Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Zion Daughter nahitaji maelezo hapa, mimi sina mkwe, sasa huyo unayemzungumzia hapa ni mkwe wangu kwa nani? wewe ama dadako mkorofi snowhite??



Umechekelea nini ma wife??


gfsonwin unauliza kisu machinjioni?? we humuoni Madame B alivyo mdondokea kamanda Ben Saanane?? mjeda wa kichina mwenyewe kanywea sasa tunasubiri kamanda Ben achukue jimbo rasmi.:smile-big::smile-big::smile-big:

khaaaaaaaaaaa yaani kama madame b akihamia CDM basi na ukoo namfuta
 
Hehehe!
Mwanamke matunzo babu we.
Mshahara wangu mie,kama unanitaka we tumia wako unipendezeshe.
Nimetoka kwa wazazi wangu niko Ng'ari ng'ari,ya nini nije kupaukia kwako!
Mwambieni anipishe mie mipumuwe.
mjeda maneno haya umeyaskia lkn??
mie kwenye hii post sitoki mpaka kesho asbh saa 1 najua mjeda atakuwa keshatoka tizi so atakuja kaupunguzia uchovu hapa,,//............................walllah tena nataka utoe tamko ili akija alikute. umeskia Madame B??
 
Last edited by a moderator:
mjeda maneno haya umeyaskia lkn??
mie kwenye hii post sitoki mpaka kesho asbh saa 1 najua mjeda atakuwa keshatoka tizi so atakuja kaupunguzia uchovu hapa,,//............................walllah tena nataka utoe tamko ili akija alikute. umeskia Madame B??

Tutakesha wote hata mi siondoki hapa hadi nisikie "i love u" na "i love u too"
 
Yakuaje unaacha huku unapenda?

mdogo wangu unasahau kwamba huyu CHAI CHUNGU anasumbuliwa na ule ugonjwa wa kutojiamini??
mwanaume kuumwa ugonjwa huu ni bora hata ugongwe na semi trela ikuvunje kiuno utasingizia ajali lkn huu kamwe hauna kisingizo.
 
Last edited by a moderator:
Yeye kamwaga mboga,sasa zamu yangu kumwaga ugali!

Ntamchana live soon!

nani huyo?? ukinzisha timbwili na mjeda wewe utakuwa poyoyo
ukimchana live mpenzi wako wa zamani wewe utakuwa miongoni mwa wale wanaume ambao ni majinga ya kuzaliwa
 
mjeda maneno haya umeyaskia lkn??
mie kwenye hii post sitoki mpaka kesho asbh saa 1 najua mjeda atakuwa keshatoka tizi so atakuja kaupunguzia uchovu hapa,,//............................walllah tena nataka utoe tamko ili akija alikute. umeskia Madame B??

Nimesikia Somo angu,
yani hapa nina furaha ya ajabu.
 
Last edited by a moderator:
Napenda unavyo-flow, anyway. Nikwambie kitu -- seriously? Usiku wa kuamkia leo niliota jina lako. Just that, sijui kwanini, but labda kuna tukio zuri ahead; na huenda likawa ndio hili ombi la jamaa. :A S-heart-2:

Jiangalie sana.....
 
MI mwenyewe nimeona nibwage tu manyanga, ila kwa roho safi ninamuunga mkono Ben Saanane achukue hilo jimbo la Madame B. Wanajeshi tatizo lao ni moja tu wanatumia ngumi kufikiria. Hata akikwambia nakupenda ni lazima ngumi zitembee sana, akikuambia asante unakuwa umeshapigwa mbata za kutosha

Ha ha ha haaa,
 
Back
Top Bottom