Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Haya movie inaendelea, na ndiyo imeshika kasi.
 
Ungem-PM kwanza...sisi hbr zako za ukomando wa kichina hautusaidii! Shenzytypeeeee

Same time napenda ukweli na uwazi kwa vitu vidogo samahani kama nitakua nimekuboa hakuna binadamu asiyekuwa na mapungufu
 
kiplagati26, hongera sana kaka/shemeji. jana nilisema sitolala mpaka leo umetoka mazoezini ukaja na jibu hapa. kwa majibu haya mie kama dada mkubwa wa Madame B sina a nyongeza kwakweli.

kimsigi nimekupenda sana manake unaijua thamani ya mwanamke na unajua kutunza utu wa mwanamke. Nimekupenda sana kwasababu najua sasa mdogo wangu yuko katika penzi ambalo ni la kweli na yeye binafsi yuko tayari kulilinda milele. Nimesha mwambia mengi sana mimi kama dada yake ila niliposom post yako ya pili kwenye huu uzi nimejikuta nafsini nikijawa na furaha kwamba amepata mtu mkweli kama jinsi ambavyo anapenda ukweli.

najua maisha ya mahusiano yyte yale lazima kupanda milima ila nawaombea Mungu mpande pamoja na kushuka pamoja, pia Mungu kwenu awe kiongozi na furaha yenu, mkamfanye RMT kuwa mwamuzi wa kila mnalo panga ndani mwenu, uchumba wenu utanguliwe na busara za kimungu zaid zenye mafunzo na tabia zinazopendeza kwenye jamii na zitakazo jenga familia bora.

mie baadae ntakuja na bandiko la kushangilia kusimama kwa utawala wa mjeda aka COMMANDO na kuanguka kwa utawala wa CHAI CHUNGU.

Jf idumu milele kwa kuleta watu pamoja!!
 
Last edited by a moderator:
kiplagati26 naomba tusizoeane...... Eti 'Nampenda awe mke wangu,eti Hisia za mapenzi'.jiangalie sana!

Kama unapenda ufaidi matunda ya kazi na mafunzo yote hayo basi achana na Madame B kabisa na ondoa hilo wazo kichwani.FUTA KABISA HILO WAZO

Ameolewa,unadhani hiyo B kwenye jina lake inasimama badala ya nini unadhani 'Beatrice au Brenda'?

Get lost!

duuuhhhh
JF is never boring ..... The Boss
 
Last edited by a moderator:
Huyu Madame B ndo yule anayeshinda jukwaa la wakubwa na anasemaga mwenyewe anapenda madude makubwa na yampitie kotekote au ni mwingine?
Ka ni yeye basi usipompa kotekote atatafuta kwingine.
 
Last edited by a moderator:
Huyu Madame B ndo yule anayeshinda jukwaa la wakubwa na anasemaga mwenyewe anapenda madude makubwa na yampitie kotekote au ni mwingine?
Ka ni yeye basi usipompa kotekote atatafuta kwingine.

Ule ni ubunifu tu ktk kulichangamsha jukwaa.
Ina maana wale wote wanayoyasema yale mabaya pale jukwaani nao pia wanayatenda?
Pembua ubongo wako KakaJambazi
 
Last edited by a moderator:
Ule ni ubunifu tu ktk kulichangamsha jukwaa.
Ina maana wale wote wanayoyasema yale mabaya pale jukwaani nao pia wanayatenda?
Pembua ubongo wako KakaJambazi

Huo ubunifu utalifanya penzi lenu lidumu.
Usihofu ukadhani atakuona sio wife material. What if marinda hamna!
 
Last edited by a moderator:
aiyayayayayayyayy!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
mambo iko huku babuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu, mwli snowhite na cacico pasi kumsahau mwaJ njooni sasa tuanze kuimba

'''' achia ngazi babu mchuma unaondoka huoooooooooooooooooo
'''''achia ngazi babuuu chuma unaondoka huoooooooooooooooooooooo


ulinitemaaa aseme niniiiiiiiiiii, iukanisemaaaaa sasa nakula vyanguuuuuuuuuuuuuu
naona mambo yako huko taarabu imo taarabu imo nana mambo yako huku weeeeeeeeeeeeeeee utaumiza roho yakooo enhhhhhhhhhhh!!

cc CHAI CHUNGU Madame B na Paloma

mabwaku!!! kumbe unaviweza vijembeeeeeeeeeeee....................
 
Mpendwa kiplagati26,
nafurahi sana kusikia msimamo wako kwangu mimi.
Najua watu wengi watakuchukulia tofauti kwa sababu tu eti ungeyamaliza Pm.
Pm ni kachumbali ndani ya jamvini ambalo ni pilau.
Nashukuru sana kwa kunipenda.
Tumwombe Mungu tufike Mbali.

hayo ndo maneno sasa hapa naaza rasmi kualika wapendwa kwenye mnusoooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

naskitika tu kwamba shoga yangu yupo msibani kafiwa na shosti wake Moro yaani leo na sare za kupelekea mahari tungetafuta alllaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah
 
Sasa Madame B ulikuwa unanisumbua sumbua sas huyo ndege tunduni!!zile habari zako nikupeleke kwa mganga wa mapenzi!ulikuwa umeisha nichosha kilasiku ila nilikuwa naona soo kukwambia maana kila ukiona kibao mganga wakienyeji kutoka sumbawangu,nigeri ulikuwa ukitaka kujua habari zake!!Sasa utapumzika kuwa Popo tuachie upopo mimi na Paloma, amu, Zion Daughter, Vin Diesel Kipaji Halisi, figganigga, gfsonwin>>>>BTW ntakumisi kwenye baa zetu za usiku mwingi Paloma ongeza uzito tutammiss sana maana komando akikustukia anakuvunja mbafu!!:rockon::rockon::rockon::rockon:

hahahahaaaaaa KakaKiiza bhanaaa.....!!!
huyu komandoo asituletee kiwingu...tutamwendea kwa dr matunge mwenyewe atamuachia Madame B tutaendeleza upopo. kama vipi tumfanye na yeye ajiunge nasi kwenye upopo!!! si unajua atatufaa katika adventure zetu kama mkoko kuingia mtaroni - komando atalinyanyua tu- so yafaa tumuwahishe huyu!!
 
Last edited by a moderator:
hahahahaaaaaa KakaKiiza bhanaaa.....!!!
huyu komandoo asituletee kiwingu...tutamwendea kwa dr matunge mwenyewe atamuachia Madame B tutaendeleza upopo. kama vipi tumfanye na yeye ajiunge nasi kwenye upopo!!! si unajua atatufaa katika adventure zetu kama mkoko kuingia mtaroni - komando atalinyanyua tu- so yafaa tumuwahishe huyu!!

membaz mnazidi kupungua kila kukicha soon na Paloma naye ataopolewa atabaki KakaKiiza na mjeda wa leo tupo hapa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom