He,yamekua hayo tena.
Mtu mwenyewe ni commando wa city,kazi yake kubwa ni kunyang'anya 'vipichu' vinavyotembezwa na chinga.
Kweli aisee..Atulie sasa kwa mjeda.Sie bado tupo tupo sana.Sasa Madame B ulikuwa unanisumbua sumbua sas huyo ndege tunduni!!zile habari zako nikupeleke kwa mganga wa mapenzi!ulikuwa umeisha nichosha kilasiku ila nilikuwa naona soo kukwambia maana kila ukiona kibao mganga wakienyeji kutoka sumbawangu,nigeri ulikuwa ukitaka kujua habari zake!!Sasa utapumzika kuwa Popo tuachie upopo mimi na Paloma, amu, Zion Daughter, Vin Diesel Kipaji Halisi, figganigga, gfsonwin>>>>BTW ntakumisi kwenye baa zetu za usiku mwingi Paloma ongeza uzito tutammiss sana maana komando akikustukia anakuvunja mbafu!!:rockon::rockon::rockon::rockon:
lile body haki ya mungu bora limepata commando ,angefia mtu paleacheni kumzodoa mkaka wa watu, kwani mwafikiri ngerengere wanasoma akina nani?? nahofia tu usije ukawa ni ndugu yangu uliyekwenda kwenye hayo mafunzo mwaka juzi lolz!! hebu ni pm jina lako kwanza
ila best sijui umejuaje umepoint kweli manake lile bodi lake na komandoo ndo ataliweza ila hawa akina CHAI CHUNGU bure kabisaaaaaaaaaaaaaa.
kaka naomba picha zangu ,nitakuanzishia thread
grand-mal kijana amejitahidi kutongoza, ona alivyotiririka huku machozi yakiwa yamemlengalenga.Yaani wewe kwa kuwa ni komando basi unavamia wake za watu na kutaka wawe wake zake, angalia kijana. Ukomando wenyewe wa kichina.
Madam B njoo huku unatafutwa na Komando.
wivu bana !!!!!!!!!!!!!!
wahenga walisema ni kidonda ukishiriki utakonda
kaka naomba picha zangu ,nitakuanzishia thread
Sasa Madame B ulikuwa unanisumbua sumbua sas huyo ndege tunduni!!zile habari zako nikupeleke kwa mganga wa mapenzi!ulikuwa umeisha nichosha kilasiku ila nilikuwa naona soo kukwambia maana kila ukiona kibao mganga wakienyeji kutoka sumbawangu,nigeri ulikuwa ukitaka kujua habari zake!!Sasa utapumzika kuwa Popo tuachie upopo mimi na Paloma, amu, Zion Daughter, Vin Diesel Kipaji Halisi, figganigga, gfsonwin>>>>BTW ntakumisi kwenye baa zetu za usiku mwingi Paloma ongeza uzito tutammiss sana maana komando akikustukia anakuvunja mbafu!!:rockon::rockon::rockon::rockon:
Bado wewe..Lakn wewe ajitokeze Manager wa bank tena BOT kabisaa.lile body haki ya mungu bora limepata commando ,angefia mtu pale
wivu bana !!!!!!!!!!!!!!
wahenga walisema ni kidonda ukishiriki utakonda
aiyayayayayayyayy!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
mambo iko huku babuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu, mwli snowhite na cacico pasi kumsahau mwaJ njooni sasa tuanze kuimba
'''' achia ngazi babu mchuma unaondoka huoooooooooooooooooo
'''''achia ngazi babuuu chuma unaondoka huoooooooooooooooooooooo
ulinitemaaa aseme niniiiiiiiiiii, iukanisemaaaaa sasa nakula vyanguuuuuuuuuuuuuu
naona mambo yako huko taarabu imo taarabu imo nana mambo yako huku weeeeeeeeeeeeeeee utaumiza roho yakooo enhhhhhhhhhhh!!
cc CHAI CHUNGU Madame B na Paloma