Nampenda mpendaaa!

Jamani!!! [emoji126] [emoji133] [emoji126] [emoji133]
 

Huu pronunciations sasa kila mtoto anaeza imba kivyake ilimradi sauti zinaelekeana

Baishoo I love you bebii
Ze bebii to ze saaaaa
Ze saaaa to ze yonaa
Ze yona to ze miiii
Ze miiii to tu ze two zera
Zera one two three four
Zera one two three four
Kata kona zera one two three
Zera one two three
Kata kona zera one two
Zera one two
Kata kona zera one zera one baishooooooo
Utoto raha sana
Hahaha
 
Ha ha ha ha embu weka lyrics zenu sasa tuone

Mi wa english medium nilikua najitahidi kupatia tumaneno [emoji23][emoji23][emoji23]

Bysho I love you baby
To the baby to the saa
The sa to the yona
To the yona to the mi
The mi to the pushdea
Terewa tu triii fo
Terewa... Takata kona!!!
 
Hahaha lol
Kumbe nawewe uliimba???
Safi sana
Akimuimbia mwingine unapingua anakua sio rafiki yako hata ukinunua kitu haumpi nakwanza haumuongeleshi
Mi sijaimba sana..Zangu Kombolela na Kibaba baba[/QUOTE]
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Moja...mbili...tatu..nne..tano...sita...saba..nane..tisa kumi naongeza..........kikombe cha chai kina mtoto ndani......saa ikilia wazungu wote mezani...
 

Utoto raha sana kwakweli
Mie teinaaa sikuikosa hii


Hata kwa pangaa haukatikii
Hata kwa shoka haukatikii
hata kwa kisuu haukatiki
Paaaaaaaaaa( unakata then unaenda kwenye mikono mingine kuuliza mti gani uukate ili umfate mume wako lol!
Akikata akakuona unakimbia mbio nayeye anakukimbiza
Dah
Utoto raha sana
 
Ha ha ha ha umeimba vile vile kama sisi tulivyokuwa tunaimba halafu huo mwimbo ulikuwa ukiujua unaringa mtaa mzima
 
Wewe utotoni hujaimba??
Hata za kiluga chenu??
Teh teh teh! Za kilugha hawataelewa.
Hizi nyimbo umeziimba kweli wewe? Mimi nilidhani ni wa dot kom "yoyo.. yoyo.... mikono juu.
 
Mi wa english medium nilikua najitahidi kupatia tumaneno [emoji23][emoji23][emoji23]

Bysho I love you baby
To the baby to the saa
The sa to the yona
To the yona to the mi
The mi to the pushdea
Terewa tu triii fo
Terewa... Takata kona!!!

Lol mi kayumba Moko ndomana michezo mingi naijuaaa

Halafu wewe ulikua English medium ila mtaani inaonekana ulikua wa kitaa wewe lol

Utoto raha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…