Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,984
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hata km unataka bwana asiwe mjeda aisee tena Komandoo lol si atatutwanga makonde aiseeAfu kakangu wewe Erickb52!
Mbona unapenda kuniwekea kauzibe?
Asa unataka niendelee kukaa hapo nyumbani mpaka lini?,kila siku wewe na kaka Mungi mnaniambia nitafute bwana niolewe,leo amepatikana we nawe unakwenda vice versa,nitarudi home hapo afu tuje kuendelea kubanana kwenye ugali wa kengele....Ohoooo!!!!!
Kopi: Chimbuvu.........pole sana kaka.......jioni tukutane ngwasuma tutwange mi biere ujiliwaze,nikikumbuka mashairi uliyomwimbia Madame B jana.....i can feel for you.Mpendwa kiplagati26,
nafurahi sana kusikia msimamo wako kwangu mimi.
Najua watu wengi watakuchukulia tofauti kwa sababu tu eti ungeyamaliza Pm.
Pm ni kachumbali ndani ya jamvini ambalo ni pilau.
Nashukuru sana kwa kunipenda.
Tumwombe Mungu tufike Mbali.
Unatumia skype?
Acha tuu mkuu!Mkuu umepata brain konkshen mpaka hujui tarehe?
Aisee,pole
huyu ni wa jamvini tu ila wa ukweli ni komandoo kiplagati26
Oya KakaJambazi mbona unataka kuharibu shughuli ya watu arife??? Hebu vumilia tule ubwabwa kwanza ndo baadae uyaseme hayo yanayokusibu!!
Hivi wale watoto wako 2 wa nje ulishawachukua kwa mama zao?maana sheria inaruhusu sasa uwachukue,Na yule deme muuza mtori pale Sakina hivi alijifungua mtoto gani?kwani sijaku PM Mpenzi wangu aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa usiniangushe bana
mpeleke njenje banaaa..........
Si hatuna muda na yeye msimamo wetu ni wewe kutokwenda kwa huyo mjeda!Huyo ndo mzuri ili awakong'ote makonde vizuri makaka wabishi mnaowachagulia dada zenu wachumba, kama wewe na mwenzio.
Kwa hiyo mnatupanga mafungu sio?......huyu wa shopping,huyu wa outing,huyu wa dushelele siza 12,huyu wa jf,huyu wa ndoa........aisee.....ndo mana msondo walijiimbia....'kuzaliwa mwanaume mateso'.
Aisee unanikumbusha ugomvi wa uttotoni ukishindwa ngumi unang'ata meno,aste aste mkuu CHAI CHUNGU twende taratibu.... Madame B mbona ni kuku wako mwenyewe? Manati ya nini?Hivi wale watoto wako 2 wa nje ulishawachukua kwa mama zao?maana sheria inaruhusu sasa uwachukue,Na yule deme muuza mtori pale Sakina hivi alijifungua mtoto gani?
Alafu yule deme wa siku zileee mafika wakati tuko coz si unamkumbuka?alishaga kufa kwa ngoma!
Alafu huyo unayemfukuzia sasa hutamuweza bora uachane na mpango huo,ana tabia ya kuhama hama kama MREMA.
Hivi wale watoto wako 2 wa nje ulishawachukua kwa mama zao?maana sheria inaruhusu sasa uwachukue,Na yule deme muuza mtori pale Sakina hivi alijifungua mtoto gani?
Alafu yule deme wa siku zileee mafika wakati tuko coz si unamkumbuka?alishaga kufa kwa ngoma!
Alafu huyo unayemfukuzia sasa hutamuweza bora uachane na mpango huo,ana tabia ya kuhama hama kama MREMA.