Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

::
Mkuu Ben Saanane
Baraka kwa wengine
Hukuinua hata wewe
Katika yako ufanikiwe
::
Kama yako yalikwama
Kwa wengine yatimia
Wengi Mola kawajalia
Omba nawe utapata.
::
Hata wasipofika mbali
Mitima itapata ahueni
Walau walitia niani
Ben Sanane siwe nabii
=

Hahaha!
Tetra bhana.
Wan'kosha sana.
Mmwagie mashairi Ben Saanane akujue wewe nani.
Chezea wahenga.
 
Last edited by a moderator:
The Pen,

Mapenzi yana nguvu....unaweza ukawa na uwezo ambao haukua nao ghafla.Jaribu uone...hahah usinipe BAN tu

Mbona wajishuku?
BAN na utenzi wapi na wapi ewe wangu mahabuba?
Kha!
 
Last edited by a moderator:
yeye anamtaka madamu B na ukiuliza haya wenzio wameshamalizana kwenye PM. UNALO BABUU!!!!!!!!!!
Namjua Madame B kwa kujishongondoa. Zali limwangukie mwingine ujiko ajitafutie yeye. Hebu msome Steve Dii hapo juu. Mwambieni Ben Saanane abadili jina awe saa tisa, kumeshakucha tayari ye analala tu.
 
Last edited by a moderator:
Hapo Red hapo inaonekana umeandika kwa hofu kubwa sana.....Sijui kwa kuwa si Mtanzania na unajua tumekushtukia Mkenya(mkalenjin)

Wewe tanganza hisia zako tu lakini kumbuka Madame B yeye anashukuru tu kupendwa na hajawahin kusema anakupenda pia.jifariji tu ilimradi usije ukajipiga risasi....

Mke wangu huyu nilimpenda kwa sababu ya ukarimu na upendo wake kwa kila mtu kwa hiyo courtesy ya kushukuru kupendwa ni kawaida.

NB: Wale waroho wanaosubiria ubwabwa,mnuso na nyama mezeni kisu.....

Nimewa-note down.

Wale mashemeji zangu wa Ukweli karibuni nyumbani weekend hii tumewaandalia kashughuli kadogo mimi kipenzi changu Madame B

CC: kiplagati26 kwa taarifa

Pamoja sana shemeji..Nakoleza pasi ya mkaa ninyooshe gwanda leo natak nitoke chicha...si unajua mgawo wa umeme umekolea
 
Last edited by a moderator:
Namjua Madame B kwa kujishongondoa. Zali limwangukie mwingine ujiko ajitafutie yeye. Hebu msome Steve Dii hapo juu. Mwambieni Ben Saanane abadili jina awe saa tisa, kumeshakucha tayari ye analala tu.

Hahaha! Kisu kimekufika mfupani.
Na bado, ulijipa matumaini Leo Tupo Hapa Pub, ukajua nitakuwa wako.
Kanoe tena kisu chako,afu ndo uje.
Huyoooo
 
Last edited by a moderator:
::
Mkuu Ben Saanane
Baraka kwa wengine
Hukuinua hata wewe
Katika yako ufanikiwe
::
Kama yako yalikwama
Kwa wengine yatimia
Wengi Mola kawajalia
Omba nawe utapata.
::
Hata wasipofika mbali
Mitima itapata ahueni
Walau walitia niani
Ben Sanane siwe nabii
=
Tetra mganga wa kienyeji....ha haha

Mbegu wanaziandaa, wapate kujipandia,
Chini zitaozea, na baadhi kuchipua,
Kwalo wakajisifia, watu wawasaidia,
Ukiona vyachipua, sio vyote huchanua!


Halali watakimbia, haramu wakachukua,
Na wakija kugundua, muda umeshapotea,
Laiti sasa ikawa, kitu kisichotokea,
Ukiona vyachipua, sio vyote huchanua!
 
Last edited by a moderator:
Hivi wale watoto wako 2 wa nje ulishawachukua kwa mama zao?maana sheria inaruhusu sasa uwachukue,Na yule deme muuza mtori pale Sakina hivi alijifungua mtoto gani?
Alafu yule deme wa siku zileee mafika wakati tuko coz si unamkumbuka?alishaga kufa kwa ngoma!
Alafu huyo unayemfukuzia sasa hutamuweza bora uachane na mpango huo,ana tabia ya kuhama hama kama MREMA.

Unazidi tu kujichoresha hapa!!!!
kinachonishangaza kama unamzimia hivi kilichokufanya uje kujishongondoa hapa kuwa humtaki ni nini sasa??
ha ha ha au ulikuwa unatingisha kiberiti pole sana!!!!!!!
 
Tetra mganga wa kienyeji....ha haha

Mbegu wanaziandaa, wapate kujipandia,
Chini zitaozea, na baadhi kuchipua,
Kwalo wakajisifia, watu wawasaidia,
Ukiona vyachipua, sio vyote huchanua!


Halali watakimbia, haramu wakachukua,
Na wakija kugundua, muda umeshapotea,
Laiti sasa ikawa, kitu kisichotokea,
Ukiona vyachipua, sio vyote huchanua!

::
Nimekupata Beni
Jicho lionalo mbali
Hali nguvu ya moyoni
Madame na Kiplagati
Mioyo imeshinda akili
Tuwaache wasafiri
::
Miti inapochipua Jf
Litupasalo ni wajibu
Kumwagilia bila wivu
Upendo zawadi adimu
Haipendezi kukashifu
Tuwaache wasafiri
::
Tuwabariki kwa moyo
Lete yote yatupasayo
Tuijenge ndoa yao
Baraka zisiwe mgao
Kama wa Tanesco
Tuwaache wasafiri
::
Madame B sikiliza
Ukiona wapingwa
Usirudi huku nyuma
Hizo ni dalili njema
Kuwa utafanikiwa
Umeanza vema jua
Mcha bahari ni mwoga
Tuwaache wasafiri
=
 
Last edited by a moderator:
Afu kakangu wewe Erickb52!
Mbona unapenda kuniwekea kauzibe?
Asa unataka niendelee kukaa hapo nyumbani mpaka lini?,kila siku wewe na kaka Mungi mnaniambia nitafute bwana niolewe,leo amepatikana we nawe unakwenda vice versa,nitarudi home hapo afu tuje kuendelea kubanana kwenye ugali wa kengele....Ohoooo!!!!!

Hivi unafahama kwamba kiplagati26 ni msonjo? shauri yako hohoooo!!!!
copy: Erickb52
 
Last edited by a moderator:
Unazidi tu kujichoresha hapa!!!!
kinachonishangaza kama unamzimia hivi kilichokufanya uje kujishongondoa hapa kuwa humtaki ni nini sasa??
ha ha ha au ulikuwa unatingisha kiberiti pole sana!!!!!!!

Ndo hapo ninapomshangaa mimi.
 
Sasa kamanda nisawa wewe n komandoo ila umeharibu kusema ni komandoo wa kichina. we si unajua wachina walivo magumash?
 
Back
Top Bottom