Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

weraaaaaaaaaaaa weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa watu tunataka kula pilau la harusi sasa tunachopoteza muda kitu gani??

kashindwa CHAI CHUNGU mjeda kaingia na huyu nae akileta za kuleta mwingine ataingia kwan nini bana kuzeeshana watu mkiwa watt??

Leo CHAI CHUNGU atakuwa chai pilipili!
 
Last edited by a moderator:
halafu huyu jamaa anaonekana kucheza na nguvu ya umma....... anashindwa vipi kuelewa service yako inahitajika na public?

aache ubinafsi ,yaani furaha yake mtu mmoja ikoseshe maelfu ya raia furaha , , , ,kweli kama humfeel tena tupa kule ,hata siwezi kumtetea ati!!!!!!
Hii ni sawa na kesi ya kima,hakimu nyani,mshitakiwa fisi!
Maana some times unaonyesha uko upande wangu alafu mara una change!
 
Mmh, haya maneno ya Madame B km ya Bi Hindu wa Kaole!
 
Last edited by a moderator:
We unafikiri wale wakata nyonga stejini,kitandani wako vilevile.
Ye kazoea kutunga hadithi, kunimudu hakuthubutu.


hao wakata nyonga stejini ni kweli kabisa wengine hamna kitu ,wakishatua kitandai wanakuwa kama nyanya ,,,,,,,,ila sikuwa hilo kwa mtunga hadithi ,ndiyo nimeshajua.
 
Hii ni sawa na kesi ya kima,hakimu nyani,mshitakiwa fisi!
Maana some times unaonyesha uko upande wangu alafu mara una change!


upande wangu ni ule wenye haki na ukweli ,,,,, sasa kama haufanyi vitu sahihi unategemea sisi tufanyaje mkuu?
 
Dada yetu anaolewa!! Huyu bwana Shemeji kweli ni KOMANDOO,kapost thread alafu akakaa pembeni!! Na kwa mbali namuona kama vile anakula Karanga Za kichina! Chezeya Komandoo weye! Hawa watu huwa wanaingia ndani kwa SALAKASI,tena kwa kuruka fensi!hawapitii Getin! Tehe!tehe!tehe
 
Dada yetu anaolewa!! Huyu bwana Shemeji kweli ni KOMANDOO,kapost thread alafu akakaa pembeni!! Na kwa mbali namuona kama vile anakula Karanga Za kichina! Chezeya Komandoo weye! Hawa watu huwa wanaingia ndani kwa SALAKASI,tena kwa kuruka fensi!hawapitii Getin! Tehe!tehe!tehe

Hahaha!
Wewewe!
 
Mie siingilii ugomvi wa mtu na mkwewe.Mtaelewana wenyewe
Zion Daughter nahitaji maelezo hapa, mimi sina mkwe, sasa huyo unayemzungumzia hapa ni mkwe wangu kwa nani? wewe ama dadako mkorofi snowhite??

Ungeniona nilivyochekelea! We acha tu!

Umechekelea nini ma wife??

hivi Madame B umemuingiza huyu mwita maanya kwenye ukoo weu ilihali yeye ni CDM?? mwita BANA sasa kweli naona jitihada za kutumilikisha kadi mpya na tuziteme za chama kubwa umeshika kasi
gfsonwin unauliza kisu machinjioni?? we humuoni Madame B alivyo mdondokea kamanda Ben Saanane?? mjeda wa kichina mwenyewe kanywea sasa tunasubiri kamanda Ben achukue jimbo rasmi.:smile-big::smile-big::smile-big:
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom