Nampenda lakini simwamini kabisa, nifanyeje?


Ukishasema wewe Tate Mkuu Mimi Sina la kuongeza

Hony huu ushauri hapa ukiudharau tutakuja kukusoma mitandaoni kwa huzuni kama ile ya gunia2 za mkaa.
Mashetani NI watu na malaika NI watu pia. Bahati mbaya wewe umekutana na SHETANI mzimamzima kwenye mwili wa binadamu.
 
Kama Alikidanganya vyotr Hivyp mpaka kuhusu mali lengo ilikuwa ni Akumiliki sasa leo unataka kumkimbia kiboyaaa tuu aisee kifatacho ATAKUUA KWELI MAANA HANA CHA KUPOTEZA..!! HANA MAISHA HAWEZI KUKUSHAWISHI UBAKI NAE.

Ushauri..
Nguo sio mali kitu labda kama kwenu ulifukuzwaaa ondoka hata na ulizovaaa uhai wako una thamani sana achana na huyo ashachanganyikiwa dada puuza siku utaombwa msamaha ukiwa KABURINI
 
Binti acha ufala huyo ni kichaa atakuja kukuua kimbia.
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya Mambo ya kipuuzi namna hiyo.

Mpenzi wako ana matatizo ya akili na wenda anafanya hayo mambo akiwa ajitambui nini anafanya.
 
mama D karibu Dodoma siku ya kuapishwa Tulia. Baadhi ya makada wa chama tutakuwa na jambo letu pale Morena Hotel.

Ukifika getini mwambie mlinzi wewe ni Mgeni wa yule Babu mweupe kutoka Lushoto. Muda ni kuanzia saa nne usiku. Tafadhali uje peke yako.

Asante kwa mwaliko Tate Mkuu
Sasa inabidi tuwaalike kule kwetu Lushoto kina Suluhu, Mpango, Majaliwa na Tulia tuwape cheo Cha TateMkuu
 
Atakutana na mkono wa sheria mkononi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ondoka haraka sana.. otherwise…….
 
Kimbia kifo kitakukuta hapo
 
Ila Kuna watu wanajiendekeza sana
Mtu keshakudanganya yote Hayo wewe bado upo tuuuuu

Watu tunatofautiana lakini kiukweli kwa mtu mzima mwenye akili kuna vitu hata havihitaji kuomba ushauri....
Bado nischana 24 ...ndo maana kaomba ushauri.



Ila kama wee hapo, aahh mapema, ushaamua vyakumuamua.
 
Una mchumba wako halafu mnaishi pamoja...wanawake siku hizi mnajirahisisha kweli

Kuna uwezekano unaishi na mwanaume ambaye ana dissociative identity disorder au aina nyingine ya magonjwa ya akili au mtu mgomvi...

Wewe tuambie tu ukishauawa tukusafirishe au tukuzike hapahapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…