Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
ngoja tusubiri maana shosti mwaka huu nyota yako inawaka, lol!
Nyota gani mwanawane!!
Nipo tu nashangaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngoja tusubiri maana shosti mwaka huu nyota yako inawaka, lol!
Zion Daughter nahitaji maelezo hapa, mimi sina mkwe, sasa huyo unayemzungumzia hapa ni mkwe wangu kwa nani? wewe ama dadako mkorofi snowhite??
Umechekelea nini ma wife??
gfsonwin unauliza kisu machinjioni?? we humuoni Madame B alivyo mdondokea kamanda Ben Saanane?? mjeda wa kichina mwenyewe kanywea sasa tunasubiri kamanda Ben achukue jimbo rasmi.:smile-big::smile-big::smile-big:
halafu weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeee haya mie nna kazi gani sasa??Sasa inakuwaje Madame B ? punde si punde nahisi kuna mtu atakunywa sumu ya panya kama sio mende.......... Chimbuvu... Ruttashobolwa.... Chibolo.......@mus sir...... tedo...... CHAI CHUNGU.....na sasa mjuukuu wa arap ole moi ole kiplagat......kaaaaazi kweli.
Kopi: gfsonwin (kazi unayo).
mwaJ nawewe mpana.................haya hebu anza kuandaa sare na logistics nyingine haraka.Leo CHAI CHUNGU atakuwa chai pilipili!
Yaani wewee! Umepatia 100 kwa 100!
mjeda maneno haya umeyaskia lkn??Hehehe!
Mwanamke matunzo babu we.
Mshahara wangu mie,kama unanitaka we tumia wako unipendezeshe.
Nimetoka kwa wazazi wangu niko Ng'ari ng'ari,ya nini nije kupaukia kwako!
Mwambieni anipishe mie mipumuwe.
mjeda maneno haya umeyaskia lkn??
mie kwenye hii post sitoki mpaka kesho asbh saa 1 najua mjeda atakuwa keshatoka tizi so atakuja kaupunguzia uchovu hapa,,//............................walllah tena nataka utoe tamko ili akija alikute. umeskia Madame B??
Yakuaje unaacha huku unapenda?
Yeye kamwaga mboga,sasa zamu yangu kumwaga ugali!
Ntamchana live soon!
mbona anatungaga hadithi nzuri tu , anashindwaje kukumudu aseee?
Tutakesha wote hata mi siondoki hapa hadi nisikie "i love u" na "i love u too"
mjeda maneno haya umeyaskia lkn??
mie kwenye hii post sitoki mpaka kesho asbh saa 1 najua mjeda atakuwa keshatoka tizi so atakuja kaupunguzia uchovu hapa,,//............................walllah tena nataka utoe tamko ili akija alikute. umeskia Madame B??
Tutakesha wote hata mi siondoki hapa hadi nisikie "i love u" na "i love u too"
Napenda unavyo-flow, anyway. Nikwambie kitu -- seriously? Usiku wa kuamkia leo niliota jina lako. Just that, sijui kwanini, but labda kuna tukio zuri ahead; na huenda likawa ndio hili ombi la jamaa. :A S-heart-2:
MI mwenyewe nimeona nibwage tu manyanga, ila kwa roho safi ninamuunga mkono Ben Saanane achukue hilo jimbo la Madame B. Wanajeshi tatizo lao ni moja tu wanatumia ngumi kufikiria. Hata akikwambia nakupenda ni lazima ngumi zitembee sana, akikuambia asante unakuwa umeshapigwa mbata za kutosha
Jiangalie sana.....
Mpenzi.