Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Anayetakiwa kuwolewa hapa ni Madam B au Madame B?

Hawa ni watu wawili tofauuuuuti kabisa!

... Hapo sasa! Bora wewe umeliona!!
... Ben Saanane atakuwa amepanic bure tu... (mtaalam wetu umakini hapa umekuwa miongoni mwa ile 65%)
... huyo Mjeda juu kasema Madam B, kisha karudia Madamu B, na mara kadhaa Madam B
 
Last edited by a moderator:
... Hapo sasa! Bora wewe umeliona!!
... Ben Saanane atakuwa amepanic bure tu... (mtaalam wetu umakini hapa umekuwa miongoni mwa ile 65%)
... huyo Mjeda juu kasema Madam B, kisha karudia Madamu B, na mara kadhaa Madam B

Inawezekana nilimpiga biti bure ila hilo biti liliwafaa na wengine waliokua na malengo kama hayo juu ya Madame B wangu....

Ila pia ile post ilisaidia kuwatambua maadui na marafiki wa kweli wa mahaba yangu na Madame B ....
 
Last edited by a moderator:
Kumbe nimechelewa namna hii daa ninge kosa mnuso!
Hahahahahahahahahahhah
kwakweli hii thread itamliza mtu kabisa! Yani wakati nilimpiga chura teke mwenzangu ana mchukua na kumkumbatia sasa machozi yana anza kunitoka.

Haahahahaha
daa kweli dunia ina mambo yake!



daa mwl gfsonwin umetisha sana humu hakikisha tuna kula wali hapa ume mwaga nondo hadi basi, kweli umeamua!

Daaah Madame B wakuache upumue kabisa source : cacico!
Hongera sana Madame B and all da best!

Lakini sijawai shuhudia ngumi za wajeda(jokes)
 
Last edited by a moderator:
Zion Daughter nahitaji maelezo hapa, mimi sina mkwe, sasa huyo unayemzungumzia hapa ni mkwe wangu kwa nani? wewe ama dadako mkorofi snowhite??



Umechekelea nini ma wife??


gfsonwin unauliza kisu machinjioni?? we humuoni Madame B alivyo mdondokea kamanda Ben Saanane?? mjeda wa kichina mwenyewe kanywea sasa tunasubiri kamanda Ben achukue jimbo rasmi.:smile-big::smile-big::smile-big:

Ha ha ha Mwita Maranya,

Tupo na Madame B muda huu....nashangaa ananiamsha ananiambia nipokee simu .Nakuta watu wa JF wanazingua.Ha ha ha,wivu wao ni noma lakini bond yetu na Madame B haina mfano....

Hiki ki-night dress alichopiga....mhh.Gharika!
 
Last edited by a moderator:

Afu kakangu wewe Erickb52!
Mbona unapenda kuniwekea kauzibe?
Asa unataka niendelee kukaa hapo nyumbani mpaka lini?,kila siku wewe na kaka Mungi mnaniambia nitafute bwana niolewe,leo amepatikana we nawe unakwenda vice versa,nitarudi home hapo afu tuje kuendelea kubanana kwenye ugali wa kengele....Ohoooo!!!!!
 
Last edited by a moderator:
tehe!tehe!tehe!tehe! Kaka tarehe ya nini tena! Umenifurahisha sana ila una nyota hapa jf thread zako unazoweka kituo lazima member and Guest watiririke!

Hana chake tena,ni lazima aulize tarehe ili aweke kumbukumbu.
Chezea kibyutyi!
 
aksante mwalimu ,ninaweza kuwa mwanafunzi bora nikiwa na walimu kama wewe.

Sawasawa.
Penda sana mimi mtu abadilikae kutokana na mazingira.
Tukiwa huku,tuko nae kihuku huku na tukiwa nawe jukwaa letu la kule chini,basi tuko nawe kikubwakubwa.
Ahaha!
asakuta same,umetisha.
Big Up.
 
Last edited by a moderator:
... Hapo sasa! Bora wewe umeliona!!
... Ben Saanane atakuwa amepanic bure tu... (mtaalam wetu umakini hapa umekuwa miongoni mwa ile 65%)
... huyo Mjeda juu kasema Madam B, kisha karudia Madamu B, na mara kadhaa Madam B

Kha.... Steve Dii, ulivomchambua mjeda,mpaka amejiuliza mara mbilimbili.
Ila uko right,manake hata mie niliuliza,ila akanihakikishia kuwa ni mie.
Maana mahabuba wangu Ben Saanane alitaka amvunje mtu ugoko hapa.
Dah! Mapenzi matamu ati.
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana nilimpiga biti bure ila hilo biti liliwafaa na wengine waliokua na malengo kama hayo juu ya Madame B wangu....

Ila pia ile post ilisaidia kuwatambua maadui na marafiki wa kweli wa mahaba yangu na Madame B ....

Haaaa!
Dah,Laaziz wangu una biti kali,mpaka mkaka wa watu kanywea.
 
Last edited by a moderator:
Kumbe nimechelewa namna hii daa ninge kosa mnuso!
Hahahahahahahahahahhah
kwakweli hii thread itamliza mtu kabisa! Yani wakati nilimpiga chura teke mwenzangu ana mchukua na kumkumbatia sasa machozi yana anza kunitoka.

Haahahahaha
daa kweli dunia ina mambo yake!



daa mwl gfsonwin umetisha sana humu hakikisha tuna kula wali hapa ume mwaga nondo hadi basi, kweli umeamua!

Daaah Madame B wakuache upumue kabisa source : cacico!
Hongera sana Madame B and all da best!

Lakini sijawai shuhudia ngumi za wajeda(jokes)

Ndo hapo sasa.
Kunipiga kwako teke kumbe ulikuwa unaniongezea kasi.
Hahahahaha, karibu kwenye mnuso my X Ruttashobolwa,
Somo wangu gfsonwin na shem wangu asakuta same,ndo wameshika usukani.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha Mwita Maranya,

Tupo na Madame B muda huu....nashangaa ananiamsha ananiambia nipokee simu .Nakuta watu wa JF wanazingua.Ha ha ha,wivu wao ni noma lakini bond yetu na Madame B haina mfano....

Hiki ki-night dress alichopiga....mhh.Gharika!

Punguza wivu mwanaume wewe,khaa!!
Hebu tulale huko.
 
Last edited by a moderator:
Ndoo kitakuwa kikao changu cha kwanza cha sendoff kuhudhuria cha mwanachama wa JF na atakuwa mtu wa pili kuniona kuwa ahaa wewe ndoo Mpitagwa. Mimi hisia zangu zinanituma kabisa kwamba hawa watu watafika mbali. Wapewe nafasi tu.

We niombee tu, ili mwisho wa siku tuje kukifinya kiubweche.
 
Back
Top Bottom