Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
😂😂😂😂 Ya JFSio nyumba kubwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂 Ya JFSio nyumba kubwa?
Ha hàaaa kama nakuona vile😂😂😂😂 na mabomu 💣💣💣 nambebea
Ndio nauliza ya JF..??si shost yako?😂😂😂😂 Ya JF
😂😂😂😂Ha hàaaa kama nakuona vile
😂😂😂 Shosti yangu hajiaminiNdio nauliza ya JF..??si shost yako?
Unaweza mpata kama utakubali wote wawili muoelewe na mwanaume mmoja. Nimeshangaa wanawake kuamua kitu hiki. Umemuuliza na yeye kama yupo tayari? Anyway nyie wanawake mnajuana wenyewe.Kwa huyu nitatoa ng'ombe 100. Na nipo tayari kwenda kujitambulisha kwao. Nipeni mbinu wakuu
Aisee mie simtaki mwaya nimeolewa jana na harusi ya kislam kali tu naitwa mwantumu khalid juma kileo so mie mke wantu ndugu yangu napaa na ndege kwenda honeymoon dubaiSawa,Tangaza Nia Sasa..
Nipe location uliyopo Bolts anakuletea pizza mama Kijacho😂😂😂umenifurahisha😂😂😂 Shosti yangu hajiamini
Hebu tumuache kwanza apone kichaa cha mahusiano
Inaelekea una matatizo sana na mie kama unakichaa vile kinakupandaga . Haya nikiwa nimechoka nakuja na sifa ingine😂😂😂 Shosti yangu hajiamini
Hebu tumuache kwanza apone kichaa cha mahusiano
Anataka kunipima Imani tu🤣🤣🤣Wifi ushaandaa mpk tarumbeta la kunikaribisha ukweni halafu unasikia kuna mtu ana ng’ombe 100 si ukorofi huu 😂😂😂😂
😂😂😂😂 Kantry kumbe unanidanganya??Sawa ila mi nachoona jamaa anamdanganya cousin wako. Ila sawa siku akiwa free ( wakiachana), utanifanyia mpango
Jamaniiiiii!imekuwaje mwantumu Khalid Juma Kileo hujanialika dada yako?Aisee mie simtaki mwaya nimeolewa jana na harusi ya kislam kali tu naitwa mwantumu khalid juma kileo so mie mke wantu ndugu yangu napaa na ndege kwenda honeymoon dubai
Ilikuwa ya harakqJamaniiiiii!imekuwaje mwantumu Khalid Juma Kileo hujanialika dada yako?
Wifi jambazi😁😁😁Anataka kunipima Imani tu🤣🤣🤣
Au tugawane ng'ombe....kuhusu Kaka niachie mie nitampanga🤣🤣🤣
Ila unapenda kukurupuka da Mau 😂😂😂Inaelekea una matatizo sana na mie kama unakichaa vile kinakupandaga . Haya nikiwa nimechoka nakuja na sifa ingine
Ikawe kheri Mrs Kileo ....am happy for youIlikuwa ya harakq
Sio wewe da Mau.....yuleee humjui na wewe?Inaelekea una matatizo sana na mie kama unakichaa vile kinakupandaga . Haya nikiwa nimechoka nakuja na sifa ingine
Wifi usiniambie umetamani ng’ombe?? 😂😂😂Anataka kunipima Imani tu🤣🤣🤣
Au tugawane ng'ombe....kuhusu Kaka niachie mie nitampanga🤣🤣🤣
Yani mihela itupite hivi hivi🤣🤣🤣Wifi jambazi😁😁😁
Halafu nikicheka anakasirika 😂😂😂😂Sio wewe da Mau.....yuleee humjui na wewe?