Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Last edited by a moderator:
Komando una muda wa kutafuta mademu JF,Komando unataka kama mke wako anapenda siasa basi apende siasa,,,,wewe sio komando,tena wa cheo cha afsa, coz hakuna komando ofsa mwenye life style wala mtizamo kama wako,tena huyu Madame B ajue hili jamaa ni tapeli tu.
 
Komando una muda wa kutafuta mademu JF,Komando unataka kama mke wako anapenda siasa basi apende siasa,,,,wewe sio komando,tena wa cheo cha afsa, coz hakuna komando ofsa mwenye life style wala mtizamo kama wako,tena huyu Madame B ajue hili jamaa ni tapeli tu.

Haya mkuu.
Nimekuelewa.
 
Haya mkuu.
Nimekuelewa.
anyway unaweza kuwasiliana nae ujue ukweli,lkn hata kama huyo ni komando basi atakuwa na matatizo,kwa jinsi ninavyoifahamu JWTZ,watu wa aina yake wengi wamefukuzwa Jeshi.
 
Wewe maliza course vizuri na unasifa zote za kuwa na Madame B, maana madame B anapenda watu ambao ni learner wa fani kama wewe. Atakupokea vizuri ni mwana Dar. Nakuhakikishia nafasi ya kuongea naye utapata mengine hayo sijui. Watu humu wanahasira madameB kawapiga chini ndoo maana wanaanza kukuchafua na kuleta lugha za matope mara hoo wanahoji usoja wako wakati wao hata mgambao hawajaenda.
MadameB hii ndiyo last chance ya mmuooja maana amefunguka sana mkaka wa watu hadi anatia huruma mMP fasta tafadhali.
 
anyway unaweza kuwasiliana nae ujue ukweli,lkn hata kama huyo ni komando basi atakuwa na matatizo,kwa jinsi ninavyoifahamu JWTZ,watu wa aina yake wengi wamefukuzwa Jeshi.

mkada, nimekusikia na kukuelewa.
Ni kweli kila mtu ana njia za kufikisha hisia zake.
Ila tusimuhukumu haraka kwa maana hatujajua ananiwazia nini juu yangu.
Ila mimi nitaheshimu kile ambacho amekiwasilisha kwangu.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Wewe maliza course vizuri na unasifa zote za kuwa na Madame B, maana madame B anapenda watu ambao ni learner wa fani kama wewe. Atakupokea vizuri ni mwana Dar. Nakuhakikishia nafasi ya kuongea naye utapata mengine hayo sijui. Watu humu wanahasira na madame B, kwani kawapiga chini ndio maana wanaanza kukuchafua na kuleta lugha za matope mara hoo wanahoji usoja wako wakati wao hata mgambo hawajaenda.
MadameB hii ndiyo last chance ya mmuooja maana amefunguka sana mkaka wa watu hadi anatia huruma mMP fasta tafadhali.

Mpitagwa, kwanza napenda kukutoa wasi wasi tu kwamba nimeshawasiliana nae Pm, na nimemuuliza maswali mengi sana kuhusu msimamo wake juu yangu,kwa maana wanaume wengi humu ni wale wa staili ya kuonja.

Mpitagwa, hapo kwa bold ni changamoto za maisha tu, kadri mtoto anavyoendelea kukua,ndivyo akili yake inavozidi kupambanua mambo.
Kwa maana hata Mnara wa Babeli haukujengwa siku moja.
Ninaamini nitafika pale ninapopataka.
Ingawa michango yenu pia inanisaidia sana.
 
Last edited by a moderator:
na kwa mwendo hii, sasa hivi itahamishiwa jukwaa lile la hapo juu, lol!
mimi mkishamaliziana mnijulishe nichague nitakuwa kamati gani, sawa?

Hahaha FP usijali, wewe tena,lazima uwekwe kamati za mbele kbs.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom