Premij canoon
JF-Expert Member
- May 27, 2018
- 1,203
- 2,771
Wangu Hana ananichomesha mabuaUnamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?
Kama mjuavyo, kazi ya moyo si kusukuma damu tu. Kazi nyingine kubwa ya moyo ni kupenda, na kila mtu anapenda kupendwa. Na humu ndani kuna watu wana hisia na mtu fulani (ID), ila wanashindwa kuongea. Kwa kutumia uzi huu, funguka ili naye ajue. Inawezekana na yeye ana hisia na wewe ila...www.jamiiforums.com
Naona huu uzi ushaanza kuleta kizaazaa, nilisema tangu mwanzo mimi.
Sijafika naye hukoKama ulimpenda
Mara moja moja mnapasha kiporo
Hahahaha kwahiyo unalilia wanaume wa wenzako??Sisi sio mafala ila bado wanaumee wanaona hiivyoo.
Mi nampenda Mungu tu .
Ila Kuna mtu anaringa sana eti Kisa anamashangazi plus mke ila yote life na kitambii changu,
Ngoja mjerumani wangu aje nitatolewa tu mpenzi halafu tuone kama hutonimiss .
Mume wangu mwingine yupo tu,good day endelea kunipondea ila next year hesabu mie ni married woman
Njoo kwanguAmeniringia
πππJamani ataona tenaNilimpenda yeye sana ila hajanipenda hivyo nilivyompenda ila ataona
Kumbe eehπππwakatajana bhana wanaopendana πUnamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?
Kama mjuavyo, kazi ya moyo si kusukuma damu tu. Kazi nyingine kubwa ya moyo ni kupenda, na kila mtu anapenda kupendwa. Na humu ndani kuna watu wana hisia na mtu fulani (ID), ila wanashindwa kuongea. Kwa kutumia uzi huu, funguka ili naye ajue. Inawezekana na yeye ana hisia na wewe ila...www.jamiiforums.com
Naona huu uzi ushaanza kuleta kizaazaa, nilisema tangu mwanzo mimi.
Vijana wa humu waongo sana Yani ukiwaona wanachat utasema watu kumbe π€£π€£π€£Sana,sana...ndo maana inabidi maisha yetu yasiwe humu...tuyaache kwa home...humu burudani tu
Naww aaliyah ulichomokaje, kuna jamaa kaweka DP ya picha halisi aliku tag anakuzimikia...Kumbe eeh[emoji3][emoji3][emoji3]wakatajana bhana wanaopendana [emoji3]
Mmh sikumbuki iyo I'd lakini sichukuliag hiv vitu serious sabbu sipendag kujistress mapenz ya walioshiba kwanza πNaww aaliyah ulichomokaje, kuna jamaa kaweka DP ya picha halisi aliku tag anakuzimikia...
Hamkufika inbox [emoji4]
Tena katoka kuomba Ile dawa inaitwaje ππpole sana..... unaweza mtafuta Mzee wa kupambania akutulize moyo... π
Japo walio serious wapo ila nao hawaamini mapenz ya humu. ..ivo kumpata MTU bora ni ngumuVijana wa humu waongo sana Yani ukiwaona wanachat utasema watu kumbe π€£π€£π€£