Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
๐๐ lol.Nina list ya wanaojifanya madem kuja pm kuniomba vocha. Siku nikiamka vibaya ninao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐ lol.Nina list ya wanaojifanya madem kuja pm kuniomba vocha. Siku nikiamka vibaya ninao
Kwakweli da mau naye Ana haki ya kupendwaHuu ndio Uungwana Sasa...Nikiwa kama dada mkubwa wa familia Hilo penzi lako nalihamishia rasmi Kwa Unique Flower last born wetu wa kike
Akija hapa nijiandae Kwa lolote!Kwakweli da mau naye Ana haki ya kupendwa
๐๐๐ Nilijua utafika hata kwa kuchelewa dada akeKAOLEWA na Countrywide ,kihalali....tafuta mwingine
Amenitibua kweli, yani mi nimuombe vocha Okwi ๐๐๐AMEKUKOSEA SANA.
Boss wangu wamemkosea sana Kwa kweli๐คฆ๐คฆ๐คฆwamtake radhiAmenitibua kweli, yani mi nimuombe vocha Okwi ๐๐๐
Wakati boss wako ananitumia miamala mpk namwambia basi beibeyy inatosha zingine utatuma keshoโฆ
NILISTUKA HADI TUMBO LILINIKATA...๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐ Nilijua utafika hata kwa kuchelewa dada ake
Halafu alivyojiakausha jana tunaongea hata kuniambia kuna uzi huku unanihusu ๐๐๐Boss wangu wamemkosea sana Kwa kweli๐คฆ๐คฆ๐คฆwamtake radhi
๐๐๐๐ JF hata km hutaki kucheka utachekeshwa kilazima, hapo atakaa baada ya week anakuja na uzi wa kumpenda Joannah ndo utajua hujuiโฆ ๐คฃ๐คฃ๐คฃNILISTUKA HADI TUMBO LILINIKATA...๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Hapo nakupigia kampeni mwenyewe umchukue da Mau ๐๐๐Unique Flower yuko vizuri pia
Mimi hawezi kunipenda...nimeshampa dada Mau apambane nae๐๐๐๐ JF hata km hutaki kucheka utachekeshwa kilazima, hapo atakaa baada ya week anakuja na uzi wa kumpenda Joannah ndo utajua hujuiโฆ ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Hapo sawa, muache huyu mwamba nampenda sana ๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐSawa ngoja nimuache mke wa bwana Countrywide
๐๐๐๐ Hapo umecheza km PeleMimi hawezi kunipenda...nimeshampa dada Mau apambane nae
Mwambie huyo ๐๐๐Hawaachani ng'oooooh
๐๐๐ Anakutibua๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃWe nae,acha kujizima data
๐๐๐๐ Wanataka nizae mtoto njiti hawaWanataka kukuingiza labour siku si zako wakutue๐คฃ๐คฃ๐คฃ
๐๐๐๐ Jirani kweli umenichoka kiasi hiki??Ushindwe wewe jina hilo apo kiungo cha mpira, Mungu akupe nini tena jirani, mzigo unafunga tena mkubwa na mwingine unao ule aliekupa mama. Chama huyo apo unataka nini jirani yangu. ๐
Aah wapi mtoto wa boss wangu anatakiwa kuzaliwa na afya njema๐๐๐๐ Wanataka nizae mtoto njiti hawa