Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Jiraniiiiii πππππ Jirani kweli umenichoka kiasi hiki??
Nakushukuru kwa maneno yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiraniiiiii πππππ Jirani kweli umenichoka kiasi hiki??
Nakushukuru kwa maneno yako
ππππ Nikiwa najifungua dada uwe pembeni kuwasaidia wakungaβ¦Aah wapi mtoto wa boss wangu anatakiwa kuzaliwa na afya njema
Ni mwanamke huyo ana kichaa cha mahusiano anatapatapa hajui pa kushikilia πππAm sorry mkuu, najua wewe ni mtu poa sana pia ni my friend so naomba sana sana usifanye hivi kwa lamomy. Huyu Lamomy ni mwanamke pekee yuko peace sana hapa jf. Najua umenielewa rafiki yangu hutoniangusha
ππππNakuahidi ng'ombe 100 nitaleta kama mahari.
ππππ Huyu amchukue da MauNini mimba bhn, watu wameoa vichaa sembuse mimba tu, mkubalie mwenzako, haha
ππππ Hutaki hekaheka cuzo wanguNa bwana ake Countrywide
Mnooo nilitamani nimpe kibao kinachoitwa KELBUπ€£πππ Anakutibua
πππ Mume mmemuachia lkn bado anateseka si kichaa hiko cha mahusiano.?!!Iko kazi π
Wifi ushaandaa mpk tarumbeta la kunikaribisha ukweni halafu unasikia kuna mtu ana ngβombe 100 si ukorofi huu ππππSa ndo umpende mke wa mtu?
πππππ Umefanya nicheke hiyo kelbuMnooo nilitamani nimpe kibao kinachoitwa KELBUπ€£
Hajiaminiβ¦.πππ Mume mmemuachia lkn bado anateseka si kichaa hiko cha mahusiano.?!!
Wifi hebu fanya kweli pindua meza avue nguo kabisaa..
Mi najua kaskazini hatoki fala
Kwani nani huyu anasumbua huyo?πππ Mume mmemuachia lkn bado anateseka si kichaa hiko cha mahusiano.?!!
Wifi hebu fanya kweli pindua meza avue nguo kabisaa..
Mi najua kaskazini hatoki fala
ππππ We piga km paka mwizi usiogopeHajiaminiβ¦.
BTW Sihitaji kesi ya kuua kwa kukusudia π€£π€£
Joannah ndugu yako ananituma nikaue ππ
Suria la miongozo hilo sis ππππKwani nani huyu anasumbua huyo?
ππππ na mabomu π£π£π£ nambebeaWe kaue tu Nilishakwambia tangu siku nyingi mi Niko nyuma yako ukizidiwa natuma majeshiπ€£
He Dogo yamekuwa hayo Tena?ππππ€£π€£π€£π€£π€£Kulikoni?ππππ We piga km paka mwizi usiogope
Ila mke mwenzio anachekesha sana sijui ana shida gani??
Fanya uwezavyo wifi naomba rudiana na miongozo hata kwa mwezi mmoja tyuu..!!!π€£
Sio nyumba kubwa?Suria la miongozo hilo sis ππππ
πππ Kwani ulipitwa ulikuwa wapi??He Dogo yamekuwa hayo Tena?ππππ€£π€£π€£π€£π€£Kulikoni?