Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Najua Evelyn Salt yupo smart sana tena anajielewa..Soon ataelewa kuwa wewe na Madame B mna machemistry na mabiology yanayowaunganisha
Nasikia jasho jembamba!
Aku mi namtaka shemeji angu from china...........!!!!!!!!!!!!
Atazunguka nae kwa sababu wanapendana na tena WANAWAKE tunaweza ..hivyo na Madame B anaweza pia. Ben Saanane ana upendo wa dhati..nia anayo na uwezo pia anao..huyu ndio shemeji anatakiwa..sio huyu kiplagatu anabip bip halafu anatokomea kusikojulikana..
Ushageuka tena.
CC: Zion Daughter, Ben Saanane na Mwita Maranya..... Bishanga, Nishahama Bukoba,wahaya mna gubu.
Yupo kwenye mazoezi bana chezea ukomando eeeh???
hilo debe unalopiga kama hujapewa tshirt ya M4C wewe sijui tu........
Nini tshirt nina gwanda tayari..baba yangu mwenyewe Mwita Maranya ni pipoooooooz!!!.
Hata wewe utakuja tu chama kubwa..just the matter of time...lkn tuache utani safari hii Madame B amepata mume wa ukwenheee Ben Saanane . Mie mwenyewe nashangaa mahekima ya madame b..
Zion Daughter,
hapo juu wamaanisha Ben Saanane au kiplagati26?
Tuanzie hapo kwanza.
Khaaa!!
We Mwali we!
Kwanza naomba liedit kwanza ulitoe hilo jina kiplagati..hapo tutaelewana..shemeji yangu mimi ni mmoja tu..the one and only one Ben Saanane
Au ndo Evelyn Salt keshakuteka unataka uende kwa mjeda feki wa kichina..ukomandoo chaina???thubutuuu
Kwanza naomba liedit kwanza ulitoe hilo jina kiplagati..hapo tutaelewana..shemeji yangu mimi ni mmoja tu..the one and only one Ben Saanane
Au ndo Evelyn Salt keshakuteka unataka uende kwa mjeda feki wa kichina..ukomandoo chaina???thubutuuu
Madame B wacha wivu bhanaaa! wewe ulipokwenda Tanga na watu8 mbona ilikuwa poa tu wifi hadi nguo mkaweka begi moja? Ben Saanane huyu ni wifi yangu hebu ile engagement ring mvalishe atulie na mpunga mwezi ujao tunakula....Khaa,
Hun acha ugomvi measkron anafagilia penzi letu tangu mwanzo....Ahh shem wangu huyu mtoto wa mjini
Madame B MpenziUshageuka tena.
CC: Zion Daughter, Ben Saanane na Mwita Maranya..... Bishanga, Nishahama Bukoba,wahaya mna gubu.
measkron nitafanya hima shem wangu mpenziMadame B wacha wivu bhanaaa! wewe ulipokwenda Tanga na watu8 mbona ilikuwa poa tu wifi hadi nguo mkaweka begi moja? Ben Saanane huyu ni wifi yangu hebu ile engagement ring mvalishe atulie na mpunga mwezi ujao tunakula....
Ushageuka tena.
CC: Zion Daughter, Ben Saanane na Mwita Maranya..... Bishanga, Nishahama Bukoba,wahaya mna gubu.
Mi nakuweza.........