Nampeleka Mahakamani Mwanamke niliyezaa naye kwa kushindwa kumhudumia mwanaye. Hoja nitakazopeleka Mahakamani ni hizi

Nampeleka Mahakamani Mwanamke niliyezaa naye kwa kushindwa kumhudumia mwanaye. Hoja nitakazopeleka Mahakamani ni hizi

Vipato vya wengi ni vidogo, havigawanyiki. Sio rahisi kugawa mshahara kwa baby mama na kwako ukaishi vizuri.

Mambo ya talaka ni matokeo tu, ila tunuie kulea familia tukiwa pamoja, tusizae hovyo tukashindwa kulea watoto wetu vizuri.

Kulea ndio huko kwa Baba na Mama.
Zamani ukisema Daktari Watu walijua Unazungumzia mwanaume.
Ni kama hivi unaposema kulea Watu wanadhani mwanaume ndiye anayetakiwa kulea ilhali ni wote. Yaani Baba na mama wote wana haki sawa katika kumtunza mtoto
 
NAMPELEKA MAHAKAMANI MWANAMKE NILIYEZAA NAYE KWA KUSHINDWA KUMHUDUMIA MWANAYE. HOJA NITAKAZOPELEKA MAHAKAMANI NI HIZI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Lazima naye ahudumie. Sikumtuma abebe mimba na anizalie mtoto. Wakati tunafanya alivyokuwa anajichetua, kujibinjua, kubiringita, kujipogoa na kunengua achimenengule kama Akudo band alikuwa akichekelea. Hakujua ikiingia mimba kuna majukumu ya kulea?

Anyway! Hizi ndio Hoja ambazo nimeziandaa kwa ajili ya kungurumisha kesi Mahakamani. Na lazima nipate pesa za matumizi ya mtoto kutoka kwa huyu Mwanamke niliyezaa naye;

1. Uroda tulipata Nusu kwa Nusu tena yeye ndiye alihitaji nyongeza.
Ndugu Mhe. Hakimu. Upatikanaji wa mtoto huyu ni matokeo ya uchu na tamaa zetu mbaya ambazo hata hivyo zilitufurahisha kwani tulistarehe. Na wote tulienjoy Hasahasa huyu Mwanamke yeye alihitaji nyongeza. Na aliipata.
Kama tulivyoshirikiana kupata uroda siku ileile nusu kwa nusu. Basi tushirikiane pia nusu kwa nusu kuwajibika na matokeo ya Uroda ule ambao ndio huyu mtoto wetu.

2. Jenetikali tumempa mtoto Nusu kwa Nusu vinasaba vyetu.
Tena Hakimu kama utakuwa unamacho yanayoona vizuri hutoshindwa kuona kuwa huyu mtoto kachukua sura kutoka kwa Mamaake zaidi. Sisemi kwamba hiyo itamfanya awe na Wajibu zaidi wa kumhudumia mtoto. Ila najaribu kueleza kuwa hata Mwanamke anatakiwa kutoa huduma kwa mtoto wake nusu kwa nusu kwa mwanaye kama alivyochangia chromosome 23 na Mimi chromosome 23 ambayo ndio imemfanya mtoto huyu awe na 46 chromosome.
Kila mtu atunze chromosome zake 23 alizompa huyu mtoto.

3. Haki Sawa .
Mheshimiwa. Hakimu. Kwenye haki Sawa huyu ni mtoto wetu sote. Hivyo ni wajibu wetu kutoa huduma Sawa kiwajibu na kwa Mujibu wa sheria. Kwa mfano kama matumizi na huduma ya mtoto ni 300,000/= kwa mwezi basi kila mzazi atoe 150,000/= kwa sababu ndio Haki.
Mtoto ni mali yetu sote.
Kama kuna atakayetaka kutoa zaidi kwa hiyari/mapenzi yake kwa mtoto hiyo isihusianishwe na sheria na isitajwe hapa Mahakamani kwa sababu ni hiyari na mapenzi ya mtu.

4. Hii itamfanya Mwanamke huyu atafute kazi ya kufanya ili awe na faida kwa taifa.
Mwanamke kumhudumia mtoto wake italisaidia taifa kuondoa utegemezi.
Ndugu Hakimu, nashukuru kwa sababu kwenye kesi hii wewe ni mfano wa wanawake wanaofanya kazi. Na kulitumikia taifa. Ninauhakika hata wewe unahudumia watoto wako. Na hii inapunguza utegemezi ndani ya nchi.

5. Itapunguza kuzaa bila mpango na itadhibiti idadi kubwa ya Watu wasio na tija.
Wanawake wengi wanaozaa watoto wengi ni kwa sababu hawawajibiki kuwatunza na kuwahudumia. Ni aidha wawapelekee Mama na baba zao(Bibi na babu). Au watakuwa wanasumbua wanaume waliozaa nao wawahudumie .
Mwanamke anayehudumia watoto wake ni ngumu kuzaa idadi ya watoto wengi asioweza kuwalea.
Hii itafanya watoto watakaozaliwa wawe na tija.

Mhe. Hakimu, kesi hii kama angekuwa mke wangu au mwanamke ninayeishi naye ingekuwa tofauti kidogo katika hoja zangu nilizotoa. Kwa sababu tungekuwa kitu kimoja yaani familia. Na mimi kama mwanaume ambaye ni mume ningebeba jukumu la Baba na Mume. Lakini kwa sasa sisi hatuishi pamoja hivyo nimebaki na jukumu la Baba na yeye kabaki na jukumu la Mama. Na sisi sio kitu kimoja, sisi sio familia. Ndio maana hii kesi ipo mahakamani.
Naomba hiyo pesa ya matumizi na huduma iingizwe kwenye akaunti yangu ya Benki au namba ya simu anayotumia kuwasiliana na Mimi.
Asante sana.

Sabato Njema.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Vipi kwenye miezi tisa pale? Na wewe ulibeba nusu kwa nusu? Nauliza tu mkuu.
 
Inawezekana wewe pia nimeshakuharibu.

Ndio maana nimekuambia muulize mama Yako nani anatoa Hela ya matunzo hapo kwenu baada ya kuwaokota stendi ya makambako.

Kama umekiri ulichofanyiwa basi sina msaada wowote kwako zaidi ya kukuaga.
 
Kuna mmoja hapa ndugu zake wamemjia juu wakimshinikiza amuambie aliyempa mimba alete hela za matunzo. Huyo mwanamke nilimhoji kwa nini abebe mimba asijue kujitunza mpaka aanze kumsumbua aliyempa? Kama mwanamke hataki kubeba mimba ni bora akajiweka kinga. Akipata mimba ni jukumu lake kujilea na amejitakia mwenyewe kwa kujiridhisha kuwa ana uwezo wa kujihudumia. Mwanaume kuleta matunzo kwa mtoto ni hisani tu na si lazima
 
Kwakuwa ni maoni yako, nayaheshimu.
Ila mwanaume Mkristo anayewaza majukumu ya 50/50 ni mpumbavu na ni mbaya kuliko asiyemuamini Kristo.

Mwanaume Mkristo lazima aitunze na kuilinda familia yake, asimtegemee mwanamke pesa yake kabisa ila amtegemee Mungu kama msaada wake mkuu pamoja na maarifa aliyokuwa nayo. Afanye kazi kwa bidii na kutegemea Mungu ataibariki kazi ya mikono yake.

Mwanaume Mkristo ni mwanajeshi anayemfuata Yesu, akishindwa kumpenda mwanamke wake, ameshindwa kuonyesha upendo wa Yesu kwa mwanamke huyo. Upendo wa Yesu ni utoaji na sio kupokea kila kitu zaidi ya utii kutoka kwa mwanamke. Mwanaume ni natural giver na kutokana na utoaji huo, mwanamke ataonyesha upendo wake kupitia utii.
Shenz ushaanza kuleta udini hapa. Usitaje bure jina la bwana Mungu wako. Shenziiii [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji41]
 
Kuna mmoja hapa ndugu zake wamemjia juu wakimshinikiza amuambie aliyempa mimba alete hela za matunzo. Huyo mwanamke nilimhoji kwa nini abebe mimba asijue kujitunza mpaka aanze kumsumbua aliyempa? Kama mwanamke hataki kubeba mimba ni bora akajiweka kinga. Akipata mimba ni jukumu lake kujilea na amejitakia mwenyewe kwa kujiridhisha kuwa ana uwezo wa kujihudumia. Mwanaume kuleta matunzo kwa mtoto ni hisani tu na si lazima
Kata ndoa

@jobtruetrue #Kazikwelikweli
 
Mwanamke mpaka anabeba mimba ina maana amejiandaa kutunza mtoto na si tegemezi kwa aliyempa mimba. Kuna wanawake hutumia hali hiyo kujitegesha wanase mimba kwa wenye hela ili wapate fursa ya kunyonya uchumi wa mwanaume kwa kisingizio cha matunzo ya mtoto
 
NAMPELEKA MAHAKAMANI MWANAMKE NILIYEZAA NAYE KWA KUSHINDWA KUMHUDUMIA MWANAYE. HOJA NITAKAZOPELEKA MAHAKAMANI NI HIZI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Lazima naye ahudumie. Sikumtuma abebe mimba na anizalie mtoto. Wakati tunafanya alivyokuwa anajichetua, kujibinjua, kubiringita, kujipogoa na kunengua achimenengule kama Akudo band alikuwa akichekelea. Hakujua ikiingia mimba kuna majukumu ya kulea?

Anyway! Hizi ndio Hoja ambazo nimeziandaa kwa ajili ya kungurumisha kesi Mahakamani. Na lazima nipate pesa za matumizi ya mtoto kutoka kwa huyu Mwanamke niliyezaa naye;

1. Uroda tulipata Nusu kwa Nusu tena yeye ndiye alihitaji nyongeza.
Ndugu Mhe. Hakimu. Upatikanaji wa mtoto huyu ni matokeo ya uchu na tamaa zetu mbaya ambazo hata hivyo zilitufurahisha kwani tulistarehe. Na wote tulienjoy Hasahasa huyu Mwanamke yeye alihitaji nyongeza. Na aliipata.
Kama tulivyoshirikiana kupata uroda siku ileile nusu kwa nusu. Basi tushirikiane pia nusu kwa nusu kuwajibika na matokeo ya Uroda ule ambao ndio huyu mtoto wetu.

2. Jenetikali tumempa mtoto Nusu kwa Nusu vinasaba vyetu.
Tena Hakimu kama utakuwa unamacho yanayoona vizuri hutoshindwa kuona kuwa huyu mtoto kachukua sura kutoka kwa Mamaake zaidi. Sisemi kwamba hiyo itamfanya awe na Wajibu zaidi wa kumhudumia mtoto. Ila najaribu kueleza kuwa hata Mwanamke anatakiwa kutoa huduma kwa mtoto wake nusu kwa nusu kwa mwanaye kama alivyochangia chromosome 23 na Mimi chromosome 23 ambayo ndio imemfanya mtoto huyu awe na 46 chromosome.
Kila mtu atunze chromosome zake 23 alizompa huyu mtoto.

3. Haki Sawa .
Mheshimiwa. Hakimu. Kwenye haki Sawa huyu ni mtoto wetu sote. Hivyo ni wajibu wetu kutoa huduma Sawa kiwajibu na kwa Mujibu wa sheria. Kwa mfano kama matumizi na huduma ya mtoto ni 300,000/= kwa mwezi basi kila mzazi atoe 150,000/= kwa sababu ndio Haki.
Mtoto ni mali yetu sote.
Kama kuna atakayetaka kutoa zaidi kwa hiyari/mapenzi yake kwa mtoto hiyo isihusianishwe na sheria na isitajwe hapa Mahakamani kwa sababu ni hiyari na mapenzi ya mtu.

4. Hii itamfanya Mwanamke huyu atafute kazi ya kufanya ili awe na faida kwa taifa.
Mwanamke kumhudumia mtoto wake italisaidia taifa kuondoa utegemezi.
Ndugu Hakimu, nashukuru kwa sababu kwenye kesi hii wewe ni mfano wa wanawake wanaofanya kazi. Na kulitumikia taifa. Ninauhakika hata wewe unahudumia watoto wako. Na hii inapunguza utegemezi ndani ya nchi.

5. Itapunguza kuzaa bila mpango na itadhibiti idadi kubwa ya Watu wasio na tija.
Wanawake wengi wanaozaa watoto wengi ni kwa sababu hawawajibiki kuwatunza na kuwahudumia. Ni aidha wawapelekee Mama na baba zao(Bibi na babu). Au watakuwa wanasumbua wanaume waliozaa nao wawahudumie .
Mwanamke anayehudumia watoto wake ni ngumu kuzaa idadi ya watoto wengi asioweza kuwalea.
Hii itafanya watoto watakaozaliwa wawe na tija.

Mhe. Hakimu, kesi hii kama angekuwa mke wangu au mwanamke ninayeishi naye ingekuwa tofauti kidogo katika hoja zangu nilizotoa. Kwa sababu tungekuwa kitu kimoja yaani familia. Na mimi kama mwanaume ambaye ni mume ningebeba jukumu la Baba na Mume. Lakini kwa sasa sisi hatuishi pamoja hivyo nimebaki na jukumu la Baba na yeye kabaki na jukumu la Mama. Na sisi sio kitu kimoja, sisi sio familia. Ndio maana hii kesi ipo mahakamani.
Naomba hiyo pesa ya matumizi na huduma iingizwe kwenye akaunti yangu ya Benki au namba ya simu anayotumia kuwasiliana na Mimi.
Asante sana.

Sabato Njema.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
***** wanaume wa Dar na "kusaidiwa maisha" na wanawake. Na huyu huyu marioo ndio kutwa kubwabwaja hapa jukwaani ati mwanaume asipoheshimiwa na mke yeye ni bwege. Sasa unajiuliza yeye anajiliza asaidiwe ataheshimiwa vipi.

Yani mwanamke atekeleze majukumu kama yako alafu akuheshimu ?? Unasema mwanamke nae achangie nusu ya gharama je na wewe ulibeba mimba miezi tisa ?! Je na wewe ulijifungua kwa uchungu ?! Je na wewe ulimnyonyesha mtoto kwa miaka miwili.

kiukweli tuko na generation ya wanaume wapumbavu sana. Wanaume wanaokwepa majukumu yao ya asili huku mwanamke akisakamwa pia ati awajibike ili hali majukumu yake anayabeba bila kusaidiwa.
 
Tunapoenda Huko mbele mambo yatakuwa hivyo
Dude you lost you dick, jitazame vizuri uko na vagina growing very fast. Your entire post sounds feminine and girlish with zero masculinity in it.

Tabia za kudai dai, kuomba omba, kulia lia ni za kike hasa unapodai ati usaidiwe kulea, hell what the f.uck is going on with with young men.

We jamaa umelelewa na single mother, thats a straight fact, you dont know and never had a chance to know the responsibilities of a man.
 
Umelewa sifa; na sasa unaandika upuuzi hapa jukwaani.

Mgema kalewa sifa.

👇👇

"Lazima naye ahudumie. Sikumtuma abebe mimba na anizalie mtoto. Wakati tunafanya alivyokuwa anajichetua, kujibinjua, kubiringita, kujipogoa na kunengua achimenengule kama Akudo band alikuwa akichekelea. Hakujua ikiingia mimba kuna majukumu ya kulea?"
 
Usimtumie ukristo kufanya kama rejea ya mambo ya hovyo, mwandishi anaongelea mwanamke mchepuko na sio mkewe wa ndoa.
HATA HIVYO SWALA LA KUTUNZA FAMILIA NI LA BABA NA MAMA SIO BABA PEKEAKE.
🤝🙏
 
Kwakuwa ni maoni yako, nayaheshimu.
Ila mwanaume Mkristo anayewaza majukumu ya 50/50 ni mpumbavu na ni mbaya kuliko asiyemuamini Kristo.

Mwanaume Mkristo lazima aitunze na kuilinda familia yake, asimtegemee mwanamke pesa yake kabisa ila amtegemee Mungu kama msaada wake mkuu pamoja na maarifa aliyokuwa nayo. Afanye kazi kwa bidii na kutegemea Mungu ataibariki kazi ya mikono yake.

Mwanaume Mkristo ni mwanajeshi anayemfuata Yesu, akishindwa kumpenda mwanamke wake, ameshindwa kuonyesha upendo wa Yesu kwa mwanamke huyo. Upendo wa Yesu ni utoaji na sio kupokea kila kitu zaidi ya utii kutoka kwa mwanamke. Mwanaume ni natural giver na kutokana na utoaji huo, mwanamke ataonyesha upendo wake kupitia utii.
Aimen Apostle 🤓
 
Back
Top Bottom