asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,035
nimekupenda sana kwasababu unaelewa sana hata kama somo ni gumu.
aksante mwalimu ,ninaweza kuwa mwanafunzi bora nikiwa na walimu kama wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimekupenda sana kwasababu unaelewa sana hata kama somo ni gumu.
... Hapo sasa! Bora wewe umeliona!!
... Ben Saanane atakuwa amepanic bure tu... (mtaalam wetu umakini hapa umekuwa miongoni mwa ile 65%)
... huyo Mjeda juu kasema Madam B, kisha karudia Madamu B, na mara kadhaa Madam B
Zion Daughter nahitaji maelezo hapa, mimi sina mkwe, sasa huyo unayemzungumzia hapa ni mkwe wangu kwa nani? wewe ama dadako mkorofi snowhite??
Umechekelea nini ma wife??
gfsonwin unauliza kisu machinjioni?? we humuoni Madame B alivyo mdondokea kamanda Ben Saanane?? mjeda wa kichina mwenyewe kanywea sasa tunasubiri kamanda Ben achukue jimbo rasmi.:smile-big::smile-big::smile-big:
maishamagumutanzania utaumia bure.....ayaah ameniwahi nami nilikuwa natafuta gia ya kumtarifu MADAM B awe wangu, sasa komando na mimi si vita ya panzi na kunguru?
Copy kwa Ben Saanane
tehe!tehe!tehe!tehe! Kaka tarehe ya nini tena! Umenifurahisha sana ila una nyota hapa jf thread zako unazoweka kituo lazima member and Guest watiririke!
aksante mwalimu ,ninaweza kuwa mwanafunzi bora nikiwa na walimu kama wewe.
... Hapo sasa! Bora wewe umeliona!!
... Ben Saanane atakuwa amepanic bure tu... (mtaalam wetu umakini hapa umekuwa miongoni mwa ile 65%)
... huyo Mjeda juu kasema Madam B, kisha karudia Madamu B, na mara kadhaa Madam B
Kumbe nimechelewa namna hii daa ninge kosa mnuso!
Hahahahahahahahahahhah
kwakweli hii thread itamliza mtu kabisa! Yani wakati nilimpiga chura teke mwenzangu ana mchukua na kumkumbatia sasa machozi yana anza kunitoka.
Haahahahaha
daa kweli dunia ina mambo yake!
daa mwl gfsonwin umetisha sana humu hakikisha tuna kula wali hapa ume mwaga nondo hadi basi, kweli umeamua!
Daaah Madame B wakuache upumue kabisa source : cacico!
Hongera sana Madame B and all da best!
Lakini sijawai shuhudia ngumi za wajeda(jokes)
Ha ha ha Mwita Maranya,
Tupo na Madame B muda huu....nashangaa ananiamsha ananiambia nipokee simu .Nakuta watu wa JF wanazingua.Ha ha ha,wivu wao ni noma lakini bond yetu na Madame B haina mfano....
Hiki ki-night dress alichopiga....mhh.Gharika!
ayaah ameniwahi nami nilikuwa natafuta gia ya kumtarifu MADAM B awe wangu, sasa komando na mimi si vita ya panzi na kunguru?
Ndoo kitakuwa kikao changu cha kwanza cha sendoff kuhudhuria cha mwanachama wa JF na atakuwa mtu wa pili kuniona kuwa ahaa wewe ndoo Mpitagwa. Mimi hisia zangu zinanituma kabisa kwamba hawa watu watafika mbali. Wapewe nafasi tu.
Nimeona aisee, shosti yangu hapo amefika Ben Saanane