asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,035
Wewe!
We haya tu.
ha ha ha ha ha! halafu huyu Ben Saanane ananatutafuta maneno , eti jana usiku wote alikuwa na Evelyn Salt
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe!
We haya tu.
Hivi una gari la kutembelea weye?mie mdogo wangu yupo ila siwez kukupamwnaume una mbwela mbwela tu kama unaumwa malaria ama tumbo la kuharisha??
weraaaaaaaaaaaa weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa watu tunataka kula pilau la harusi sasa tunachopoteza muda kitu gani??
kashindwa CHAI CHUNGU mjeda kaingia na huyu nae akileta za kuleta mwingine ataingia kwan nini bana kuzeeshana watu mkiwa watt??
Sasa mkuu ningefanya nini wakati FREEMASONS wanahusika juu ya hili?
dah! kweli nimeamini wahenga walivyosema ,palipo na miti mingi hapana wajenzi
hamna ufreemansons hapo mkuu ,mimi naona tatizo ni wewe mwenyewe .
Mpeni somo huyo ajielewe.
Yupo yupo tu.
hamna ufreemansons hapo mkuu ,mimi naona tatizo ni wewe mwenyewe .
tatizo amechelewa kuingia darasani , anastuka ndege ameshapeperuka siku nyingi.
chai chungu...............
Ndo hapo pakushangaa sasa.
Kuna watu hawalali mpaka waone Comments zangu,lakini wengine....patupu.
Yeye kamwaga mboga,sasa zamu yangu kumwaga ugali!
Ntamchana live soon!
Yaani wewee! Umepatia 100 kwa 100!
....na ufahamu wake nusu.
halafu huyu jamaa anaonekana kucheza na nguvu ya umma....... anashindwa vipi kuelewa service yako inahitajika na public?
aache ubinafsi ,yaani furaha yake mtu mmoja ikoseshe maelfu ya raia furaha , , , ,kweli kama humfeel tena tupa kule ,hata siwezi kumtetea ati!!!!!!
Nani huyo tena?
Yeye kamwaga mboga,sasa zamu yangu kumwaga ugali!
Ntamchana live soon!
mbona anatungaga hadithi nzuri tu , anashindwaje kukumudu aseee?