Nampataje huyu mtoto anaitwa Lamomy?

Nampataje huyu mtoto anaitwa Lamomy?

Status
Not open for further replies.
Wifi usiniambie umetamani ng’ombe?? 😂😂😂
Kantry dada hana kabisaaa..!! Anaweza kukuta kamuuzia mkewe kwa ng’ombe 2 zilizokondeana aiseee 🤣🤣🤣
Famchezo na ng'ombe Mia, Kwanza undugu haufi....Kantri damu yangu Yule nitampanga.

Wakifika Dar tukiuza bei ya kutupa ng'ombe 1 Laki tano tuna sh. ngapi?
 
Yani mihela itupite hivi hivi🤣🤣🤣

Kwanza atwambie hao ng'ombe wapo Meatu au Simiyu.....unaweza kutusaidia kutuconnect na watu wa logistics🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂 Ila wifi umetisha, kweli familia yenu inapenda pesa…
Unatafuta na usafiri wa kubebea hizo ng’ombe kabisaaa…
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom