ila yeye ana mipango na mwingine Sasa,,,Sasa kama umeamuamua kufanya mapinduzi ngoja nikukabidhi Kwa serikali kuu,,,Countrywide shemeji Kuna muasi hapa
Huu ndio Uungwana Sasa...Nikiwa kama dada mkubwa wa familia Hilo penzi lako nalihamishia rasmi Kwa Unique Flower last born wetu wa kikeSawa ngoja nimuache mke wa bwana Countrywide
Hapo sawa nimehamia rasmi kwakeEeeh huyo Yuko single mchukue tu.
Unakata tamaa mapema sana,kwani muhusika amekwambia kua yeye ni mke wa mtu?Sawa ngoja nimuache mke wa bwana Countrywide
Unique Flower yuko vizuri piaHuu ndio Uungwana Sasa...Nikiwa kama dada mkubwa wa familia Hilo penzi lako nalihamishia rasmi Kwa Unique Flower last born wetu wa kike
Sawa,Tangaza Nia Sasa..Unique Flower yuko vizuri pia
Kweli mkuu hukosi kabisa hili jambo likifanikiwaUnakata tamaa mapema sana,kwani muhusika amekwambia kua yeye ni mke wa mtu?
Kua serious ili niongee nae huyu jirani yangu,acha kusikiliza wapambe,
Ng'ombe si zipo mkuu? najua hapo sitakosa japo Ng'ombe wawili wa maziwa.
๐
Ukitaka amani mcheki huyu Donatila ila ujiandae coz muda mwingi anakua kwenye maombi.Unique Flower yuko vizuri pia
Ni hatari ogopaaa๐๐๐ bff JF katika ubora wake, watu wakishiba hizi ndio nyuzi wanazoleta