Nampenda lakini simwamini kabisa, nifanyeje?

Nampenda lakini simwamini kabisa, nifanyeje?

Naombeni ushauri,

Mimi ni msichana wa miaka 24, nina mchumba ana miaka 29, tatizo langu ni kwamba mchumba wangu nimekuja kugundua ni muongo sana na mpaka kumgundua uwe na akili ya ziada kabisa, nimekuja kumgundua nimeshampenda tayr, na nisingekuwa nakaa naye pamoja hakika nisingemkamata, alinidanganya ana nyumba akanionyesha kabisa kumbe sio yake, akanidangany hakuwahi kuwa na mpenzi kumbe ana wapenzi wengi t, kanidangany mpaka level yake ya elimu n.k,

Siku yaliponkfika shingoni nikamwambia ukweli na nikamuaga naenda sehemu nikapitie vitu vyangu kisha nielekee nyumbani nikawasalimie, kiukweli nisiwe mnafiki nilikuwa nasepa mazima. Alikubali lkn imefika usiku wa kuamkia siku ambayo naondoka akanibadilikia na tulikuwa tunacheka kabisa, ghafla akaanza kucheka akanishikia kisu usoni akabadilika kabisa lkn anacheka sana, aliniwekea tumboni akasema bora aniue tu maana ananipenda lkn nataka niache Dah kiukweli nilijitetea mpk nilichanganyikiwa, hatimaye baada ya masaa takriban mawili aliniacha akasema nikirudia atanimaliza kabisa.

Siku moja kanikuta na simu nipo instagram naangalia comments nikawa nacheka lkn limekuwa ni tatizo kwake (hili ni la muda mrefu hataki nishike simu, hajawahi kunikuta naongea na mwanaume wala kunasa msg na yeye anajua sina hiyo tabia, nikishika simu nafanya application za kazi nikichoka naingia kujiburudisha mtandaoni sasa kinamuuma sana mm kufanya hivo), hiyo siku akaanza kunigombeza, kwa kuwa ni tabia yake siku hiyo nikamwambia laivu nimechoka na hii tabia, ghafla kaanz kunipiga anasema ko imechoka kuishi na mimi, akaniumiza sana akaona haitoshi kakimbilia kisu dah! Nilipiga kelele watu wakaja ndio akaniachia.

Asubuhi kulipokicha akanifata nilipolala akaanza kulia sana ananiomba msamaha, alijutia alichokifanya mpk leo namuona hayupo sawa, nilimwambia nimemsamehe lakini aliendelea kulia baadae akanyamaz lkn anajuta hadi leo. Tangu siku anipige na kunishikia kisu namuogopa sana, simwamini tena nikimuona nawaza kuna siku ataniua, tunaweza kuwa tunacheka kabisa ghafla hali ya hofu inanitawala, nabadilika kabisa mpaka anaanza kulia tena, hio hali inanisumbua sana, akinikumbatia nakuwa na furaha ghafla tena nashikwa hofu hapohapo,namwambia aniachie, akiniletea zawadi ananiambia fumba macho ili anipe, nafumba ghafla naanza kupiga kelele nafumbua macho!

Dah of course inamuuma sana akiniona na hali hiyo lkn akili yangu najaribu kuirudisha upya imegoma kabisa, nawaza kutoroka tuu muda wowote na inaniuma kuondoka bila kumuaga nifanye je?nisaidiwe nn cha kufanya? Halafu amenihofia je nikitoroka akaninasa njian? Maana ananiwinda sana. Nampenda lakini nipo tayr kujisacrify kumuacha, nitumie njia ipi?
Dada Hony pole kwa usumbufu wa huyo dogo asiyejitambua, pia pole kwa tamaa za kijinga ulizoweka mbele. Huyo dogo alikudanganya kuwa ana miliki nyumba nawe ukakubali, inaonyesha jinsi ulivyo na tamaa za kijinga na kukimbilia kumpenda mtu bila kumjuwa. Nisikupotezee muda wako, mimi pia namiliki hili jengo refu hapo chini pichani......unaonaje ukija PM tuyajenge?
modern-city-skyscraper-3d-model-max.jpg
 
Naombeni ushauri,

Mimi ni msichana wa miaka 24, nina mchumba ana miaka 29, tatizo langu ni kwamba mchumba wangu nimekuja kugundua ni muongo sana na mpaka kumgundua uwe na akili ya ziada kabisa, nimekuja kumgundua nimeshampenda tayr, na nisingekuwa nakaa naye pamoja hakika nisingemkamata, alinidanganya ana nyumba akanionyesha kabisa kumbe sio yake, akanidangany hakuwahi kuwa na mpenzi kumbe ana wapenzi wengi t, kanidangany mpaka level yake ya elimu n.k,

Siku yaliponkfika shingoni nikamwambia ukweli na nikamuaga naenda sehemu nikapitie vitu vyangu kisha nielekee nyumbani nikawasalimie, kiukweli nisiwe mnafiki nilikuwa nasepa mazima. Alikubali lkn imefika usiku wa kuamkia siku ambayo naondoka akanibadilikia na tulikuwa tunacheka kabisa, ghafla akaanza kucheka akanishikia kisu usoni akabadilika kabisa lkn anacheka sana, aliniwekea tumboni akasema bora aniue tu maana ananipenda lkn nataka niache Dah kiukweli nilijitetea mpk nilichanganyikiwa, hatimaye baada ya masaa takriban mawili aliniacha akasema nikirudia atanimaliza kabisa.

Siku moja kanikuta na simu nipo instagram naangalia comments nikawa nacheka lkn limekuwa ni tatizo kwake (hili ni la muda mrefu hataki nishike simu, hajawahi kunikuta naongea na mwanaume wala kunasa msg na yeye anajua sina hiyo tabia, nikishika simu nafanya application za kazi nikichoka naingia kujiburudisha mtandaoni sasa kinamuuma sana mm kufanya hivo), hiyo siku akaanza kunigombeza, kwa kuwa ni tabia yake siku hiyo nikamwambia laivu nimechoka na hii tabia, ghafla kaanz kunipiga anasema ko imechoka kuishi na mimi, akaniumiza sana akaona haitoshi kakimbilia kisu dah! Nilipiga kelele watu wakaja ndio akaniachia.

Asubuhi kulipokicha akanifata nilipolala akaanza kulia sana ananiomba msamaha, alijutia alichokifanya mpk leo namuona hayupo sawa, nilimwambia nimemsamehe lakini aliendelea kulia baadae akanyamaz lkn anajuta hadi leo. Tangu siku anipige na kunishikia kisu namuogopa sana, simwamini tena nikimuona nawaza kuna siku ataniua, tunaweza kuwa tunacheka kabisa ghafla hali ya hofu inanitawala, nabadilika kabisa mpaka anaanza kulia tena, hio hali inanisumbua sana, akinikumbatia nakuwa na furaha ghafla tena nashikwa hofu hapohapo,namwambia aniachie, akiniletea zawadi ananiambia fumba macho ili anipe, nafumba ghafla naanza kupiga kelele nafumbua macho!

Dah of course inamuuma sana akiniona na hali hiyo lkn akili yangu najaribu kuirudisha upya imegoma kabisa, nawaza kutoroka tuu muda wowote na inaniuma kuondoka bila kumuaga nifanye je?nisaidiwe nn cha kufanya? Halafu amenihofia je nikitoroka akaninasa njian? Maana ananiwinda sana. Nampenda lakini nipo tayr kujisacrify kumuacha, nitumie njia ipi?
Unadate na Chizi sio muda tu Atakujeruhi kama sio kukutanguliza akhera kabisaaa
 
Naombeni ushauri,

Mimi ni msichana wa miaka 24, nina mchumba ana miaka 29, tatizo langu ni kwamba mchumba wangu nimekuja kugundua ni muongo sana na mpaka kumgundua uwe na akili ya ziada kabisa, nimekuja kumgundua nimeshampenda tayr, na nisingekuwa nakaa naye pamoja hakika nisingemkamata, alinidanganya ana nyumba akanionyesha kabisa kumbe sio yake, akanidangany hakuwahi kuwa na mpenzi kumbe ana wapenzi wengi t, kanidangany mpaka level yake ya elimu n.k,

Siku yaliponkfika shingoni nikamwambia ukweli na nikamuaga naenda sehemu nikapitie vitu vyangu kisha nielekee nyumbani nikawasalimie, kiukweli nisiwe mnafiki nilikuwa nasepa mazima. Alikubali lkn imefika usiku wa kuamkia siku ambayo naondoka akanibadilikia na tulikuwa tunacheka kabisa, ghafla akaanza kucheka akanishikia kisu usoni akabadilika kabisa lkn anacheka sana, aliniwekea tumboni akasema bora aniue tu maana ananipenda lkn nataka niache Dah kiukweli nilijitetea mpk nilichanganyikiwa, hatimaye baada ya masaa takriban mawili aliniacha akasema nikirudia atanimaliza kabisa.

Siku moja kanikuta na simu nipo instagram naangalia comments nikawa nacheka lkn limekuwa ni tatizo kwake (hili ni la muda mrefu hataki nishike simu, hajawahi kunikuta naongea na mwanaume wala kunasa msg na yeye anajua sina hiyo tabia, nikishika simu nafanya application za kazi nikichoka naingia kujiburudisha mtandaoni sasa kinamuuma sana mm kufanya hivo), hiyo siku akaanza kunigombeza, kwa kuwa ni tabia yake siku hiyo nikamwambia laivu nimechoka na hii tabia, ghafla kaanz kunipiga anasema ko imechoka kuishi na mimi, akaniumiza sana akaona haitoshi kakimbilia kisu dah! Nilipiga kelele watu wakaja ndio akaniachia.

Asubuhi kulipokicha akanifata nilipolala akaanza kulia sana ananiomba msamaha, alijutia alichokifanya mpk leo namuona hayupo sawa, nilimwambia nimemsamehe lakini aliendelea kulia baadae akanyamaz lkn anajuta hadi leo. Tangu siku anipige na kunishikia kisu namuogopa sana, simwamini tena nikimuona nawaza kuna siku ataniua, tunaweza kuwa tunacheka kabisa ghafla hali ya hofu inanitawala, nabadilika kabisa mpaka anaanza kulia tena, hio hali inanisumbua sana, akinikumbatia nakuwa na furaha ghafla tena nashikwa hofu hapohapo,namwambia aniachie, akiniletea zawadi ananiambia fumba macho ili anipe, nafumba ghafla naanza kupiga kelele nafumbua macho!

Dah of course inamuuma sana akiniona na hali hiyo lkn akili yangu najaribu kuirudisha upya imegoma kabisa, nawaza kutoroka tuu muda wowote na inaniuma kuondoka bila kumuaga nifanye je?nisaidiwe nn cha kufanya? Halafu amenihofia je nikitoroka akaninasa njian? Maana ananiwinda sana. Nampenda lakini nipo tayr kujisacrify kumuacha, nitumie njia ipi?
Tangu upost huu Uzi hujachukua maamuzi TU, coz it has take a couple of months now
 
Siku aje atenganishe kichwa na kiwiliwili ndo akili itakukaa sawa...Mwamba kaonesha dalili mbaya hzo bado umeganda kama kupe.
 
Back
Top Bottom