Nampenda lakini simwamini kabisa, nifanyeje?

Nampenda lakini simwamini kabisa, nifanyeje?

1) Wanaume wameagizwa kuwanasa wanawake wanaowapenda hata kwa uongo wa kiasi gani- sina kielelezo kizuri hapa ... nitafute

2) Kuhusu kukushikia kisu- hauwezi kuamini kama yupo seriously na hilo mpaka akudhuru au akuue siku moja .. nenda sister hakuna uhusiano wa kupendana na kukutishia kisu.. tumia njia yoyote ondoka hapo

3) Kwa maelezo yako; unabidi utafute mwalimu/doctor wa saikologia akusaidie, akutibie.. pole sana wadada wote.. nafahamu mnatupendaga kweli
 
Naombeni ushauri,

Mimi ni msichana wa miaka 24, nina mchumba ana miaka 29, tatizo langu ni kwamba mchumba wangu nimekuja kugundua ni muongo sana na mpaka kumgundua uwe na akili ya ziada kabisa, nimekuja kumgundua nimeshampenda tayr, na nisingekuwa nakaa naye pamoja hakika nisingemkamata,
LET HIM GO

ONDOKA

NA KAMA INAFAA TOA TAARIFA KITUO CHA POLISI WAKUPE RESTRAIN ORDER KABISA

USIVUMILIE SEHEMU AMBAYO UNAJUA MUDA WOWOTE UTADHURIKA
 
Naombeni ushauri,

Mimi ni msichana wa miaka 24, nina mchumba ana miaka 29, tatizo langu ni kwamba mchumba wangu nimekuja kugundua ni muongo sana na mpaka kumgundua uwe na akili ya ziada kabisa, nimekuja kumgundua nimeshampenda tayr, na nisingekuwa nakaa naye pamoja hakika nisingemkamata,

Endelea kujifanya hutaki kuondoka bila kumuaga. Huyo atakuua, ni muuaji huyo na dalili zipo wazi. Ukijifanya kumuonea huruma utaishia kaburini hivi karibuni.
 
Naombeni ushauri,

Mimi ni msichana wa miaka 24, nina mchumba ana miaka 29, tatizo langu ni kwamba mchumba wangu nimekuja kugundua ni muongo sana na mpaka kumgundua uwe na akili ya ziada kabisa, nimekuja kumgundua nimeshampenda tayr, na nisingekuwa nakaa naye pamoja hakika nisingemkamata,
Unaishi na psychopath. Kimbia kabisa huyo ni psycho atakuua kimbia kama vitu muachie.
 
1. muongo

2. malaya

3. kakushikia kisu

4. inaonekana hapendi ufanikiwe

halafu bado upo nae tu ????????


unayathamini maisha yako kweli?


mida ulitakiwa uwe ushahamisha vitu vyako kidogokidogo umesepa na rb umemchukulia.

unless unasubiri utrend " mwanamke aliyeuliwa na mwanaume alokuwa anaishi nae kwa kuchomwa kisu"
 
Naombeni ushauri,

Mimi ni msichana wa miaka 24, nina mchumba ana miaka 29, tatizo langu ni kwamba mchumba wangu nimekuja kugundua ni muongo sana na mpaka kumgundua uwe na akili ya ziada kabisa, nimekuja kumgundua nimeshampenda tayr, na nisingekuwa nakaa naye pamoja hakika nisingemkamata, alinidanganya ana nyumba akanionyesha kabisa kumbe sio yake, akanidangany hakuwahi kuwa na mpenzi kumbe ana wapenzi wengi t, kanidangany mpa
Kaka angu huyo sio mzima kabisa.....yani sio mzima.......Toroka mbali sana....atakuja akuumize.
 
Unaishi Na Mtu mwenye Dalili zote za Uchizi(Kichaa) halaf unakuja kutuomba ushauri badala ufanye maamuzi mazur ndo ushauri ufuate
 
Unaishi Na Mtu mwenye Dalili zote za Uchizi(Kichaa) halaf unakuja kutuomba ushauri badala ufanye maamuzi mazur ndo ushauri ufuate

Hapa ni JamiiForums Mkuu.. mwache ajiachie.. na atapata tu ushauri.. hata usijali
 
Naombeni ushauri,

Mimi ni msichana wa miaka 24, nina mchumba ana miaka 29, tatizo langu ni kwamba mchumba wangu nimekuja kugundua ni muongo sana na mpaka kumgundua uwe na akili ya ziada kabisa, nimekuja kumgundua nimeshampenda tayr, na nisingekuwa nakaa naye pamoja hakika nisingemkamata,

[emoji28][emoji28][emoji28]mapenzi bhana
 
We Dogo achana na mapenzi,,, huyo boya siku sio nyingi atakutia kilema cha maisha...

Haya ndio anayosemaga Carlos The Jackal kuwa Mwanamke hahitaji furaha siku zote... Sasa jamaa huenda anaplay hio part vizuri ndio maana bidada hataki kuondoka coz ana amini Jamaa ndio atampa furaha..

Tunavomshauri kwa Logic hapa anatuona kama wanenguaji wa Akudo impact....

Ila binti achana nae huyo... Mwanamke umri wako bado ni mrembo na huwezi kosa mwanaume wa kukupa furaha...ataharibu huo urembo na akuache..
 
Back
Top Bottom