Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Anaota umemtumia msg pm[emoji23][emoji23][emoji23] Huyu utajichosha kumjibu hebu achana naye
πππ Baba nyumbani sitoki, mtahama nyie kwanza sijawaandikia barua mnizaeMimi kama baba yake, nakuruhusu umchukue moja kwa moja, anatusumbua sana hapa nyumbani; hataki kuosha vyombo, kusafisha nyumba, kufua; yeye ni kutunza kucha zake.
ππππ ItakuwaAnaota umemtumia msg pm
Hii inawapa tabu, ungekua mtu wa kuchat nao huko pm, sijui maneno yangekuwaje. Standard uliyoiweka[emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Itakuwa
ππππ shostito uko makini khaa!!Unatafuta kupigwa na Country ww.
Awalete fasta, km mi niliwahi kumtumia msg pm ya kuomba vocha nampandia dauHebu watajeee hapa, tena nasubiri kwa hamu.
Muhasibu, fanyaa kuwaleta jamvinii plz.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ww acha kuingiza mama kwenye upuuzi wako, ww umesema umeombwa vocha unaambiwa lete ushahidi unajiuma uma vidoleβ¦.Mama yako kanishikia
Jf ndio sehemu yenye watu wana stress kuliko sehemu zingine.Awalete fasta, km mi niliwahi kumtumia msg pm ya kuomba vocha nampandia dau
Km nilimuomba 10k mi nampa laki ss hivi
Nipo serious na hili jambo, tunaweza kuanzia jf lakini baadae ukakuta tushakuwa pamoja with beautiful kids and familyπππ Mkeka huu mbona ushachanika kitambo jirani
Sawa babaok..hebu ni pm binti yangu na mazungumzo na wewe kidogo
Tuachane nalo tu dada yangu now tusikilize nyimbo za Fally ipupa tukimaliza tulewe tu πππ€£ππππ Mdogo angu mimi na mimba nishapewa sasa hilo benz tutalipataje??
ππππ Umeanza mimi najidogosha nini??Jf ndio sehemu yenye watu wana stress kuliko sehemu zingine.
Akileta hiyo msg ya Pm nampa mara 20 ya 10k
Siku moja fanya surprise ya maisha unayoishi, hii kujidogosha ndio inaleta yote haya
Tuachane nalo tu dada yangu now tusikilize nyimbo za Fally ipupa tukimaliza tulewe tu πππ€£ππππ Mdogo angu mimi na mimba nishapewa sasa hilo benz tutalipataje??
Wacha weee ππππNipo serious na hili jambo, tunaweza kuanzia jf lakini baadae ukakuta tushakuwa pamoja with beautiful kids and family
May day niimbie kaka πTuachane nalo tu dada yangu now tusikilize nyimbo za Fally ipupa tukimaliza tulewe tu πππ€£
Okw alinikimbia kwenye Uzi wa Yanga SC vs belouizdad nilimwambia aweke euro β¬50 msimamo wangu niliweka kwa Yanga SC yeye akakimbia π€£ππ€£ππππ Umeanza mimi najidogosha nini??
Mi nna njaa kweli wala sio uongo ila siwezi kumuomba vocha Okwi
Kwanza beibbyy ile miamala yote unayonitumia nikose kujinunulia muda wa maongezi kweli???
Nakuambia ukweli hili la ww kujidogosha lifanyie kazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umeanza mimi najidogosha nini??
Mi nna njaa kweli wala sio uongo ila siwezi kumuomba vocha Okwi
Kwanza beibbyy ile miamala yote unayonitumia nikose kujinunulia muda wa maongezi kweli???
Mkuu hakuna mkate mgumu mbele ya chai,Nipo serious na hili jambo, tunaweza kuanzia jf lakini baadae ukakuta tushakuwa pamoja with beautiful kids and family