Nampeleka Mahakamani Mwanamke niliyezaa naye kwa kushindwa kumhudumia mwanaye. Hoja nitakazopeleka Mahakamani ni hizi

Nampeleka Mahakamani Mwanamke niliyezaa naye kwa kushindwa kumhudumia mwanaye. Hoja nitakazopeleka Mahakamani ni hizi

Wewe kwako uanaume ni nini?
Kwa sababu kuwa na akili kwa kiwango cha kati ni sehemu ya uanaume ambacho wewe hauna.
Unashindwa kuelewa mambo madogo kama haya sijui hata kama unajua kuitunza hiyo familia kama unayo
Muulize mama Yako anaetoa matumizi kwenu ni nani, Kisha uje huoji kuhusu uwezo wangu wa kulea familia.

Shwaini!!
 
Najua huzungumzii ndoa. Nafahamu. Ila bado unapaswa kumhudumia mtoto huyo kama ni mwanaume Mkristo bila msaada wa mwanamke. Upendo kwenye Ukristo ndo sheria kuu na maana yake halisi ni kujitoa without expectations.
Mkuu uko sawa mbele ya imani ya kikristo ila Hebel haja peleka kesi Kanisani, kapeleka mahakamani!
 
Muulize mama Yako anaetoa matumizi kwenu ni nani, Kisha uje huoji kuhusu uwezo wangu wa kulea familia.

Shwaini!!

Watibeli wote tunatoa matumizi. Iwe ni mwanaume au mwanamke.
Kama mama yako alikuwa Tegemezi usidhani Mama wa wenzako wapo kama mama yako
 
Mkuu uko sawa mbele ya imani ya kikristo ila Hebel haja peleka kesi Kanisani, kapeleka mahakamani!
Ndo maana nikasema ok.
Acha haki iamue ila haki ya mwanadamu mara nyingi inaweza leta jawabu lisilo sahihi.
 
Muulize mama Yako anaetoa matumizi kwenu ni nani, Kisha uje huoji kuhusu uwezo wangu wa kulea familia.

Shwaini!!
Mkuu kama hoja yako ina mashiko matusi ya nini???
Mt.Paulo alisema Mwanaume ampende mwanamke wake kama Kristo anavolipenda kanisa.

Kristo analihudumia kanisa kwa kumpa mahitaji ya kiroho na kimwili. Hajawahi liacha kanisa.

Hivyohivyo kwa mwanaume Mkristo inabidi ampende mke wake kwa kumhudumia na kutomuacha/kutomsaliti ndo tunaonyesha upendo wa Yesu kwa mwanamke.
Kwenye hoja hii Hebel kasema huyo mwanamke sio mkewe! Ni mzazi mwenzie, mambo ya Paulo yanakaaje hapo???
 
Ndo maana nikasema ok.
Acha haki iamue ila haki ya mwanadamu mara nyingi inaweza leta jawabu lisilo sahihi.

Ndio kwenye haki hapo nikakuuliza unafikiri ni kwa nini kwenye chromosome wote mnatoa nusu kwa nusu? Hapo naona umeshindwa kujibu.
Huyo ni mtoto wenu wote. Mnaowajibu na haki sawa mbele yake.
Mkiamua kugawana majukumu hiyo ni juu yenu lakini likiletwa mbele ya sheria na haki. Mtapewa majukumu na wajibu Sawasawa.

Mnaweza mkakaa mkaamua, hayo majukumu mnafanyajefanyaje kuyatimiza kwa kuangalia uwezo wa kila mmoja. Lakini kuhakikisha na kisheria wote mnahaki sawa
 
Watibeli wote tunatoa matumizi. Iwe ni mwanaume au mwanamke.
Kama mama yako alikuwa Tegemezi usidhani Mama wa wenzako wapo kama mama yako
Kwa akili Yako hii si ajabu mama Yako alikukunya katika choo Cha stendi.

Na kumbuka don't just make babies and expect a woman's pack, be a wolf in other words be a Father.

Twisted junky!!
 
Mkuu kama hoja yako ina mashiko matusi ya nini???

Kwenye hoja hii Hebel kasema huyo mwanamke sio mkewe! Ni mzazi mwenzie, mambo ya Paulo yanakaaje hapo???
Kuna hoja alisema wameachana.
Walikaa nyumba moja ama tofauti? Na kwa muda gani?
Sheria itamhesabu huyo mwanamke kama mkewe kama walikaa muda mrefu pamoja. Na Mungu pia anaheshimu sheria, .
 
Kwa akili Yako hii si ajabu mama Yako alikukunya katika choo Cha stendi.

Na kumbuka don't just make babies and expect a woman's pack, be a wolf in other words be a Father.

Twisted junky!!
🙄🙄🙄
 
Kwa akili Yako hii si ajabu mama Yako alikukunya katika choo Cha stendi.

Na kumbuka don't just make babies and expect a woman's pack, be a wolf in other words be a Father.

Twisted junky!!
To yeye njoo uone kile nilichokuambia.
Nikikuambia Mwanamke hana tofauti sana na mwanaume. Angalia huyu ukiambiwa ni mwanaume utakataa lakini ndio hivyo
 
Ndio kwenye haki hapo nikakuuliza unafikiri ni kwa nini kwenye chromosome wote mnatoa nusu kwa nusu? Hapo naona umeshindwa kujibu.
Huyo ni mtoto wenu wote. Mnaowajibu na haki sawa mbele yake.
Mkiamua kugawana majukumu hiyo ni juu yenu lakini likiletwa mbele ya sheria na haki. Mtapewa majukumu na wajibu Sawasawa.

Mnaweza mkakaa mkaamua, hayo majukumu mnafanyajefanyaje kuyatimiza kwa kuangalia uwezo wa kila mmoja. Lakini kuhakikisha na kisheria wote mnahaki sawa
Umeeleweka.
 
Mkuu kama hoja yako ina mashiko matusi ya nini???

Kwenye hoja hii Hebel kasema huyo mwanamke sio mkewe! Ni mzazi mwenzie, mambo ya Paulo yanakaaje hapo???
Haijalishi ni mke au hawara as long as ni damu Yako you have to take full responsibility.

Narudia tena don't just make babies and expect a helping hand from a woman, be a Father.

Nyie madogo kizazi hiki mnapenda mideko sana.

Hopeless kabisa.
 
Back
Top Bottom