Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Huyu Madame B ndo yule anayeshinda jukwaa la wakubwa na anasemaga mwenyewe anapenda madude makubwa na yampitie kotekote au ni mwingine?
Ka ni yeye basi usipompa kotekote atatafuta kwingine.

Kote kote ndo barabara gani?
 
Last edited by a moderator:
Afu kakangu wewe Erickb52!
Mbona unapenda kuniwekea kauzibe?
Asa unataka niendelee kukaa hapo nyumbani mpaka lini?,kila siku wewe na kaka Mungi mnaniambia nitafute bwana niolewe,leo amepatikana we nawe unakwenda vice versa,nitarudi home hapo afu tuje kuendelea kubanana kwenye ugali wa kengele....Ohoooo!!!!!
Sasa hata km unataka bwana asiwe mjeda aisee tena Komandoo lol si atatutwanga makonde aisee
Mi sitaki bora ubaki kwa Chimbuvu au mwanasiasa Bensaanane
 
Last edited by a moderator:
Mpendwa kiplagati26,
nafurahi sana kusikia msimamo wako kwangu mimi.
Najua watu wengi watakuchukulia tofauti kwa sababu tu eti ungeyamaliza Pm.
Pm ni kachumbali ndani ya jamvini ambalo ni pilau.
Nashukuru sana kwa kunipenda.
Tumwombe Mungu tufike Mbali.
Kopi: Chimbuvu.........pole sana kaka.......jioni tukutane ngwasuma tutwange mi biere ujiliwaze,nikikumbuka mashairi uliyomwimbia Madame B jana.....i can feel for you.
 
Last edited by a moderator:
huyu ni wa jamvini tu ila wa ukweli ni komandoo kiplagati26

Kwa hiyo mnatupanga mafungu sio?......huyu wa shopping,huyu wa outing,huyu wa dushelele siza 12,huyu wa jf,huyu wa ndoa........aisee.....ndo mana msondo walijiimbia....'kuzaliwa mwanaume mateso'.
 
Last edited by a moderator:
Sasa hata km unataka bwana asiwe mjeda aisee tena Komandoo lol si atatutwanga makonde aisee
Mi sitaki bora ubaki kwa Chimbuvu au mwanasiasa Bensaanane

Huyo ndo mzuri ili awakong'ote makonde vizuri makaka wabishi mnaowachagulia dada zenu wachumba, kama wewe na mwenzio.
 
Last edited by a moderator:
kwani sijaku PM Mpenzi wangu aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa usiniangushe bana
Hivi wale watoto wako 2 wa nje ulishawachukua kwa mama zao?maana sheria inaruhusu sasa uwachukue,Na yule deme muuza mtori pale Sakina hivi alijifungua mtoto gani?
Alafu yule deme wa siku zileee mafika wakati tuko coz si unamkumbuka?alishaga kufa kwa ngoma!
Alafu huyo unayemfukuzia sasa hutamuweza bora uachane na mpango huo,ana tabia ya kuhama hama kama MREMA.
 
Last edited by a moderator:
Hivi wale watoto wako 2 wa nje ulishawachukua kwa mama zao?maana sheria inaruhusu sasa uwachukue,Na yule deme muuza mtori pale Sakina hivi alijifungua mtoto gani?
Alafu yule deme wa siku zileee mafika wakati tuko coz si unamkumbuka?alishaga kufa kwa ngoma!
Alafu huyo unayemfukuzia sasa hutamuweza bora uachane na mpango huo,ana tabia ya kuhama hama kama MREMA.
Aisee unanikumbusha ugomvi wa uttotoni ukishindwa ngumi unang'ata meno,aste aste mkuu CHAI CHUNGU twende taratibu.... Madame B mbona ni kuku wako mwenyewe? Manati ya nini?
 
Last edited by a moderator:
Hivi wale watoto wako 2 wa nje ulishawachukua kwa mama zao?maana sheria inaruhusu sasa uwachukue,Na yule deme muuza mtori pale Sakina hivi alijifungua mtoto gani?
Alafu yule deme wa siku zileee mafika wakati tuko coz si unamkumbuka?alishaga kufa kwa ngoma!
Alafu huyo unayemfukuzia sasa hutamuweza bora uachane na mpango huo,ana tabia ya kuhama hama kama MREMA.

Hata Utumie Tambo na Nyimbo, Nimeweka Pamba Masikio.
Nitayakuta huko huko.
 
Back
Top Bottom